Yanayoendelea sasa CHADEMA ni mpango toka nje kuingiza nchi matatizoni. Serikali ina kazi ngumu huko mbele

Yanayoendelea sasa CHADEMA ni mpango toka nje kuingiza nchi matatizoni. Serikali ina kazi ngumu huko mbele

Mpuuzi kweli wewe ila siasa za DHULUMA NA MAUAJI ndiyo suluhisho siyo? Lini ulikemea mauaji ya kutisha nchini! Au hukuwahi kuyasikia?


Suluhushi pekee la kuondokana na siasa za dhuluma na mauaji ni kuketi chini pamoja na ni Chadema ndo wanapaswa ku-lobby kupata kuketi na serikali.

Wasikate tamaa waendeleze lobbying.

Kuingia barabarani na kufanya vurugu si suluhisho kwani hakuleti tija kwa waadhirika na waathiriwa.
 
Wanapima kina cha Maji ,pasipo kijuwa Nguvu ya Bahari, i think wanaenda kupotea kbs
 
Upokeaji fedha na matumizi yasokusudiwa.

Hizo fedha Chadema ingezitumia uzuri kwa kuwa na ofisi na kuajiri wanamkakati wazuri ambao wameiva katika masuala ya siasa za kimkakati.

Lakini si waletewa fedha kutoka nje halafiu wazitumia bila maelezo.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa.

Miaka mitano ilopita Chadema walipata shida na hawakuweza kujinafasi na serikali ambayo iliongozwa na raisi ambae hakuwa tayari kuvumilia vurugu iwe maneno au vitendo.

Sasa yupo raisi Samia Hassan huu ndo ulikuwa wakati wa Chadema kuketi chini na kupanga mikakati mipya ambayo itaendana na mwendo wa serikali ya sasa.

Nimewahi kusema mara nyingi kuwa Chadema haina wanasiasa makini ambao wanaweza kutofautisha siasa za vurugu na siasa makini za majibizano ya hoja kwa ustaarabu.

Pia nimewahi kusema kuwa Chadema imekosa wanamkakati au "strategists" ambao wataisaidia kuogelea kwenye bahari ambayo imejaa maji mengi ya CCM na vifaa vyake vyote bunge, mahakama, polisi, jeshi na mamlaka zingine.

Mwanamkakati kazi yake kubwa ni kutumia kampeni ambazo zitahakikisha wapiga kura wanabadili mawaqzo yao juu ya chama kingine na kuwa tayari kuwapa kura.

Kazi zingine ni kufanya kura za maoni kuona kama chama kinakubalika kwa wapiga kura na kwa asilimia ngapi, kutumia teknolojia na mitandao ya kijamii kusambaza ujumbe halisi wa kisiasa na pia kuendesha harambaee za kuchangisha mifumo ya chama ili kupata fedha za kujiendesha.

Ni hili suala namba tatu ndilo lingeiwezesha Chadema kujenga ofisi yake maalum ya makao makuu ambayo ingekuwa inatambulika rasmi badala ya kajumba ka pale Ufipa Street.

Siasa ambazo Chadema inaendesha sasa hivi za kudai katiba mpya haziwezi kuiyumbisha CCM hata kwa dawa.

Sanasana ni kwa wanasiasa wa Chadema na wafuasi wao kuketi chini na kupanga mbinu mpya badala ya maandamano ambayo ni dhahiri yatapata taabu kuruhusiwa na polisi.

Katiba ndo msingi wa sheria na hutoa mwongozo namna serikali inavyotenda shughuli zake za kila siku.

Hivyo katiba ya nchi ni muhimu na pia utaratibu mzima wa kutaka kuibadili pia ni muhimu.

Bado Chadema haiweki wazi kuwa yataka katiba mpya au mabadiliko ya katiba tulio nayo.

Lakini Chadema ingeweza kuketi na kushawishi ili kupata washirika kutoka CCM kwa maslahi ya taifa na kutaka katiba ifanyiwe marekebisho kuwa wabunge wasijiongeze mishahara kiholela.

Serikali ya awamu ya sita yapaswa kusikiliza dai la tume huru. hili dai ndo msingi wa vurugu zinazoweza kujitokeza hapa nchi ama leo au siku za usoni.

Kuna dalili zote zionyeshazo kuwa nguvu kubwa kutoka nje ya nchi ipo nyuma ya hizi kelele za katiba mpya au tume huru.

Suala ni je ni kelele za msingi au ni nguvu tu ya kutaka kuhakikisha CCM inaondolewa madarakani?

Kabla ya uchaguzi wa 2015 CCM ilikuwa imefikiriwa katika majukwaa ya kimataiofa kuwa ni chama kilichohitaji kuondoka kupisha chama kingine ambacho kingekuja na mawazo mapya.

Ni pale CCM ilipompata hayato John Magufuli na baada ya miezi sita ya kwanza ndipo majukwaa hayo yalipobaini kuwa CCM huenda imejigawa ila ni ileile.

Kelele za Katiba mpya au tume huru ya uchaguzi hazitaisha leo.

Ila katiba mpya si rahisi kuipata bila kuwepo kura ya maoni ambayo ndo itatoa mwanga kuwa wananchi wanataka nini.

Hivyo kwa maoni yangu naona Chadema na wanaharakati wote wanapaswa kupigania kuwepo kura ya maoni.

Pia kuhusu tume huru ni kwamba ni lazima wabunge wa upinzani bungeni wawe na ushawishi wa kuweza kuleta bungeni wazo la kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo ndo itasimamia zoezi la uchaguzi nchini na kuhakiksha vyama vyote vya siasa vinahakikiwa vyanzo vya0o vya fedha.

Ili zoezi la uchaguzi lipate heshima ni lazima kuwepo tume huru ya uchaguzi ambayo pia itasimamiwa na Bunge kupitia kamati ya siasa.

Katika hali ya sasa ni vigumu sana kupata tume huru ya uchaguzi endapo wabunge wa upinzani hawazidi theluthi mbili ya wabunge.

Idadi kadhaa ya wabunge wakija na hoja na wakazidi theluthiu mbili hiyo huwa ni shida tayari na ni lazima wazo lao lisikilizwe.

Ndo maana mwaka 1993 Marehemu Njelu Kasaka ambae alikuwa mbunge wa jimbo la Lupa huko Chunya akiongoza kundi la wabunge 55 kudai serikali tatu na serikali ya Tanganyika alizimwa na hayati Mwalimu Nyerere kwa kuwa tu ndie alikuwa mlezi wa chama na hoja yake ya kupinga hoja ya serikali tatu ilikuwabaliwa tu kwa kilichoonekana ushawishi wa kisiasa badala ya hali halisi.

Hivyo kwa maoni yangu napendekeza Chadema wajikite katika kujiandaa kuchukua majimbo ambayo yatawasaidia kuongeza idadi ya wabunge kule bungeni ambao wanaweza kuweka hoja yenye nguvu.

Hivi ndivyo chama cha MCP cha Malawi kilivyojipanga kukitoa madarakani chama cha DPP na ikawa hivyo. MCP walihakikisha wanapata wabunge wengi zaidi ili kuweza kuunda serikali na bunge.

Serikali isipuuzie hizi harakati za Chadema maani hii ni mikakati ya muda mrefu katika kuhakikisha nchi inaingia kwenye matatizo endapo matakwa yao hayatatimizwa.

Watanzania tunasifika kwa woga na upole kiasi cha kushindwa kuhioji hata uhandisi jamii unoendelea hivi sasa wa kuhakikisha miradi ya maendeleo inadhurika na isiendelee.

Katika duru za usalama, uhandisi jamii waweza kutafsiriwa kuwa ni kitendo cha kumshawishi mtu kufanya kitendo ambacho kitanufaisha au kutonufaisha maslahi yake.

Mtu au watu hao ni pamoja na matarishi, makatibu muhtasi au mamesenja na maafisa masijala.

Nina imani serikali yetu itakuwa makini na itatumia busara katika kujadiliana na Chadema ambao sasa hivi wamekuja kwa kasi.

Pia sina shaka na mazee na mkuu wao Mabeyo na wanakamati wengi ambao bado wanatatizwa na kinachoendelea.

Mungu ibariki Tanzania.

Mwehu wa kiwango cha SGR.Katiba ndio mpango mzima.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Nimekuuliza ni lini ulikemea mauaji ya na maovu mengine yaliyofanywa na dhalimu mwendazake na washirika wake? Utakaaje chini na mtu ambaye umemuomba hadharani mkutane na hataki kukutana na umemuomba kuwe na maridhiano lakini hajibu chochote anakudharau tu? Tutajie na hizo nchi za nje zinazoleta chokochoko Tanzania.



Suluhushi pekee la kuondokana na siasa za dhuluma na mauaji ni kuketi chini pamoja na ni Chadema ndo wanapaswa ku-lobby kupata kuketi na serikali.

Wasikate tamaa waendeleze lobbying.

Kuingia barabarani na kufanya vurugu si suluhisho kwani hakuleti tija kwa waadhirika na waathiriwa.
 
Dah! nimetekwa na propaganda sio?

Mwenzio hapa Dodoma nipo makini.

Tena sio propaganda tu, bali zile propaganda za nchi za kijamaa so outdated. Ukisikia mtu anasema eti watu wanatumika na mataifa ya nje unajua fika ni propaganda mfu. Gas hiyo hapo wamashapewa watu wa nje. Miradi yote mikubwa inafanywa na wageni kuanzia reli, bwawa, majengo ya serikali, na miundombinu kibao. Migodi yote mikubwa inachimbwa na hao hao watu wa nje. Silaha, vyombo vyote vya usafiri, madawa vyote tunanunua huko kwao. Ni kipi nje ya hivyo hao watu wa nje wanataka zaidi ya sasa?

Kwa bahati mbaya watu wenye mawazo mgando kama ww ndio wako kwenye system ya nchi hii, na wengi wenu hamna tija yoyote ya kiutendaji zaidi ya kuendekeza nidhamu za woga na unafiki, ushirikina, fitina na Majungu. Hii inapelekea mifumo yetu kutokubadilika na kuleta mitazamo mipya, kwani nyie wenye mawazo ya kizamani mnalinda nafasi zenu kwa ushirikina, fitina na Majungu.
 
Upokeaji fedha na matumizi yasokusudiwa.

Hizo fedha Chadema ingezitumia uzuri kwa kuwa na ofisi na kuajiri wanamkakati wazuri ambao wameiva katika masuala ya siasa za kimkakati.

Lakini si waletewa fedha kutoka nje halafiu wazitumia bila maelezo.
Taja nchi zinazoipa CHADEMA fedha. Je hizo fedha Ni salama kiasi gani? Je zinafuata taratibu za kimataifa za kiusalama zisidondokee kwa magaidi?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Mwehu wa kiwango cha SGR.Katiba ndio mpango mzima.
Tatizo lenu ninyi ni kwenye mawasiliano.

Mjitahidi kurekebisha hii idara.

Hata ukipata maoni tofauti wewe pitia chambua na uendelee.

Mjaribu kuiondoa lugha za kejeli, matusi na dharau.

Mtafika mbali.
 
Wakileta za kuleta watashughulikiwa kwa mujibu wa sheria. Najua wakubwa wa chama hawatojishughulisha kuvunja sheria kwa sababu ya kuogopa kibano, ila misukule yao itayotumiwa itakutana na mkono wa chuma popote pale walipo.
 
Tatizo lenu ninyi ni kwenye mawasiliano.

Mjitahidi kurekebisha hii idara.

Hata ukipata maoni tofauti wewe pitia chambua na uendelee.

Mjaribu kuiondoa lugha za kejeli, matusi na dharau.

Mtafika mbali.

Nilishafika mbali.
 
Taja nchi zinazoipa CHADEMA fedha. Je hizo fedha Ni salama kiasi gani? Je zinafuata taratibu za kimataifa za kiusalama zisidondokee kwa magaidi?
Siwezi kuzijata hapa kuna kanuni kadhaa zinanizuia.
 
Chadema ni chama cha siasa chenye wanasiasa ambao si makini.

Ni chama kilichokusanya watu wanojiita wanasiasa lakini hawana mbinu za kuishi kwenye siasa.

Miaka mitano ilopita Chadema walipata shida na hawakuweza kujinafasi na serikali ambayo iliongozwa na raisi ambae hakuwa tayari kuvumilia vurugu iwe maneno au vitendo.

Sasa yupo raisi Samia Hassan huu ndo ulikuwa wakati wa Chadema kuketi chini na kupanga mikakati mipya ambayo itaendana na mwendo wa serikali ya sasa.

Nimewahi kusema mara nyingi kuwa Chadema haina wanasiasa makini ambao wanaweza kutofautisha siasa za vurugu na siasa makini za majibizano ya hoja kwa ustaarabu.

Pia nimewahi kusema kuwa Chadema imekosa wanamkakati au "strategists" ambao wataisaidia kuogelea kwenye bahari ambayo imejaa maji mengi ya CCM na vifaa vyake vyote bunge, mahakama, polisi, jeshi na mamlaka zingine.

Mwanamkakati kazi yake kubwa ni kutumia kampeni ambazo zitahakikisha wapiga kura wanabadili mawaqzo yao juu ya chama kingine na kuwa tayari kuwapa kura.

Kazi zingine ni kufanya kura za maoni kuona kama chama kinakubalika kwa wapiga kura na kwa asilimia ngapi, kutumia teknolojia na mitandao ya kijamii kusambaza ujumbe halisi wa kisiasa na pia kuendesha harambaee za kuchangisha mifumo ya chama ili kupata fedha za kujiendesha.

Ni hili suala namba tatu ndilo lingeiwezesha Chadema kujenga ofisi yake maalum ya makao makuu ambayo ingekuwa inatambulika rasmi badala ya kajumba ka pale Ufipa Street.

Siasa ambazo Chadema inaendesha sasa hivi za kudai katiba mpya haziwezi kuiyumbisha CCM hata kwa dawa.

Sanasana ni kwa wanasiasa wa Chadema na wafuasi wao kuketi chini na kupanga mbinu mpya badala ya maandamano ambayo ni dhahiri yatapata taabu kuruhusiwa na polisi.

Katiba ndo msingi wa sheria na hutoa mwongozo namna serikali inavyotenda shughuli zake za kila siku.

Hivyo katiba ya nchi ni muhimu na pia utaratibu mzima wa kutaka kuibadili pia ni muhimu.

Bado Chadema haiweki wazi kuwa yataka katiba mpya au mabadiliko ya katiba tulio nayo.

Lakini Chadema ingeweza kuketi na kushawishi ili kupata washirika kutoka CCM kwa maslahi ya taifa na kutaka katiba ifanyiwe marekebisho kuwa wabunge wasijiongeze mishahara kiholela.

Serikali ya awamu ya sita yapaswa kusikiliza dai la tume huru. hili dai ndo msingi wa vurugu zinazoweza kujitokeza hapa nchi ama leo au siku za usoni.

Kuna dalili zote zionyeshazo kuwa nguvu kubwa kutoka nje ya nchi ipo nyuma ya hizi kelele za katiba mpya au tume huru.

Suala ni je ni kelele za msingi au ni nguvu tu ya kutaka kuhakikisha CCM inaondolewa madarakani?

Kabla ya uchaguzi wa 2015 CCM ilikuwa imefikiriwa katika majukwaa ya kimataiofa kuwa ni chama kilichohitaji kuondoka kupisha chama kingine ambacho kingekuja na mawazo mapya.

Ni pale CCM ilipompata hayato John Magufuli na baada ya miezi sita ya kwanza ndipo majukwaa hayo yalipobaini kuwa CCM huenda imejigawa ila ni ileile.

Kelele za Katiba mpya au tume huru ya uchaguzi hazitaisha leo.

Ila katiba mpya si rahisi kuipata bila kuwepo kura ya maoni ambayo ndo itatoa mwanga kuwa wananchi wanataka nini.

Hivyo kwa maoni yangu naona Chadema na wanaharakati wote wanapaswa kupigania kuwepo kura ya maoni.

Pia kuhusu tume huru ni kwamba ni lazima wabunge wa upinzani bungeni wawe na ushawishi wa kuweza kuleta bungeni wazo la kuundwa kwa tume huru ya uchaguzi ambayo ndo itasimamia zoezi la uchaguzi nchini na kuhakiksha vyama vyote vya siasa vinahakikiwa vyanzo vya0o vya fedha.

Ili zoezi la uchaguzi lipate heshima ni lazima kuwepo tume huru ya uchaguzi ambayo pia itasimamiwa na Bunge kupitia kamati ya siasa.

Katika hali ya sasa ni vigumu sana kupata tume huru ya uchaguzi endapo wabunge wa upinzani hawazidi theluthi mbili ya wabunge.

Idadi kadhaa ya wabunge wakija na hoja na wakazidi theluthiu mbili hiyo huwa ni shida tayari na ni lazima wazo lao lisikilizwe.

Ndo maana mwaka 1993 Marehemu Njelu Kasaka ambae alikuwa mbunge wa jimbo la Lupa huko Chunya akiongoza kundi la wabunge 55 kudai serikali tatu na serikali ya Tanganyika alizimwa na hayati Mwalimu Nyerere kwa kuwa tu ndie alikuwa mlezi wa chama na hoja yake ya kupinga hoja ya serikali tatu ilikuwabaliwa tu kwa kilichoonekana ushawishi wa kisiasa badala ya hali halisi.

Hivyo kwa maoni yangu napendekeza Chadema wajikite katika kujiandaa kuchukua majimbo ambayo yatawasaidia kuongeza idadi ya wabunge kule bungeni ambao wanaweza kuweka hoja yenye nguvu.

Hivi ndivyo chama cha MCP cha Malawi kilivyojipanga kukitoa madarakani chama cha DPP na ikawa hivyo. MCP walihakikisha wanapata wabunge wengi zaidi ili kuweza kuunda serikali na bunge.

Serikali isipuuzie hizi harakati za Chadema maani hii ni mikakati ya muda mrefu katika kuhakikisha nchi inaingia kwenye matatizo endapo matakwa yao hayatatimizwa.

Watanzania tunasifika kwa woga na upole kiasi cha kushindwa kuhioji hata uhandisi jamii unoendelea hivi sasa wa kuhakikisha miradi ya maendeleo inadhurika na isiendelee.

Katika duru za usalama, uhandisi jamii waweza kutafsiriwa kuwa ni kitendo cha kumshawishi mtu kufanya kitendo ambacho kitanufaisha au kutonufaisha maslahi yake.

Mtu au watu hao ni pamoja na matarishi, makatibu muhtasi au mamesenja na maafisa masijala.

Nina imani serikali yetu itakuwa makini na itatumia busara katika kujadiliana na Chadema ambao sasa hivi wamekuja kwa kasi.

Pia sina shaka na mazee na mkuu wao Mabeyo na wanakamati wengi ambao bado wanatatizwa na kinachoendelea.

Mungu ibariki Tanzania.
Wala si mpango kutoka nje bali kuna watu wenye maslahi binafsi wanaokitumia chama hicho kama platform ya harakati zao. Sihitaji kutaja majina. Pita mtandaoni utawaelewa
 
Wala si mpango kutoka nje bali kuna watu wenye maslahi binafsi wanaokitumia chama hicho kama platform ya harakati zao. Sihitaji kutaja majina. Pita mtandaoni utawaelewa
Tatizo kubwa ni wafuasi wengi wa Chadema kujiona wana akili sana kuliko wengine.

Ila wanashindwa kuelewa itikadi ya chama chao na malengo yake.

Wanafanya mambo ambayo wakati mwingine yanaonyesha wazi ni utoto.
 
Back
Top Bottom