Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Ingawa naichukia ccm na watu wake lkn kwa hili Mwigulu naona anakulipa ili kumpigania na kumtafutia sympathy kwa wananchi.
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.

MBONA HAO WOTE WA WILI SIYO PRESIDENTIAL CANDIDATES ?
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Nimecheka kwa nguvu eti chawa wa Mwigulu unasema Mwigulu ni muadilifu!
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Wala wasihangaike na kutumia nguvu nyingi kiasi hicho. Mwigulu Nchemba na Januari Makamba HAWAWEZI kuwa ma Rais wa nchi hii hadi umauti uwakute.

Kutaka uRais siyo kupata uRais. Wengi walitaka wakafariki bila kuwa maRais kama Horace Kolimba, Seif Sharrif Hamad, Edward Lowassa, Bernard Membe.

The more unasemwa kuwa Rais nchi hii ndiyo the more unatoka kwenye kapu. Muulize Salim Ahmed Salim, John Malecela au Mohamed Gharib Bilali.

Wanao kaa kimya ndiyo hupata uRais kama vile AH Mwinyi, Ben Mkapa, Magufuli na huyu wa sasa Rais Samia.

Mark my post, tutarudi hapa 2030
 
ili ccm ishinde uchaguzi 2030 ,waweke kati ya hawa:

1.JOSAPHAT GWAJIMA
2.PAUL CHRISTIAN MAKONDA
3.HUMFREY POLE POLE
4.MH MAJALIWA
5.MH LUKUVI

WENGINE WAJAGE 2040.

1.JANUARY MAKAMBA
2.RIDHIWANI KIKWETE
3.MWIGULU CHEMBA
4.
KWANI WTAKUWA WAMEZEEKA?

SJIDA NI MKATA MWITONGO NDO UNAVURUGA TAASISI YA URAIS KUTZUIA TUCHAGUE WAZALENDO WA NCHI HII
 
Kama anakwepa hivyo basi jamaa ni mpigaji smart sana
Yaani yuko ahead kwa yatakayotokea baadae
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Ni kama wanaoponda Samia hawana hoja ila uzushi,chuki na upumbavu wao kisa ni Mzanzibari lakini hakuna Rais aliye deliver so far kumzidi Samia.

Na Waziri wake wa Fedha ni Mwigulu na ameleta Mageuzi mengi sana kiasi kwamba Hadi dakika hii amewezesha TRA kukusanya pesa kutoka wastani wa 1.5T mwaka 2020/21 Hadi 2.3T mwaka 202/2024 yaani ongezeko la Bilioni 800 kwa miaka 3 tuu.
 
Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Hii mada yako hii, huwezi kutuletea hapo 2027 hivi, maanake kwa sasa unatafuta tu kututoa kwenye muda muhimu sana katika taifa letu hili. Mkazo sasa ni kuitazama 2025, tukikosea tu hapa, hiyo 2030 haina maana sana.

Naona kama unatafuta kutupotezea lengo muhimu, kwa mada yako hii.
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Tulia ni mpuuzi ila mwigulu ni mpuuzi zaidi
 
Back
Top Bottom