Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Kwenye kampeni za urais 2015 mgombea wa CHADEMA alisema atatumia maliasili tulizo nazo kuombea mikopo ili kuleta maendeleo. Ninamshukuru Mungu kuepusha yule mgombea kuwa Rais. Angeuza nchi ndani ya siku 100 baada ya kuapishwa.
 
Nimesoma habari za yule dada kigagura wa Marekani kama aliyoyaandika ni kweli basi hakuna sababu ya kuwa na usalama wa Taifa.
Kigagula anafanya biashara haramu ya blackmailing. Ameshazoea kuwapiga watu hela ila safari hii watu wameamua kwenda naye jinsi na yeye anavyowafanyia watu. Pia kumbe sio raia wa Marekani.
 
Kigagula anafanya biashara haramu ya blackmailing. Ameshazoea kuwapiga watu hela ila safari hii watu wameamua kwenda naye jinsi na yeye anavyowafanyia watu. Pia kumbe sio raia wa Marekani.
Ana green card, ni mkazi wa kudumu.
 
Kuzilinda kuzilinda kuzilinda, watalaamu na wasomi ndio wanaoharibu nchi yetu hii.

Mara kadha, tumeshuhudia usaliti mkubwa kwa hao wanaotaka au wanaojiita watetezi wa wanyonge.

Taifa limekuwa likiongozwa na viongozi wanafiki wa hali ya juu sana kwa kipindi kirefu.

Tumechoka sasa, acheni amani yetu iendelee kudumu na hilo ndio kubwa.
Tangu nimezaliwa hadi leo nina umri wa miaka 40+ tunaimba wimbo wa kuzilinda raslimali tutanufaika nazo lini? Mama kuthubutu angalau kila mtanzania sasa anaona yanayofanywa na tukumbuke yeye sio Mungu kwamba atatatua changamoto zote kwa siku moja.

Mh. Rais endelea kuupiga mwingi ...
Mama Samia Mitano tena.

Tumechoka na unafiki wa viongozi wengi watanzania.
 
Ukisoma alivyoandika ni kuwa FBI wameshaona serikali ina hoja na huenda wakamrudisha asipokomaa kisheria.
Mimi sipendi tabia zake lakini FBI hawawezi kumkabidhi Tanzania labda ingekuwa ni issue ya ugaidi.

FBI wako huru hawafanyi kazi kwa shinikizo la mtu yeyote usiwafananishe na hawa kina Wambura ambao unaweza kuwapa maelekezo.
 
Kuzilinda kuzilinda kuzilinda, watalaamu na wasomi ndio wanaoharibu nchi yetu hii.

Mara kadha, tumeshuhudia usaliti mkubwa kwa hao wanaotaka au wanaojiita watetezi wa wanyonge.

Taifa limekuwa likiongozwa na viongozi wanafiki wa hali ya juu sana kwa kipindi kirefu.

Tumechoka sasa, acheni amani yetu iendelee kudumu na hilo ndio kubwa.
Tangu nimezaliwa hadi leo nina umri wa miaka 40+ tunaimba wimbo wa kuzilinda raslimali tutanufaika nazo lini? Mama kuthubutu angalau kila mtanzania sasa anaona yanayofanywa na tukumbuke yeye sio Mungu kwamba atatatua changamoto zote kwa siku moja.

Mh. Rais endelea kuupiga mwingi ...
Mama Samia Mitano tena.

Tumechoka na unafiki wa viongozi wengi watanzania.
Mtu kama huyu natamani nimpige fimbo/miti matkni ni vile yuko mbali na upeo wangu

Aroo ww!
 
Mimi sipendi tabia zake lakini FBI hawawezi kumkabidhi Tanzania labda ingekuwa ni issue ya ugaidi.

FBI wako huru hawafanyi kazi kwa shinikizo la mtu yeyote usiwafananishe na hawa kina Wambura ambao unaweza kuwapa maelekezo.
Soma tena alichoandika dada wa Marekani ili ujue unachosema hakiwezekani kuwa kinawezekana. Ingekuwa haiwezekani asingekataa wito wa FBI.
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
wewe unategemea nini kama mshauri mkuu ni mwikwaju???,,,,na waosafiri nae nje ni wasanii??
 
Kuna faida gani kwa familia kuwa na heka kumi za mashamba ilikhali kila mwaka mnalia njaa,huku watu wenye uwezo wakiomba wayaendeleze hayo mashamba ili nawewe upate kujikwamua kiuchumi? Je ni vibaya kuwapa wawekezaji ili tu mali hizo zibaki mikononi mwetu kama sifa?


Loliondo imekuwepo kwa miaka sasa,je uwepo wake umeleta tija kwa watanzania,? Na kama mimi sioni tija,kuna ubaya gani kumpa mwekezaji ili aendekeze huku tukipata gawio letu na watu kupata ajira?


Ok bandari,bandari imekuwepo miaka na miaka,je imeleta tija kama ambavyo taasisi ya urais na rais inataka,kama hakuna tija ,je nidhambi tukiibinafsisha ili kuongeza ufanisi na mapato kwa nchi yetu?

Watanzania hawana jema,ni watu walalamishi,hivyo rais aliyepo anapambana sana ili kuboresha maisha ya kila mtanzania.

Go go go go mama
Wapumbavu kama wewe hawapaswi kuwepo nchini
 
Halafu Kiongozi huyo huyo akaona ni sahihi kabisa kwake kusafiri nje ya nchi siku ya Wafanyakazi duniani, yaani Mei Mosi!!
Tumekuwa raia wa bahati mbaya kila awamu, tuna bahati mbaya sana lakini kiongozi unapofikia hatua ya kuchezea rasilimali za taifa, hii kwangu ni zaidi ya bahati mbaya.
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
pesa za kampeni zinatafutwa kwa udi na uvumba
 
Watapinga walamba asali. Na huu ndio ukweli wenyewe kutoka kwa jaji.



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Hata kipindi cha mkapa tuliambiwa anauza nchi. Lakini mgao hatukupewa, ngoja tuone kama mama atatukumbuka mgao baada ya kuiuza nchi hii.
 
Back
Top Bottom