MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Kigagula anafanya biashara haramu ya blackmailing. Ameshazoea kuwapiga watu hela ila safari hii watu wameamua kwenda naye jinsi na yeye anavyowafanyia watu. Pia kumbe sio raia wa Marekani.Nimesoma habari za yule dada kigagura wa Marekani kama aliyoyaandika ni kweli basi hakuna sababu ya kuwa na usalama wa Taifa.
Ana green card, ni mkazi wa kudumu.Kigagula anafanya biashara haramu ya blackmailing. Ameshazoea kuwapiga watu hela ila safari hii watu wameamua kwenda naye jinsi na yeye anavyowafanyia watu. Pia kumbe sio raia wa Marekani.
Ukisoma alivyoandika ni kuwa FBI wameshaona serikali ina hoja na huenda wakamrudisha asipokomaa kisheria.Ana green guard, ni mkazi wa kudumu.
Mimi sipendi tabia zake lakini FBI hawawezi kumkabidhi Tanzania labda ingekuwa ni issue ya ugaidi.Ukisoma alivyoandika ni kuwa FBI wameshaona serikali ina hoja na huenda wakamrudisha asipokomaa kisheria.
Tuna kiongozi wa hovyo sana, anaewaza kwenda kwenye show ya Harmonize.Habari kama hizi huwa zinasikitisha na kuhuzunisha sana.
Mtu kama huyu natamani nimpige fimbo/miti matkni ni vile yuko mbali na upeo wanguKuzilinda kuzilinda kuzilinda, watalaamu na wasomi ndio wanaoharibu nchi yetu hii.
Mara kadha, tumeshuhudia usaliti mkubwa kwa hao wanaotaka au wanaojiita watetezi wa wanyonge.
Taifa limekuwa likiongozwa na viongozi wanafiki wa hali ya juu sana kwa kipindi kirefu.
Tumechoka sasa, acheni amani yetu iendelee kudumu na hilo ndio kubwa.
Tangu nimezaliwa hadi leo nina umri wa miaka 40+ tunaimba wimbo wa kuzilinda raslimali tutanufaika nazo lini? Mama kuthubutu angalau kila mtanzania sasa anaona yanayofanywa na tukumbuke yeye sio Mungu kwamba atatatua changamoto zote kwa siku moja.
Mh. Rais endelea kuupiga mwingi ...
Mama Samia Mitano tena.
Tumechoka na unafiki wa viongozi wengi watanzania.
Soma tena alichoandika dada wa Marekani ili ujue unachosema hakiwezekani kuwa kinawezekana. Ingekuwa haiwezekani asingekataa wito wa FBI.Mimi sipendi tabia zake lakini FBI hawawezi kumkabidhi Tanzania labda ingekuwa ni issue ya ugaidi.
FBI wako huru hawafanyi kazi kwa shinikizo la mtu yeyote usiwafananishe na hawa kina Wambura ambao unaweza kuwapa maelekezo.
Halafu Kiongozi huyo huyo akaona ni sahihi kabisa kwake kusafiri nje ya nchi siku ya Wafanyakazi duniani, yaani Mei Mosi!!Tuna kiongozi wa hovyo sana, anaewaza kwenda kwenye show ya Harmonize.
wewe unategemea nini kama mshauri mkuu ni mwikwaju???,,,,na waosafiri nae nje ni wasanii??Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.
Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.
Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.
Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.
Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Mkuu hapa ni kama vile umeandika kitu kigumu!!?nchi inapigwa hata mkuundugai alisema
Wapumbavu kama wewe hawapaswi kuwepo nchiniKuna faida gani kwa familia kuwa na heka kumi za mashamba ilikhali kila mwaka mnalia njaa,huku watu wenye uwezo wakiomba wayaendeleze hayo mashamba ili nawewe upate kujikwamua kiuchumi? Je ni vibaya kuwapa wawekezaji ili tu mali hizo zibaki mikononi mwetu kama sifa?
Loliondo imekuwepo kwa miaka sasa,je uwepo wake umeleta tija kwa watanzania,? Na kama mimi sioni tija,kuna ubaya gani kumpa mwekezaji ili aendekeze huku tukipata gawio letu na watu kupata ajira?
Ok bandari,bandari imekuwepo miaka na miaka,je imeleta tija kama ambavyo taasisi ya urais na rais inataka,kama hakuna tija ,je nidhambi tukiibinafsisha ili kuongeza ufanisi na mapato kwa nchi yetu?
Watanzania hawana jema,ni watu walalamishi,hivyo rais aliyepo anapambana sana ili kuboresha maisha ya kila mtanzania.
Go go go go mama
Tumekuwa raia wa bahati mbaya kila awamu, tuna bahati mbaya sana lakini kiongozi unapofikia hatua ya kuchezea rasilimali za taifa, hii kwangu ni zaidi ya bahati mbaya.Halafu Kiongozi huyo huyo akaona ni sahihi kabisa kwake kusafiri nje ya nchi siku ya Wafanyakazi duniani, yaani Mei Mosi!!
pesa za kampeni zinatafutwa kwa udi na uvumbaHayo ni maoni ya jaji mstaafu.
Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.
Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.
Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.
Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Lisu huyu huyu anayelilia achangiwe gari.Magufuli alikuwa mtu wa hovyo lakini alijitahidi kulinda rasilimali. Tusipokuwa makini huyu mtu atatuuza. Huu ulikuwa muda wa kumuunga mkono Lissu