Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi naona wamnunulie kila mwananchi generator yake,maana sisi Ni donor country,pesa sio shida kwetu.Kwanini hawakusema mapema?! ila 65% ya umeme nchini unazalishwa kwa gesi, sasa inakuaje hiyo? Waongeze uzalishaji wa kutumia gesi Kinyerezi
Hahhahaha... Naona mchwa walivyofufuka sasa
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao
View attachment 2015253
Washaseti mipango na mabalozi wa Saudi, Sweden na Norway, capacity charge bilioni 10 kwa siku, tutakoma bei ya umemeHi isije ikawa ni mbinu za kuwaludisha kina singa singa kwenye harakati za upigaji,
Makamba ndio amekausha mabwawaMakamba, January makamba. Shirika hili unaliweza?
Mkuu hapa issue ni kuanza kupanga kazi zetu Kama Tanesco walivyotushauriNadhani hatimae watu ndo wataelewa...
It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!
Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...
Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!
Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
Mabwawa yamekauka leo asubuhi? Mipango yake iko wapi na ilikuwa ni ipiMakamba ndio amekausha mabwawa
Huyu Waziri anayevaa mashati ya mikono mirefu kisha anayakunja mpaka kwenye viwiko kama Obama, si ndiye aliyetudanganya kuwa wako kwenye "maintenance", kumbe maji hakuna, kulikuwa na sababu gani watu wazima kudanganyana hovyo?Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao
View attachment 2015253
Makamba ndio amekausha mabwawa
Huyu Zitto ni msenge na mpumbavu sana! Unaudini ndo unakusumbua acha ujinga wako! Si ulisema hutakosoa!