Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Yametimia: TANESCO yakiri uhaba wa umeme. Kutoa 'Taarifa' watu wapange kazi zao

Mwendazake kaendesha mitambo bila service sasa ipo hoi.
Mwenyezi Mungu naye katutandika kwa Jua kali na Ukame kwa sababu ya maovu ya viongozi wetu dhidi ya roho zisizo ha hatia kumlilia (collective responsibility) inatupata na sisi tusio na hatia.
Mkuu hii ni excuse ya kuepuka uwajibikaji, maana hiyo mitambo Kama ilikuwa haifanyiwi service ingezimika kabla hajafa.
 
Mzilankende
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Ile plant mpya ya Nyerere haitakuwa na mambo haya ya maji kupungua?
 
kama uliendesha gari lako bila service kuna siku litakuzimikia barabarani - ndiyo hivi sasa !! tulia ukweli uzungumzwe. Makamba na Tanesco wapo sahihi, miaka 5 no service ya mitambo unategemea nini hapo? washa, washaa, washa sasa matokeo yake ndiyo haya.
Mnadanganywa; ni hivi katika generating station kama Kidatu na Kihansi huwa kuna standby generator wakati wa matengenezo wanazima moja wanawasha standby generator, wakimaliza wanaendelea na lingine hadi maintenance yote inaisha bila kuathiri uzalishaji. Hivyo hao wanaosena JPM alizuia maintanance wanacapitalise ujinga wa watu kutoelewa namna scheduled maintanance inavyofanyika. Hakuna ulazima wa kuzima mitambo ili kufanya maintanance. Kwa ufupi huwa kuna genereta ya/ za ziada ili kutoa mwanya wa matengenezo.
 
Wewe Nipo huru, embu lete nyago huku, ujionee mgao wa umeme. Mkiwa mnaambiwa vitu au kuelekezwa vitu msijifanye kushupaza shingo. Kuja ujionee madudu yenu ulokuwa unayetetea jana, kwenye uzi wa biashara za majenerator na Solar kupamba moto.
Itakuwa kile kikundi cha Bashiru, Polepole na Musukuma kinahujumu serikali ya awamu ya sita ili ionekane imeshindwa kufanya kazi vizuri.
 
Waswahili wanasema usiku wa deni haukawii, leo Tanesco wametoa statement ya kuonyesha uhaba wa uzalishaji umeme kutokana na kina cha maji kupungua.
Hivyo watatoa ratiba ya umeme, watu wajipange
Waziri alisema sababu ni maintenance, lakini kumbe sio. Kazi iendelee
Eti watu waanze kupanga kazi zao

View attachment 2015253
Aisee yale mambo ya awamu ileee yanarudi kwa kasi sanaa sanaa!!tutakoma walahi
 
Nadhani hatimae watu ndo wataelewa...

It's just last week nimehoji mara kadhaa hapa, kama sio 57% ya umeme unaotokana na gesi, nchi ingekuwa katika hali gani wakati umeme wa maji ni ONLY around 36%?!

Kiukame kidogo tu, tushaanza kutafutana...

Huku Misukule ikikazana kwamba, kwavile kuna Bwawa la Nyerere linajengwa basi ku-explore vyanzo vingine vya umeme ni kutaka kumhujumu JPM ili ionekane Mradi wa Bwawa la Nyerere haufai!!

Tuna taifa lenye viumbe wa ajabu sana...
acha ijinga mkuu
 
Makamba ndio amekausha mabwawa
Mwaka Jana nvua zilizidi na mabwawa yote walifungulia maji yaliyozidi kiwango kinachotakiwa.
huu ni mwezi wa 11 mgao umeanza mwezi wa 9 hifadhi ya maji kwenye mabwawa imetumika miezi 2 huu Ni uongo mwingine.
Warudi tu walipopakusudia umeme wa Akina Singh tupigwe tena.
twafaaaaaaa.
 
🤡🤡🤡
_jt0.jpg
 
Back
Top Bottom