huyo nuh mziwanda ndio nani?! picha yake please.
hee hee mwaka huu mbona mmbaya kwa akina mario? mbasha, ezden, mziwanda,_________( list inaendela)
Daaa namuonea huruma huyu kijana Nuhu maana bila shaka anajuta! Tusubiri na yeye atafunguka kama Ezidel!
Akati anajichora tatoo hakuwaza yote hayo, wanawake wenyew wa mjini mtu unajitoa ufahamu kujichora tatoo.. kazi atakua nayo
huyo nuh mziwanda ndio nani?! picha yake please.
huyu dogo ni taahira toka zamani ni classmate wangu...toka shule ni mpenda sifa za kijinga..na elimu kichwani humo hamna yani ni bure kabisa...hongera shilole mfundshe maisha huyo bwana mdogo
Kama elimu kichwan hakuna basi wote hamna kitu,umesema n classmate wako mkuuu
Sent from my iPhone using JamiiForums.🔩🔨uuuu