Yamoto Band waachana rasmi, kila mtu yupo kivyake

Yamoto Band waachana rasmi, kila mtu yupo kivyake

Naendelea kukupa ONYO kuwa nadhani ' unalolitaka ' kutoka Kwangu utalipata very soon. Halafu ulivyo ' Mpumbavu ' na unavyoniogopa umeamua uwe ' unanikabili ' kwa kutumia ID yako hii nyingine badala ya ile nyingine iliyozoeleka. Kuwa Kwangu ' Knowledgeable ' kusikufanye ' unichukie ' badala yake tumia muda huo kujiuliza kwanini ulizaliwa ukiwa ' Mpumbavu ' hivyo na siku zote hata Kisaikolojia wanasema ukiona Mtoto ana ' maarifa ' na ' mwerevu ' basi jua ya kwamba hata Wazazi wake nao walikuwa na ni ' Vipanga ' sana na opposite yake ni kama ulivyo Wewe. Utanichukia sana GENTAMYCINE kwa kuwa na ' maarifa ' ya kuyajua mambo mengi lakini sitobadilika na nitakuwa hivi hivi na nashukuru Mwenyezi Mungu wapo wanaonielewa na kunikubali.

Hakuna kitu kibaya duniani kama kuwa na ' Uchi ' wa akili ulionao. Tafadhali naomba ukirudi tena Kwangu uje na ile ID yako tunayoijua humu na iliyozoeleka na wengi. Mbona Mimi sibadili ID natiririka na naserereka na hii hii tu sasa iweje Wewe uniogope na kila uchao ukitaka kunikabili unakuja na ID zingine? Sikujua kama kumbe GENTAMYCINE ni ' tishio ' hivi.
Tishio kwa nani ww? acha kumpigapiga mikwara tatzo we kujitia mjiaji kwa kila ktu katika hali ya kawaida haiwezekani mtu atajua kila ktu!
 
Yule wa una rambo,mi nna muwa,sijui wimbo wake utakuaje asee
 
Ukiimbia siasa za kampeni umeisha Sam wa ukweli yuko wapi
 
Tuliyajua na kuyategemea hayo mapema sana na lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye umefika. Na wala wasizunguke zunguke katika kusema ukweli mara sijui Mkubwa na Wanae hawatakuwa nao tena bali ' Watoto wa Mjini ' tunajua kwanini sasa hali imekuwa ' tete '. Hao ' Vijana ' walikuwa ni ' Mabegi / Mapunda ' wa akina Fella na Kundi lake ukimjumuisha Yule ' Taita ' wao aliyekimbilia South Africa Mtoto wa aliyekuwa ' Kada ' mmoja hivi ' maarufu ' katika Chama fulani hapa Tanzania. Baada ya ' ujio ' wa MWANAMUME Rais JPM na kuanza ' Kampeni ' kabambe ya kupambana na matumizi na uingizaji dawa za Kulevya ' Ngada / Powder ' nchini Tanzania ' Biashara ' sasa imekuwa ngumu hivyo akina Mkubwa na Wanawe ( Fella ) wameshindwa kuwaendesha na ' Pesa ' sasa hawana tena ila wanaishi tu ' kiujanja ujanja / kimjinimjini '.Watawadanganyeni nyie tu msiojua ' mchezo ' wao huo mchafu ila siyo sisi wenye jiji letu hili.
Ungalikuwa mtoto wa mjini ungalijua kuwa unga unaingia na kutoka bongo kama kawaida.Alafu hao madogo show za nje walizofanya tokea wanaanza mpaka leo hazifiki 10,sasa sjui huo upunda walikuwa wanaufanyia wapi
 
Tishio kwa nani ww? acha kumpigapiga mikwara tatzo we kujitia mjiaji kwa kila ktu katika hali ya kawaida haiwezekani mtu atajua kila ktu!

Usiseme katika hali ya kawaida haiwezekani Mtu kujua kila kitu bali rahisisha tu maelezo yako kwa kusema kuwa katika hali yako tu ya kawaida ya upumbavu uliotukuka ulionao huwezi ukajua kila kitu.

Acha kufanya generalization labda ukidhani wote ni ' hopeless ' kama ulivyo.
 
Ungalikuwa mtoto wa mjini ungalijua kuwa unga unaingia na kutoka bongo kama kawaida.Alafu hao madogo show za nje walizofanya tokea wanaanza mpaka leo hazifiki 10,sasa sjui huo upunda walikuwa wanaufanyia wapi

Kumbe siku hizi hata wale ' Wakuja ' wa Dar ambao hata hawana miaka 5 au 7 hapa jijini na wao wanajiita Watoto wa mjini? Nilikuwa sijui!
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Kumbe siku hizi hata wale ' Wakuja ' wa Dar ambao hata hawana miaka 5 au 7 hapa jijini na wao wanajiita Watoto wa mjini? Nilikuwa sijui!
Mkuu nimezaliwa agha khan,sasa kama agha khan iko misungwi sawa.alafu sikujisifu kuwa mtoto wa mjini,you did.
 
Mkuu nimezaliwa agha khan,sasa kama agha khan iko misungwi sawa.alafu sikujisifu kuwa mtoto wa mjini,you did.

Kumbe umezaliwa Agha Khan Mkuu? Mimi nilidhani labda umezaliwa IKULU ndani pengine ndiyo ningetishika nawe kidogo.
 
Usiseme katika hali ya kawaida haiwezekani Mtu kujua kila kitu bali rahisisha tu maelezo yako kwa kusema kuwa katika hali yako tu ya kawaida ya upumbavu uliotukuka ulionao huwezi ukajua kila kitu.

Acha kufanya generalization labda ukidhani wote ni ' hopeless ' kama ulivyo.
Waooooooooo!
 
Hapo atakayekwama ni yule bela sijui ataimba nini masikini..yeye anajua kujikakamua tu kutoa sauti nzito na kusema maneno mawili basi kamaliza.. bendi ilikua inamuokoa..au labda aimbe una rambo remix
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
niliwahi kuwaza yule dogo kundi likifa ataenda wap, mpaka sasa sijui ataenda wap
labda amtafute mama Asha Baraka ende twanga pepeta
 
Hapo ambaye hatoteteleka ni Aslay hao wengine ndo mwisho wao kimuziki haswa huyo Enock Bella

Maromboso na Beka imba yao ni ya kawaida sana sidhani kama wanaweza kutoa hit songs

Huyo Enock Bella bora arudi kukata mauno ndo fani yake mziki ndo basi tena
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Dah...yaani cjawahi kuona mtu mjuaji km hyu jamaa ukija mwenye siasa atajifanya anafahamiana na nani cjui kwenye mpira nako atajifanya alicheza na nani cjui hakuna kiongozi wa nchi ama mtu maarufu asofahamiana na Gentamycine eti "wenye jiji letu" haaahaaaaaa na babu yangu mzee Mtupa asemaje?
Yaani hilo jamaa sijui linaona fahari gani kutamba linajua kilakitu humu JF wakati linatumia fake ID, angalau hata wakina Le Mbururaz wanautumia huo umuch know wao na kujipendekeza kutengeneza hela. Sometimes anajifanya Jasusi kutoka Rwanda, yaani ilimradi tu nayeye aonekane mtu
 
Back
Top Bottom