Yamoto Band waachana rasmi, kila mtu yupo kivyake

Tishio kwa nani ww? acha kumpigapiga mikwara tatzo we kujitia mjiaji kwa kila ktu katika hali ya kawaida haiwezekani mtu atajua kila ktu!
 
Yule wa una rambo,mi nna muwa,sijui wimbo wake utakuaje asee
 
Ukiimbia siasa za kampeni umeisha Sam wa ukweli yuko wapi
 
Ungalikuwa mtoto wa mjini ungalijua kuwa unga unaingia na kutoka bongo kama kawaida.Alafu hao madogo show za nje walizofanya tokea wanaanza mpaka leo hazifiki 10,sasa sjui huo upunda walikuwa wanaufanyia wapi
 
Tishio kwa nani ww? acha kumpigapiga mikwara tatzo we kujitia mjiaji kwa kila ktu katika hali ya kawaida haiwezekani mtu atajua kila ktu!

Usiseme katika hali ya kawaida haiwezekani Mtu kujua kila kitu bali rahisisha tu maelezo yako kwa kusema kuwa katika hali yako tu ya kawaida ya upumbavu uliotukuka ulionao huwezi ukajua kila kitu.

Acha kufanya generalization labda ukidhani wote ni ' hopeless ' kama ulivyo.
 
Ungalikuwa mtoto wa mjini ungalijua kuwa unga unaingia na kutoka bongo kama kawaida.Alafu hao madogo show za nje walizofanya tokea wanaanza mpaka leo hazifiki 10,sasa sjui huo upunda walikuwa wanaufanyia wapi

Kumbe siku hizi hata wale ' Wakuja ' wa Dar ambao hata hawana miaka 5 au 7 hapa jijini na wao wanajiita Watoto wa mjini? Nilikuwa sijui!
 
Reactions: SDG
Kumbe siku hizi hata wale ' Wakuja ' wa Dar ambao hata hawana miaka 5 au 7 hapa jijini na wao wanajiita Watoto wa mjini? Nilikuwa sijui!
Mkuu nimezaliwa agha khan,sasa kama agha khan iko misungwi sawa.alafu sikujisifu kuwa mtoto wa mjini,you did.
 
Mkuu nimezaliwa agha khan,sasa kama agha khan iko misungwi sawa.alafu sikujisifu kuwa mtoto wa mjini,you did.

Kumbe umezaliwa Agha Khan Mkuu? Mimi nilidhani labda umezaliwa IKULU ndani pengine ndiyo ningetishika nawe kidogo.
 
Waooooooooo!
 
Hapo atakayekwama ni yule bela sijui ataimba nini masikini..yeye anajua kujikakamua tu kutoa sauti nzito na kusema maneno mawili basi kamaliza.. bendi ilikua inamuokoa..au labda aimbe una rambo remix
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
niliwahi kuwaza yule dogo kundi likifa ataenda wap, mpaka sasa sijui ataenda wap
labda amtafute mama Asha Baraka ende twanga pepeta
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Yaani hilo jamaa sijui linaona fahari gani kutamba linajua kilakitu humu JF wakati linatumia fake ID, angalau hata wakina Le Mbururaz wanautumia huo umuch know wao na kujipendekeza kutengeneza hela. Sometimes anajifanya Jasusi kutoka Rwanda, yaani ilimradi tu nayeye aonekane mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…