Fstborn
JF-Expert Member
- Nov 27, 2016
- 507
- 527
Cku akiamua kuzungumzia usalama wa nchi ndio utachokaaaaa ahamie kwenye tasnia ya utangazaji ss utabaki mdomo wazi mchambuzi yy mkurugenzi wa vipindi yy watangazaji wooooote hawana ethics za utangazaji ila yy ndie anaejua linakera sana hili jamaa!Yaani hilo jamaa sijui linaona fahari gani kutamba linajua kilakitu humu JF wakati linatumia fake ID, angalau hata wakina Le Mbururaz wanautumia huo umuch know wao na kujipendekeza kutengeneza hela. Sometimes anajifanya Jasusi kutoka Rwanda, yaani ilimradi tu nayeye aonekane mtu