Yanayoendelea bungeni kati ya Mwigulu na Tulia ni Vita ya Urais wa 2030

Takataka TU!! Njaa mbaya sana




KAZI ni kipimo cha UTU
 
Swa
Sawa chawa wa Mwigulu
 
huo mwaka Mungu ameniambia hao wote uliowataja watakuwa hawapo ...labda Mungu aniambie vinginevyo siku za karibuni
 
Chawa wa Mwingulu kazini. Nyie ndiyo mwaka 2015 mliandika mawe yote yaliyoko kando ya barabara za Tanzania ''Mwingulu rais 2015''. Sasa mmeacha kuandika mawe mnarudi JF.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Mwigulu umekuja na ID hii tena? Au wewe ni Esther?
 
Kila kiongozi afanye majukumu yake vizuri hakuna haja ya kuja kuteteana humu, kazi zako zitakutetea kama JPM au Makonda.
 
Yaani Kwa akili zako ndogo hizo unaona kabisa Mwigulu ni kiongozi muadilifu na anafaa kufikiriwa kwenye ngazi ya urais??

Jamani mbona Uchawa unawatia upofu??
 
Sikuhitaji kusoma ulichokiandika hadi mwisho bali nimesoma aya ya kwanza tu nikaona wewe ni amnazo kabisa. Kama umehongwa na Mwigulu kuandika huo upuuzi mrudishie pesa yake huyo mshenzi aliyehonga watu kuandika jina lake kwenye mawe nchi nzima, Mwigulu ana akili finyu sana ambazo zinamnyima sifa hata ya kuwa Waziri sembuse Urais?
 
Mkuu hali ya uchumi ikoje mtaani??? Wananchi wanaongozwa na Tulia kuhusu hii???!

Mwambie mapema hata aweke TV kwenye kila jiwe/jabali barabara zote Tanzania haendi kokote!!!

Mfikishie taarifa mapema wala asihangaike na spika!!!
 
Sawa anasimama kuisemea Wizara nyingine lakini yeye ndo anakuwa haeleweki kabisa maana hana uwezo wa kumuelewesha asiyejua ili ajue ndo kwanza huwa anayakoroga.
 
Hapa mtoa mada umetaja kambi mbili na kuna kaukweli ndani yake, taja sasa na kambi zingine utakuwa unazijua, yani urais umefanywa kama kuongoza vikoba,

na hawa kina mama mtuondolee kwenye ramani hiyo 2030 iwapo tutatoboa tuwasahau jamani maana kila ofisi kubwa ni majanga , ufisadi na mipasho tu, kile chuma kingekuwepo SGR ingeshafika kwao!!
 
Tulia naye anawaza Urais.....hata masters degree yenyewe ni ya kushikwa mkono na Prof. Mwandosya ndugu yake.
 
Mtauana! Mlichomfanyia Ndu-gai hamtaacha kuwafanyia wengine. Ni kama kula nyama ya mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…