Mkali Mapanga
Senior Member
- May 17, 2017
- 100
- 66
Wameruhusiwa kufanya projects binafsi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuliyajua na kuyategemea hayo mapema sana na lilikuwa ni suala la muda tu na hatimaye umefika. Na wala wasizunguke zunguke katika kusema ukweli mara sijui Mkubwa na Wanae hawatakuwa nao tena bali ' Watoto wa Mjini ' tunajua kwanini sasa hali imekuwa ' tete '. Hao ' Vijana ' walikuwa ni ' Mabegi / Mapunda ' wa akina Fella na Kundi lake ukimjumuisha Yule ' Taita ' wao aliyekimbilia South Africa Mtoto wa aliyekuwa ' Kada ' mmoja hivi ' maarufu ' katika Chama fulani hapa Tanzania. Baada ya ' ujio ' wa MWANAMUME Rais JPM na kuanza ' Kampeni ' kabambe ya kupambana na matumizi na uingizaji dawa za Kulevya ' Ngada / Powder ' nchini Tanzania ' Biashara ' sasa imekuwa ngumu hivyo akina Mkubwa na Wanawe ( Fella ) wameshindwa kuwaendesha na ' Pesa ' sasa hawana tena ila wanaishi tu ' kiujanja ujanja / kimjinimjini '.Watawadanganyeni nyie tu msiojua ' mchezo ' wao huo mchafu ila siyo sisi wenye jiji letu hili.
Hapo atakayekwama ni yule bela sijui ataimba nini masikini..yeye anajua kujikakamua tu kutoa sauti nzito na kusema maneno mawili basi kamaliza.. bendi ilikua inamuokoa..au labda aimbe una rambo remix
Yamoto band enzi wako moto walikuwa wanapiga show angalau mara3 kwa wiki, na show zao zinaenda kuanzia mil 5 - 15, tuchukulie show zote walikuwa wanapiga kwa mil 8, na mfano kwa miaka miwili wamepiga show 100 (excluding zile za kampeni na ikulu), je wanashindwa kujenga huto tu apartment? Acheni mawazo mgando, hawa vijana wametengeneza pesa nyingi kwa show pekeeNdio maana huwa najiuliza yamoto band hawa wako wanne na bado Fella hajachukua chake, leo wanna majumba yalee!? Iko namna kwa kweli.
Kweli mkuu watu wana mawazo mgando.Yamoto band enzi wako moto walikuwa wanapiga show angalau mara3 kwa wiki, na show zao zinaenda kuanzia mil 5 - 15, tuchukulie show zote walikuwa wanapiga kwa mil 8, na mfano kwa miaka miwili wamepiga show 100 (excluding zile za kampeni na ikulu), je wanashindwa kujenga huto tu apartment? Acheni mawazo mgando, hawa vijana wametengeneza pesa nyingi kwa show pekee
Baadae nipo atakielewa. Processor bado iko kaziniWasanii:Ya Moto Band
Wimbo:Ngurumo
View attachment 510669
Naamini unajua cha kufanya baada ya hapo,mambo za kutumiana umu hakuna maana tukitumiana tu basi ID zinakua uchi rasmi....[emoji23][emoji23][emoji23]
Yamoto band enzi wako moto walikuwa wanapiga show angalau mara3 kwa wiki, na show zao zinaenda kuanzia mil 5 - 15, tuchukulie show zote walikuwa wanapiga kwa mil 8, na mfano kwa miaka miwili wamepiga show 100 (excluding zile za kampeni na ikulu), je wanashindwa kujenga huto tu apartment? Acheni mawazo mgando, hawa vijana wametengeneza pesa nyingi kwa show pekee
Mbona huyo dogo ashawahi kuimba nyimbo nje ya kundi toka muda tuu, hamna kitu mle , aslay anajiweza, sasa yule mwenye base cjui itakuwaje[emoji13]Hivi unamjua maromboso wewee???
dah mkuu tumemjuaHivi unamjua maromboso wewee???
Taarifa ilikuwa n feki.Ohoo..kundi halijasambaratika ila mkubwa kawapa ruksa kila mmoja kufanya kazi za solo kwa wakati wake na ikihitajika wafanye kama kundi watafanya na bado wapo chini ya mkubwa.TAARIFA YAKO NI FEKI MKUU!!
Mkuu nakusalimiaMbona huyo dogo ashawahi kuimba nyimbo nje ya kundi toka muda tuu, hamna kitu mle , aslay anajiweza, sasa yule mwenye base cjui itakuwaje[emoji13]
Huyo Beka naye sio kivileLeo wote aslay, mbosso, na beka wana hit kweny game ila enock bellah mmmmh chaliii
Sent using Jamii Forums mobile app