Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Waziri mkuu na waziri wa Nishati wajiuzulu, mbona Kenya umeme haukatiki

259DFD1C-5CCA-4D60-B907-CA754868EAF4.jpeg
 
Kwahiyo Magufuli angezuia maji kupungua!!? Tushajua unakoelekea hivyo tuna kupuuza.
Huyu Waziri anayevaa mashati ya mikono mirefu kisha anayakunja mpaka kwenye viwiko kama Obama, si ndiye aliyetudanganya kuwa wako kwenye "maintenance", kumbe maji hakuna, kulikuwa na sababu gani watu wazima kudanganyana hovyo?

Kuna watu tangu awamu ya 4 utendaji kazi wao ni wa kisanii sanii, uongo uongo, wizi wizi, uswahili swahili tu.
Mlidanganywa Mil 50 kila kijiji mbona mlikaa kimya
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Hawa jamaa sindowalikuwa wanapunguza maji kwa makusudi pale kidatu, kwahiyo kale kamchezo tunaendelea nako
 
Mkuu hapa issue ni kuanza kupanga kazi zetu Kama Tanesco walivyotushauri
Man,

Linapokuja suala la umeme hakuna cha kuanza kupanga kazi zetu kwa sababu ni wachache sana wanaoweza kuchukua tahadhali kutokana na ukosefu wa umeme!!

Watu huwa hawanielewi kabisa ninapowaambia bora kuwe na upungufu wa maji kuliko umeme kwa sababu, tahadhali hiyo ya TANESCO ingekuwa ni DAWASA, unaenda tu kununua madumu yako 20, unayaweka standby!

Siku yenu ya kupata maji ikifika, unajaza madumu yako yote, mnaanza kutumia kwa uangalifu!!

Yasipotoka, unaweza kununua hata kwa wasambaza maji kwa njia ya magari, na maisha yanaendelea!!!

What about umeme?!
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Hawa jamaa sindowalikuwa wanapunguza maji kwa makusudi pale kidatu, kwahiyo kale kamchezo tunaendelea nako 🐸🐸
 
Bado tu watu tutapinga🤣🤣

Yaani mtu anaona kabisa JUA NA JOTO KALI......

Yaani mtu anaona kabisa WANYAMA kukosa malisho hata kwa majirani zetu Kenya.......

Yaani mtu anaona kabisa hata vimefereji huku mitaani vimekuwa vikavuuuu......ila bado tu anamlaumu mh.Makamba na serikali mpya duuuuh kweli PINGA PINGA FC 🤣🤣🤣


SIEMPRE JMT
 
Back
Top Bottom