Cku akiamua kuzungumzia usalama wa nchi ndio utachokaaaaa ahamie kwenye tasnia ya utangazaji ss utabaki mdomo wazi mchambuzi yy mkurugenzi wa vipindi yy watangazaji wooooote hawana ethics za utangazaji ila yy ndie anaejua linakera sana hili jamaa!Yaani hilo jamaa sijui linaona fahari gani kutamba linajua kilakitu humu JF wakati linatumia fake ID, angalau hata wakina Le Mbururaz wanautumia huo umuch know wao na kujipendekeza kutengeneza hela. Sometimes anajifanya Jasusi kutoka Rwanda, yaani ilimradi tu nayeye aonekane mtu
Yaani hilo jamaa sijui linaona fahari gani kutamba linajua kilakitu humu JF wakati linatumia fake ID, angalau hata wakina Le Mbururaz wanautumia huo umuch know wao na kujipendekeza kutengeneza hela. Sometimes anajifanya Jasusi kutoka Rwanda, yaani ilimradi tu nayeye aonekane mtu
We unajulikana unapenda ligi.haya chukua kikombe [emoji471] umeshinda.
Eti ningezaliwa ikulu,kwani magogoni kuna wadi ya wazazi?
Kumbe umezaliwa Agha Khan Mkuu? Mimi nilidhani labda umezaliwa IKULU ndani pengine ndiyo ningetishika nawe kidogo.
Weraaaa weraaaaa wanaume Wa Dar haoUngalikuwa mtoto wa mjini ungalijua kuwa unga unaingia na kutoka bongo kama kawaida.Alafu hao madogo show za nje walizofanya tokea wanaanza mpaka leo hazifiki 10,sasa sjui huo upunda walikuwa wanaufanyia wapi
OyoooooooCku akiamua kuzungumzia usalama wa nchi ndio utachokaaaaa ahamie kwenye tasnia ya utangazaji ss utabaki mdomo wazi mchambuzi yy mkurugenzi wa vipindi yy watangazaji wooooote hawana ethics za utangazaji ila yy ndie anaejua linakera sana hili jamaa!
Kuna wimbo flani hivi wameimba hawa jamaa kama wa maombolezo hivi afu wanataja hadi kina tx moshi na gurumo! Mwenye nao plz
Mkuu achana na huyu jamaa, anajidai mjuaji saana, kila kitu yy anakijua. Aliparamia thread yangu hiko MMU utasema yake. Anatafuta sifa JF achana naeTishio kwa nani ww? acha kumpigapiga mikwara tatzo we kujitia mjiaji kwa kila ktu katika hali ya kawaida haiwezekani mtu atajua kila ktu!
Nimekuelewa ndg yng inakera sana!Mkuu achana na huyu jamaa, anajidai mjuaji saana, kila kitu yy anakijua. Aliparamia thread yangu hiko MMU utasema yake. Anatafuta sifa JF achana nae
Unaonekana umekasirika Sana fstborn, achana nae huyoNimekuelewa ndg yng inakera sana!
Halafu hataki kishindwaMkuu achana na huyu jamaa, anajidai mjuaji saana, kila kitu yy anakijua. Aliparamia thread yangu hiko MMU utasema yake. Anatafuta sifa JF achana nae
Hee kuna usalama kweli wa kupewa zile nyumba zao? Maana majina yao makubwa ila mafanikio kiuchumi hawana
huyo maromboso atarap-rap kapuni.
Aslay atafanikiwa zaidi kimuziki akiwa solo, wasiwasi wangu ni kwa wengine, ila Beka naye kaniprove wrong huu wimbo wake unaosema sijui 'unitupe ununio' uko poa sana sikutegemea