Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Watanzania ni wezi, wavivu na watu wa kuendekeza starehe.

Nyerere alianzisha mashirika 400 lakini yote yalkuwa dhoofu hali by 1995.

Wacha tubinafsishe kila kitu
 
Mama kagawa bandari kwa waarabu wenzake magaidi wapandisha majini ameona haitoshi anaendaa Korea kuwaita macho ya paka waje kuchukua rasilimali zilizobaki. Nchi ya kiqumer sana hii.
Wewe mwenyewe ni qumer pia
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Toka CCM unaumbwa rasilimali zimekua zikichezeleka na raia wakijua.
Ila shida kuwalinda hao walio madarakani inatumika nguvu kubwa ambayo kama itahitajika kuwang'oa basi VITA ITABIDI ITOKEE.
Laa sivyo hakuna kitachobadilika.
 
Halafu shida sio Rais ila ni taasisi nzima, kama kungekuwa na mfumo bora na mzuri hata likikaa jiwe(kokoto) pale juu hii Nchi ingeendelea tena vizuri tu.
 
Ni Rais wa Tanzania umeona mkataba wowote unaoguza rasimali za visiwani, kama bandari na gesi,
 
unadhani n kwa nn wanafanya hayo maovu
Angalia kituko
IMG-20240603-WA0020.jpg
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
MSOGA IN MAKING
 
Haya matatizo yoote yanayoendelea hatua ya kwanza kuchuku ni kuwa na KATIBA mpya.
Chadema wanazunguka nchi nzima kuwaelekeza wananchi ila ni kama wananchi bado hawajajua umuhimu wa katiba hiyo.
Kwa katiba ya sasa tutalalamika sana ila hakuna hatua yoyote unayoweza kumfanyia Rais.
 
Inategemea huo umasikini unautazama toka angle gani,ukisema umasikini walokuwa nao watanzania wa miaka ya 60 ni sawa na umasikini wa
Umaskini haufichiki. H
Inategemea huo umasikini unautazama toka angle gani,ukisema umasikini walokuwa nao watanzania wa miaka ya 60 ni sawa na umasikini wa watanzania wa miaka ya 2000 utakuwa umekosea,maendeleo sio ndoto ni process ,yaani moja mbili na kuendelea,kiufupi tunaimalika na maendeleo yanaonekana.

Tuipe muda CCM pamoja moja na rais wake,mambo mazuri yanakuja,mama yuko kazini
Hayo unayoona ni maendeleo kwako hayaendani na rasilimali za nchi zinazovunwa.
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
kwani kuna shida gani? mbona anaachia ngazi mwakani 2025 tena mchana kweupe kwa kura za watanzania.
 
Wanakula pamoja,ni mwendo wakujipakulia minyama tuu unakaa pemben unatafuna kimya kimyaaa
Huo ndio ukweli mchungu sana Ndugu yangu, inatisha mnoooo. Huwa najiuliza Yaani CCM nzima hakuna MTU mwenye uchungu hata kidogo??
 
Acha mama atupambanie ,kiufupi wewe hujui chochote,unapomwona rais anafanya jambo jua taasisi ya urais imelifanyia tathimini na kulibariki, acha kuumiza kichwa ,hakika mama anaupiga mwingi,tumuunge mkono,hata kama humkubali naamini wewe ni miongoni mwa wale asilimia 0.1 out of 99.9 tunaomtakia heli mama.

Sio tu nasema mitano tena bali mikumi kwa mama😍😍😍
Quuuuuuumassss
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Uongo mtupu.
 
Back
Top Bottom