Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Hili huwa naliona ndo bora lakin kwa ninavomjua ndo atanipa makwazo makubwa ,,,,kinachoniuma ni kuona aman na baba yangu haipo
Kaka kuna wewe na kuna yeye mzee.
Mzee wako ni mtu mzima anatambua nini anachofanya,sio kwamba haoni anachofanya na hajui anachofanya.
Sasa unaumiaje juu ya mtu ambaye anatambua anachofanya!??
Wewe jipange ukishajipanga chomoka nenda unapopajua utaanzisha maisha yako kwa utaratibu sahihi.
Ila ukiondoka usiwatusi wala usiwavunjie adabu,ondoka kiadabu tu.
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
sherehe sio kitu cha kulalamikia am 30's sijui sherehe yoyote ile mpaka saiv sio basidei mahafari au ndugu yake na hayo
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Mdau kumbe wenye degree ndio mko hivi?

Pole lakini kwa matatizo.
Ulivyohitimu Darasa la Saba ungeendelea na mambo mengine, ungekuwa mbali sana.
 
Pole mkuu kwa unayopitia, shirikisha ndugu wa baba ako kama mashangazi, kaka zake baba ako na babu yako ili mmalize hizo tofauti zenu.
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Habari,
Pole kwa sintofahamu unayopitia.

1: Kuna mambo yanakuwa magumu kuyasemea kinagaubaga, kwani maelezo yako yameanzia katikati ya mwenendo mzima wa maisha yako na mzazi. Na umejikita kwenye upande hasi zaidi wa maisha yenu.

2: Suala jingine ni kusikiliza/kupata maelezo ya upande mmoja. Ili mtu aweze kuwatibu/kuwapatia mwafaka ni vyema kuwasikiliza wote watatu: baba, mama, mtoto na lia wakati mwingine kuhusisha jirani vs walimu wako.

3: Ni vyema kujua kwa watoto wengine kama wapo, je wao wanamahusiano yapi na wazazi?

Ushauri wa jumla:
1: Pata ndugu, jirani, kiongozi wa dini au mtu yeyote anaeheshimika miongoni mwenu na anaewafahamu ili aweze kuwasikilizeni na kuwasaidia kupata mwafaka kati yenu.

2: Kwako, kwa makosa yoyote mliyowahi kukoseana basi uwe tayari kuanza upya na kwa wema na wazazi wako.

3: Fahamu, kwa umri ulionao wewe utakuwa nani kwenye maisha ni wajibu wako kwa sasa kwa elimu na umri uliofikia.

4: Pamoja na yote, baba bado kuna aliyofanya yawe hasi au chanya kwa njia moja au nyingine amechangia mpaka hapo ulipo hivyo tambua hata yale machache aliyoweza kutimiza.

Hii inatokana na jinsi ulivyoandika mwanzo mwisho ni mambo hasi tu. Mfano: baba hakukupatia pesa kwa kadri ipasavyo, ila ulipataje hela ya ku-save wakati uko shule?
Ni mambo ya kawaida wazazi kutofikia matamanio ya watoto.

Kwa ujumla, kuna pengo kwa kila sehemu hivyo mnahesabiana nakosa likely kwako na wazazi.

Turudishe nyoyo zetu nyuma kwani hata kama ukianza maisha binafsi, ugumu wowote kwenye maisha unaweza kukuletra taharuki ya kuwa inahusiana na sintofahamu toka kwa wazazi.
 
Kwenye maisha jaribu kubalance shobo lia na anayelia na wewe,nenda na anayeenda na wewe,akikukataa na wewe mkatae.
Yani iweje mambo madogo hivi yakuletee msongo wa mawazo.Ukijifunza kubalance shobo maisha yatakuwa simple sana
 
Kabla sijakushauri,nataka ujue tupo tuliowahi kuyaishi hayo,tukiwa na mama wa kambo na baba asiyejali na m'binafsi,mshirikina sana na anayetaka utajiri wa kafara ya mtoto wa kwanza kuzaliwa [wakiume].
Suluhisho lilikuwa ni kujitenga naye kwa maisha yote,bila kuonana hata kuwasiliana[hiyo ni pamoja na jamii yake yote {pamoja na kuwa tupo mkoa mmoja}na kumwachi kila kitu kisicho hamishika.
USHAURI;
Kwa umri wako huhitaji usimamizi wa baba., Kwa usalama wako,ondoka hapo uende asikokujua,badilisha simu[usiwasiliane na yeyote wa kwenu kwa muda ,ishi maisha yako.
Hata siku moja,usijione mnyonge hata kuwaza kujidhuru kwasababu za ujinga wa mtu [ni upumbavu], chukua hatua mapema na usiage kwa yeyote.
Ahsante sana mkuu kwa kunitia moyo ubarikiwe
 
Kabla sijakushauri,nataka ujue tupo tuliowahi kuyaishi hayo,tukiwa na mama wa kambo na baba asiyejali na m'binafsi,mshirikina sana na anayetaka utajiri wa kafara ya mtoto wa kwanza kuzaliwa [wakiume].
Suluhisho lilikuwa ni kujitenga naye kwa maisha yote,bila kuonana hata kuwasiliana[hiyo ni pamoja na jamii yake yote {pamoja na kuwa tupo mkoa mmoja}na kumwachi kila kitu kisicho hamishika.
USHAURI;
Kwa umri wako huhitaji usimamizi wa baba., Kwa usalama wako,ondoka hapo uende asikokujua,badilisha simu[usiwasiliane na yeyote wa kwenu kwa muda ,ishi maisha yako.
Hata siku moja,usijione mnyonge hata kuwaza kujidhuru kwasababu za ujinga wa mtu [ni upumbavu], chukua hatua mapema na usiage kwa yeyote.
Ahsante sana mkuu kwa kunitia moyo uba
Huyo hataki uwe karibu yake ila we hujamsoma, inawezekana anafanya hivyo ili ujiongeze.

Mzee wangu wakati fulani alikuwa anajenga chumba cha nje kwa ajili ya watoto wa kiume ila ilipofikia muda namalizia chuo alikibadili matumizi akafugia 😂(kwa sasa nimemuelewa). Hapendi kabisa maswala ya kukaa nyumbani muda mrefu na kutokomeza ilo akafanya hivyo. Kwahyo kuna mambo mengine bila kukua vya kutosha ni ngumu sana kuyaelewa.
😁😁😁 nimekuelewa mkuu
 
Kwenye maisha jaribu kubalance shobo lia na anayelia na wewe,nenda na anayeenda na wewe,akikukataa na wewe mkatae.
Yani iweje mambo madogo hivi yakuletee msongo wa mawazo.Ukijifunza kubalance shobo maisha yatakuwa simple sana
Sawa nimekuelewa mkuu wangu
 
Better live your life , usitafutie maisha nyumbani
Go far away and expect nothing from no one

Disappointment comes for those who trust must😭😭😭
Well,,, i understand what you say
 
Back
Top Bottom