Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

Takataka TU!! Njaa mbaya sana




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Swa
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Sawa chawa wa Mwigulu
 
huo mwaka Mungu ameniambia hao wote uliowataja watakuwa hawapo ...labda Mungu aniambie vinginevyo siku za karibuni
 
Chawa wa Mwingulu kazini. Nyie ndiyo mwaka 2015 mliandika mawe yote yaliyoko kando ya barabara za Tanzania ''Mwingulu rais 2015''. Sasa mmeacha kuandika mawe mnarudi JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.

Mwigulu umekuja na ID hii tena? Au wewe ni Esther?
 
Kila kiongozi afanye majukumu yake vizuri hakuna haja ya kuja kuteteana humu, kazi zako zitakutetea kama JPM au Makonda.
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Yaani Kwa akili zako ndogo hizo unaona kabisa Mwigulu ni kiongozi muadilifu na anafaa kufikiriwa kwenye ngazi ya urais??

Jamani mbona Uchawa unawatia upofu??
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Sikuhitaji kusoma ulichokiandika hadi mwisho bali nimesoma aya ya kwanza tu nikaona wewe ni amnazo kabisa. Kama umehongwa na Mwigulu kuandika huo upuuzi mrudishie pesa yake huyo mshenzi aliyehonga watu kuandika jina lake kwenye mawe nchi nzima, Mwigulu ana akili finyu sana ambazo zinamnyima sifa hata ya kuwa Waziri sembuse Urais?
 
Imefahamika kuwa Tulia Akson Mwansasu Spika wa bunge, anaendesha genge haramu ndani na nje ya bunge la kuhakikisha wanamkata miguu mapema Mwigulu Nchemba wakimhofia kuwa anaweza kuwa tishio kubwa katika kipute cha ugombea Urais ndani ya CCM mwaka 2030, baada ya Dkt Samia kumaliza muda wake.

Imefahamika kuwa Spika Tulia na baadhi ya wanasiasa wanaopiga hesabu ya urais wa 2030 wameunda genge haramu ambalo wamekuwa wakilituma bungeni kumshambulia Mwigulu Nchemba ili kumchafua, kumbomoa na kumkosesha imani kwa wananchi mapema kabla ya 2030, imefahamika pia mikakati yao hiyo inapangwa nje ya bunge na kuja kutekelezwa ndani ya bunge chini ya usimamizi wa Spika Tulia Akson ambae anashiriki vikao hivyo vya gizani, na huwa anaingia Bungeni akiwa anayajua mabomu yote waliyoyaanda kwa siku husika na namna gani atakavyogeuka kuwa jaji wa kurahisha michezo yao.

Mtandao huo mkubwa umeundwa kwa lengo kuu la kumweka Mwigulu kwenye Kona kali kila anapoongea bungeni, lakini cha kustaajabisha hivi karibuni baadhi ya wanamtandao huo wametambua yote yanayopikwa kwajili ya kumhusisha Mwigulu wala hauhusika nayo bali huwa anatetea serikali kwa ujumla wake, na kuna siku Mwigulu alitetea reli ya mwendokasi wakadhani yeye ndie amesaini mkataba na pengine amepata ten percent but baadae wakatambua mikataba hiyo imesainiwa na watu wa Wizara ya Uchukuzi wakaishia kukunja nyuso kwa hasira kali, next time wakakomaa nae tena kwenye na EPC+F wakidhani Mwigulu ndio amesaini Fedha hizo kumbe iliyokuwepo ni EPC pekee iliyosainiwa na Wizara ya Ujenzi wakaishia kufyonza na kung’ata meno kwa uchungu.

Sote tunatambua Bungeni kila Wizara huwa zinafanya masemina na maonesho kwa wabunge wote, na Wizara zote zimefanya lakini cha kustajaabisha Spika na genge lake wamezuia Semina ya Mwigulu kwasababu wanahisi Mwigulu akifanya atapata umaarufu na kuungwa Mkono na wabunge wote na hiyo itakuwa hatari kwenye harakati za Spika Tulia za kuutaka Urais 2030.

Mimi binafsi nikiri nilishaanza kumchukia Mwigulu, lakini nimegundua ulikuwa ni mchezo mchafu wa kumkwamisha, lakini kumbe huyu ni mtu makini anayefanya kazi ya umma kwa uzalendo mkubwa, weledi na uadilifu wa hali ya juu sana. Sasahivi nimeelewa kwanini hata kajambo kadogo tu ka Mwigulu lazima Spika Tulia atakashikia sana bango na anajigeuza kuwa Jaji alafu kina Halima, Mpina na wengine wanakuwa waendesha Mashtaka, shame on them all na kwa taarifa yenu wote wananchi tumewagundua mapema sana.
Mkuu hali ya uchumi ikoje mtaani??? Wananchi wanaongozwa na Tulia kuhusu hii???!

Mwambie mapema hata aweke TV kwenye kila jiwe/jabali barabara zote Tanzania haendi kokote!!!

Mfikishie taarifa mapema wala asihangaike na spika!!!
 
EPC plus F na SGR mwigulu aliomba kusimama ili aweze kuchangia kuokoa jahazi baada ya kuona wizara ya ujenzi kupitia Mh waziri ni kama wanajichanganya mno!

Na ndipo hapo wabunge wakasema labda tusubirie bajeti kuu itasemaje!?

Lakini sio mwigulu alikuwa anashambuliwa! Na haikuwa wizara anayoisimamia, ni vile aliona kuna haja ya yeye kusimama na kujaribu kuelezea alinayoyafahamu

Kama gharama za ujenzi wa SGR kuwa kiasi cha matilion ya ujenzi hayawezi kuwekwa katika bajeti, ujenzi wake ni wa awamu kwa awamu na unazidi kipindi cha bajeti husika, tume anza ujenzi kabla rais magufuli hajatuacha na yupo rais Samia hivyo bajeti yake haiwezi ikawa ile ya kipindi kile ktk ujenzi wa reli yote

Alikuwa anajaribu kutolea ufafanuzi pia EPC plus F tulishawahi tumia ktk shughuli za ujenzi nk

So sikuona kama kuna jambo la kusababisha taflani kiasi hicho

Na alishasimama ktk wizara zingine kusaidia sababu yeye pia ni sehemu ya serikali na wanawajibu wa kuisemea serikali
Sawa anasimama kuisemea Wizara nyingine lakini yeye ndo anakuwa haeleweki kabisa maana hana uwezo wa kumuelewesha asiyejua ili ajue ndo kwanza huwa anayakoroga.
 
Hapa mtoa mada umetaja kambi mbili na kuna kaukweli ndani yake, taja sasa na kambi zingine utakuwa unazijua, yani urais umefanywa kama kuongoza vikoba,

na hawa kina mama mtuondolee kwenye ramani hiyo 2030 iwapo tutatoboa tuwasahau jamani maana kila ofisi kubwa ni majanga , ufisadi na mipasho tu, kile chuma kingekuwepo SGR ingeshafika kwao!!
 
Tulia naye anawaza Urais.....hata masters degree yenyewe ni ya kushikwa mkono na Prof. Mwandosya ndugu yake.
 
Mtauana! Mlichomfanyia Ndu-gai hamtaacha kuwafanyia wengine. Ni kama kula nyama ya mtu
 
Back
Top Bottom