Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Yanayoendelea kwa sasa kwenye Rasilimali za nchi, watanzania wangefumbua macho kidogo huyu Rais alitakiwa aachie madaraka, kupisha wanaoweza kuzilinda

Acha mama atupambanie ,kiufupi wewe hujui chochote,unapomwona rais anafanya jambo jua taasisi ya urais imelifanyia tathimini na kulibariki, acha kuumiza kichwa ,hakika mama anaupiga mwingi,tumuunge mkono,hata kama humkubali naamini wewe ni miongoni mwa wale asilimia 0.1 out of 99.9 tunaomtakia heli mama.

Sio tu nasema mitano tena bali mikumi kwa mama😍😍😍
Wewe digba sowey Hiyo mikataba umeisoma? Kumbuka baadhi ya DP World documents zilivuja DG wa tiss akatemwa,

Kama mnafanya haki Kwa nn hiyo 👆 mikataba isitolowe Kwa ajili ya kufanya reviews na kupata maoni kutoka Kwa wanazuoni.
Kwanini mnaficha hiyo 👆 mikataba, kwani ni Mali ya Rais?
 
Hii mikataba inayosainiwa nje ya nchi italetwa bungeni kweli wawakilishi wa wananchi waijadili?
 
Hayo ni maoni ya jaji mstaafu.

Jaji anasema kwenye uwekezaji kuna mambo ya ajabu yanaendelea na watu wenye akili wameamua kukaa kimya tu.

Jaji anasema rasilimali sasa zinagawiwa kwa mikataba ambayo kisheria haina balance na anasema kuwa watanzania wangekuwa wanajua yanayofanywa na serikali hii kamwe Rais na watu wake hawakutakiwa kuwepo ofisini, walitakiwa warudi makwao wakakae huko.

Ngorongoro, Loliondo, KIA, Bandari, helium ya dodoma, madini ya kimkakati pale songwe, alitaja Kwa kifupi sana hayo.

Hapo nimemnukuu mwanasheria nguli.
Mkuu umesema ukweli mtupu, hiki ndo kilio chetu muda wote

Watakuja wafia dini, wanasema dini Moja inaiandama dini ya raisi,

Wanaenda mbali zaidi wanaodai mbona wakati wa mtawala wa dini Fulani hatukupiga kelele?

Sasa ni zamu yao wameahidiwa kujengewa nyumba za ibaada kwa gharama ya rasilimali za nchi

Harakati za kudai kulinda na kusimamia rasilimali zinmekuwa ngumu sana kwa baadhi ya watu kuogopa kuonekana kumpinga mtawala ili wasiokane ni wadini

Ccm wametuingiza pabaya sana
Inaonekana kama vile mafisadi wa hizi dini kongwe wanagawana rasilimali za nchi kwa kizingizio Cha wa dini yetu na wadini Ile

Wananchi tumebaki wakiwa hatuna mtetezi. Njia za siasa na demokrasia wamezihodhi, kupitia tume yao

Njia za haki na mahakamani wamehodhi

Bunge wamehodhi

Vyombo vya Habari wamehodhi

Tusubiri tuishi wanavyotaka then tufe tupotee
 
Kwa hiyo, kabla ya kusoma habari za huyo dada kigagura wa Marekani, kwa akili yako ya kawaida tu ulikuwa hujui kuwa hakuna sababu ya kuwa na usalama wa Taifa!!!!???
Nimesoma habari za yule dada kigagura wa Marekani kama aliyoyaandika ni kweli basi hakuna sababu ya kuwa na usalama wa Taifa.
a
 
Ibara ya 46 na 47 zikifutwa zikawa kinyume cha ilivyo sasa, hawa watu watakuwa na adabu
 
kwani kuna shida gani? mbona anaachia ngazi mwakani 2025 tena mchana kweupe kwa kura za watanzania.
Labda Kikwete na wenzake wasimuunge mkono, hivyo CCM wamteue mwingine kugombea Urais. Ama sivyo Kizimkazi finest she is here to stay.
 
Mkuu umesema ukweli mtupu, hiki ndo kilio chetu muda wote

Watakuja wafia dini, wanasema dini Moja inaiandama dini ya raisi,

Wanaenda mbali zaidi wanaodai mbona wakati wa mtawala wa dini Fulani hatukupiga kelele?

Sasa ni zamu yao wameahidiwa kujengewa nyumba za ibaada kwa gharama ya rasilimali za nchi

Harakati za kudai kulinda na kusimamia rasilimali zinmekuwa ngumu sana kwa baadhi ya watu kuogopa kuonekana kumpinga mtawala ili wasiokane ni wadini

Ccm wametuingiza pabaya sana
Inaonekana kama vile mafisadi wa hizi dini kongwe wanagawana rasilimali za nchi kwa kizingizio Cha wa dini yetu na wadini Ile

Wananchi tumebaki wakiwa hatuna mtetezi. Njia za siasa na demokrasia wamezihodhi, kupitia tume yao

Njia za haki na mahakamani wamehodhi

Bunge wamehodhi

Vyombo vya Habari wamehodhi

Tusubiri tuishi wanavyotaka then tufe tupotee
Askofu Shoo alienda Ikulu na akapewa gari kali sana na Mama.
 
Hii nchi ilipofikia nadhani ni pabaya sana tunaowategemea wafanye mambo mazuri na waone uchungu wa maliasili na rasilimali zetu wamelala usingizi wa pono. Kwa kweli mimi naona usalama wa taifa naufanyi kazi yake sawasawa sidhani kama haya maovu yanayofanyika hawayaoni. Sasa kama wanayaona sijui wamesuburi mpaka kipi kifanyike ndiyo watajua wanachopaswa kufanya. Huu umekuwa ni usalama wa ccm na viongozi wake na wala haupaswi hata kuitwa usalama wa taifa.
 
Acha mama atupambanie ,kiufupi wewe hujui chochote,unapomwona rais anafanya jambo jua taasisi ya urais imelifanyia tathimini na kulibariki, acha kuumiza kichwa ,hakika mama anaupiga mwingi,tumuunge mkono,hata kama humkubali naamini wewe ni miongoni mwa wale asilimia 0.1 out of 99.9 tunaomtakia heli mama.

Sio tu nasema mitano tena bali mikumi kwa mama😍😍😍
Hata aibu huoni? Kisa sh. elf kumi inayolipwa kwa post midume mizima mnajilegeza kwa waarabu ndo maana mmelegea legea kwa kuvunjiwa mayai
 
Kuna faida gani kwa familia kuwa na heka kumi za mashamba ilikhali kila mwaka mnalia njaa,huku watu wenye uwezo wakiomba wayaendeleze hayo mashamba ili nawewe upate kujikwamua kiuchumi? Je ni vibaya kuwapa wawekezaji ili tu mali hizo zibaki mikononi mwetu kama sifa?


Loliondo imekuwepo kwa miaka sasa,je uwepo wake umeleta tija kwa watanzania,? Na kama mimi sioni tija,kuna ubaya gani kumpa mwekezaji ili aendekeze huku tukipata gawio letu na watu kupata ajira?


Ok bandari,bandari imekuwepo miaka na miaka,je imeleta tija kama ambavyo taasisi ya urais na rais inataka,kama hakuna tija ,je nidhambi tukiibinafsisha ili kuongeza ufanisi na mapato kwa nchi yetu?

Watanzania hawana jema,ni watu walalamishi,hivyo rais aliyepo anapambana sana ili kuboresha maisha ya kila mtanzania.

Go go go go mama
Je baada ya huyo mwekezaji wa Loliondo ni miaka zaidi ya 15 tangia wapewe, Bandari sasa ni mwaka je wametuletea tija ipi kuliko tulipokuwa mwanzo
 
Back
Top Bottom