Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Yamenifika shingoni sijui la kufanya mimi

Habari,
Pole kwa sintofahamu unayopitia.

1: Kuna mambo yanakuwa magumu kuyasemea kinagaubaga, kwani maelezo yako yameanzia katikati ya mwenendo mzima wa maisha yako na mzazi. Na umejikita kwenye upande hasi zaidi wa maisha yenu.

2: Suala jingine ni kusikiliza/kupata maelezo ya upande mmoja. Ili mtu aweze kuwatibu/kuwapatia mwafaka ni vyema kuwasikiliza wote watatu: baba, mama, mtoto na lia wakati mwingine kuhusisha jirani vs walimu wako.

3: Ni vyema kujua kwa watoto wengine kama wapo, je wao wanamahusiano yapi na wazazi?

Ushauri wa jumla:
1: Pata ndugu, jirani, kiongozi wa dini au mtu yeyote anaeheshimika miongoni mwenu na anaewafahamu ili aweze kuwasikilizeni na kuwasaidia kupata mwafaka kati yenu.

2: Kwako, kwa makosa yoyote mliyowahi kukoseana basi uwe tayari kuanza upya na kwa wema na wazazi wako.

3: Fahamu, kwa umri ulionao wewe utakuwa nani kwenye maisha ni wajibu wako kwa sasa kwa elimu na umri uliofikia.

4: Pamoja na yote, baba bado kuna aliyofanya yawe hasi au chanya kwa njia moja au nyingine amechangia mpaka hapo ulipo hivyo tambua hata yale machache aliyoweza kutimiza.

Hii inatokana na jinsi ulivyoandika mwanzo mwisho ni mambo hasi tu. Mfano: baba hakukupatia pesa kwa kadri ipasavyo, ila ulipataje hela ya ku-save wakati uko shule?
Ni mambo ya kawaida wazazi kutofikia matamanio ya watoto.

Kwa ujumla, kuna pengo kwa kila sehemu hivyo mnahesabiana nakosa likely kwako na wazazi.

Turudishe nyoyo zetu nyuma kwani hata kama ukianza maisha binafsi, ugumu wowote kwenye maisha unaweza kukuletra taharuki ya kuwa inahusiana na sintofahamu toka kwa wazazi.
Alikuwa ananipiga vikwazo kwenye mambo potential sana kwa mfano kipindi naomba mkopo wa chuo hakuonyesha ushirikiano wakati pale kuna fee unalipa mpaka kukamilika haipungui 45000 na hapa nahis hii ni ndogo

Umeuliza kusevu ,, mimi nilisevu kibum
 
Ahsante sana mkuu wangu
Ila acha kujiwazia vitu negative, ushakua mtu mzima.....punguza kutegemea feva feva za wazazi.

Jiwazie maisha yako, panga, inuka tekeleza endelea kujiwazia mazuri, na mazuri yatakufata. Nitakuja pm baadae
 
Well,,, i understand what you say
Familia nyingi Zina migogoro mikubwa sana , na ukiifuatilia vizuri mingi kati ya hiyo husababishwa na wazazi.
Tupo kwenye wakati ambao ndugu zetu wa karibu/wazazi ndo maadui zetu wakubwa kuliko watu Baki ,
NI VILE TU WATOTO HATUSHINDANI NA WAZAZI
 
Toka tafuta pesa ww watakutafuta tuu watakuheshimu watakuona wa maana Mungu akutangilie utafanikiwa
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Kwanza kataa hiyo hali ya kutaka kushare matatizo/mapito yako ili jamii ikufariji au ikuonee huruma ukweli ni no body will give a https://jamii.app/JFUserGuide my dear.

Kaa chini na ujitengenezee your own destiny na kila maamuzi unayoyafanya au mipango yako unayotaka kuifanya jishauri zaidi na wewe mwenyewe mfanye wewe kuwa mtu pekee unayetaka abadilike na kumshape utakavyo.

Wengine tuna ndugu ambao wapo kwenye top 10 ya uongozi wa nchi, ndugu jamaa na marafiki walotuacha mbali sana lakini baada ya kuface ukweli kuwa hakuna atakayekuonea huruma kwenye haya maisha basi tuliweka moyo wa chuki/hasadi/fitina na kila aina ya ubaya pembeni na kuwaombea yaliyo ya khery toka moyoni

Nasi kupambana na kile tunachokiamini japo hustler bado ni ngumu but still tuna pata kutoka kwenye kile chetu kisicho na masimango.

Narudia kataa hio roho ya kutaka public sympath coz wakat unatarajia hyo huruma watu hao hao wanaweza kukushangaza refer quotes utazopata humu
 
Kwanza kataa hiyo hali ya kutaka kushare matatizo/mapito yako ili jamii ikufariji au ikuonee huruma ukweli ni no body will give a JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala my dear.

Kaa chini na ujitengenezee your own destiny na kila maamuzi unayoyafanya au mipango yako unayotaka kuifanya jishauri zaidi na wewe mwenyewe mfanye wewe kuwa mtu pekee unayetaka abadilike na kumshape utakavyo.

Wengine tuna ndugu ambao wapo kwenye top 10 ya uongozi wa nchi, ndugu jamaa na marafiki walotuacha mbali sana lakini baada ya kuface ukweli kuwa hakuna atakayekuonea huruma kwenye haya maisha basi tuliweka moyo wa chuki/hasadi/fitina na kila aina ya ubaya pembeni na kuwaombea yaliyo ya khery toka moyoni

Nasi kupambana na kile tunachokiamini japo hustler bado ni ngumu but still tuna pata kutoka kwenye kile chetu kisicho na masimango.

Narudia kataa hio roho ya kutaka public sympath coz wakat unatarajia hyo huruma watu hao hao wanaweza kukushangaza refer quotes utazopata humu
Ahsante mkuu,,,ila kupitia hichi nilichokiandika kuna watu kimewapa faraja na kujiona sio wao tu tupo na wengine pia tunaopitia izo hali.
Pia hapa kuna wazazi au kuna watu wanaenda kuwa watambue linapotokea inakuwaje kama atamuonyesha mtoto vitendo kama ivyo mkuu,,,af mkuu hata kama mzazi ana hela ndani akakwambia haipo af nawewe mtoto unamuona anahangaika kama hana hela mtoto hawezi kuumia ila ataumia tu pale kaomba hela ya ada unamwambia haipo alafu baadae unarud umelewa au huku mtaan unasifiwa wewe ni bingwa wa kununulia watu kwenye mapab hapo lazima ujenge chuki na familia,,,ujue tu mimi sikutaka kuonewa huruma
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
Story have three side me, you and truth
 
Hayo mambo yapo sema wengi huwa hatuongei tunaishi nayo,hilo jambo sio geni kwenye jamii.
 
Kwa walionizidi umri shikamoni na kwa wa umri wangu habari zenu?

Kilichonileta mbele zenu ni hiki ndugu zanguni ni haya nayopitia na baba yangu licha ya kuwa na maswaibu yanayonisumbua kwa muda mrefu mpaka nashindwa kufanya kazi zangu kwa kuamua bali huwa najilazimisha ivoivo baada ya kuona ambao niliamini wanaweza simama na mimi kwenye haya nayopitia kuchukulia kawaida sana.

Siku moja hawa wazazi niliwaambia inabidi nienda hospitalini wakakaa kimya kwa kuwa nilikuwa nawajua nikajipanga hata kama hawatanisaidia pesa yoyote mimi ntaenda tu, siku ya kwenda ikafika nikajiaandaa wananiangalia tu.

Nikawa naenda hospital ya rufaa hiyo siku naye baba alikuwa anaelekea huko ila sio hospitalini tukawa tupo gari moja tukashuka tulivofika huka nikashangaa aniniuliza unaenda wapi nikamwambia hospitalini akakaa kimya tu tukaachana kila mtu akashika njia yake.

Cha kushangaza akarudi nyumbani na kuniacha huko alafu akaenda kumuulizia mama mimi apa nimeenda wapi?

Sikuona ata simu yake wala ya mama maana vipimo vyangu vilikuwa vinachukua sio chini ya siku 5 kulingana na tatizo langu lipo complicated sana. Basi ndugu zangu nikaendelea kuishi nao hivohivo wala si kusema kitu chochote.

ikatokea tena mda mwingine nataka niende hospital na wala nilikuwa siwategemei tena wakinisaidia sawa wasiponisaidia sawa lazma mimi mwenyewe nijipange kwanza hii time baba akanambia hela hana ila ambayo ipo anataka anunulie mashamba kwanza picha linaanza iyo tulipanga tutakuwa safar moja akaniacha.

Ila mi nilizoea toka niko shule nimefanyiwa mikwazo mingi sana nilienda chuo sikuwahi pewa ata 100 mbovu kabisa maana nauli toka nyumban had huko nilikuwa nasoma ilikuwa haipungui 40000,,,kuna kipindi niliwahi kaa njian wiki 2 kwa kujishikiza kwa dogo fulani ivi ndo nikafika huko chuo.

Hapo niligundua hata nikimaliza chuo sina msaada na huyu baba ikabidi kule chuo nijibane sana bas pesa niliopata kwa kusevu nikawekeza kule nyumbani.

Kuna kipindi wakati nasoma nilijitahidi nikawekeza kwenye kitu cha msimu ile pesa baada ya kupatikana baba akaichukua huku akasema atanipa ndo ikawa mazima.

Wakati namaliza chuo wote wawili wakaniagiza simu kama nina balance niwanunulie simu watanipa ela nikifika nyumbani ikawa ndo bas tena wakati mi nilikuwa nawaza hizo ndo hela zitanisaidia ninavoingia mtaani hii yote nilikuwa najua nafanya wema kumbe najimaliza.

Life la mtaa likaanza sasa nikajiingiza kwenye moja ya zao kama mnavojua haya mazao yanataka mbolea sasa mimi nikamwomba uyu baba siku unaenda huko tutaenda wote nikaangalie mbolea maana kule bei nafuu kuliko sehemu ninakoishi nikafos maana iyo siku nayo alikuwa anataka kuniacha.

Nikaenda kutafuta zile mbolea na kuuliza bei na yeye nikamwambia akasema zimepanda zilikuwa haziuzwi hivyo, basi akaniambia kunamtu huwa namubebea anajumuaga labda tukaunganishe naye nikasema sawa bas inabidi uwasiliane naye kama inawezekana ili niwe na uhakika chenga zikawa nyingi kiufupi ikawa haeleweki bas nikamwambia mimi ntaenda kuchukua kwa bei nilizozikuta siku ukiwa unaenda uniambie akapata safari ya kwenda tena uko cha ajabu hata hajaniambia.

Hapa nina maswali sana kwani ipo wazi huyu baba yangu furaha yake ni kuniona nateseka hilo ameanza kitambo sema mi najishobokesha tu niliamini atabadilika hapa nawaza kumkimbia kabisa huku nikiumia hilo zao nimewekeza kwa miaka isiopungua mi5 ila naliacha iviivi kisa visa vya baba ambaye niliamini ndo anaweza kuwa nguzo yangu na mshauri ila ndo mtu wa kwanza kunipiga vita, niliamini atabariki kazi zangu ila imekuwa tofauti sana😭😭😭😭 sina mpango wa kuuza ayo maeneo ili niondoke ni bora nimkimbie na nimuachie ilo zao kama atakataa kuliendeleza acha life tu sina namna.

Hivi na nyie mmewahi yapitia haya nishaulini jamani nafanyaje jamani kunamda huwa nawaza nijitoe dunian kabisa.

Nina mengi haya ni machache sana . Yani hapa ninavoongea licha ya kupita huko shule ya msingi, sekondari, advance had chuo kikuu sijawahi fanyiwa sherehe hata moja ndugu zanguni naombeni ushauri wowote kulingana na maelezo ya hapo juu
usitafute furaha kwa kiumbe mwingine..jipende wewe kwanza
 
Back
Top Bottom