Yamenikuta!

Hahaha, hayana formula haya, ukimpata unayempenda, utayavumilia tu mengine.
 
Ukisimama vizuri na hiyo namba 1, basi hutateswa na hizo namba nyingine kwenye orodha. Hiyo ni kwa jinsia zote. Yaani 'mdada/mkaka'.

Ova
 
Achana naye fanya mambo mengine!
 
Stupid
 
Japokuwa watu watakucheka ila namba 4 huwa inachukuliwa poa until ukiishi nae ndipo unajua she is damaged way long.
Vingine vyote vina vary na mtu anatoka wapi na malezi gani.
Mwisho Muombe sana Mungu, dunia imeharibika. Mungu ndio anajua yupi ni sahihi kwako
 
No 3. Mwanamke ni muhimu sana kuwa na maisha yake, wanaume mna dharau sana mwanamke akiwa hana kazi naandika kwa experience. Mwanaume ambae hataki mwanamke anaejitegemea najua fika ni mnyanyashaji.
Nafikiri ita vary unakutana na yupi. From my experience wote mkiwa na kazi maisha yanaenda.
From experience wakati najitafuta, even mwanamke ambae alikuwa hana kazi na nipo nae alisepa.
So it not about kazi, is about character ya mtu na malezi yake.
Kama tabia chafu alikuwa nazo hata akiwa na kazi hatoenda mahali
 
Kwani watakuelewa basi...
Hadi mtu apigwe na kitu kizito ndo akili inakaa sawa, akirudi normal anaendelea kama kawa.
Na wewe ni suala la muda tu utarudia kuokotaokota
Hii kuokotaokota hii...sio poa kabisa....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…