Yanayoendelea sasa CHADEMA ni mpango toka nje kuingiza nchi matatizoni. Serikali ina kazi ngumu huko mbele

Mpuuzi kweli wewe ila siasa za DHULUMA NA MAUAJI ndiyo suluhisho siyo? Lini ulikemea mauaji ya kutisha nchini! Au hukuwahi kuyasikia?

Inasikitisha sana. CCM ni chama primitive, kinachoendesha siasa za kijambazi. Hakuna awamu ambayo CCM haijawahi kuwaua inaoamini ni wapinzani.

Siamini kama kuna jema wapinzani wanaweza kupata toka kwa CCM. Watanzania waendelee kudai haki kwa njia zote zijazoweza kukomesha udikteta wa CCM. Kwa kufanya hivyo, hakuna wanachokipoteza zaidi ya kongwa zao za kuobewa. Ni kitu gani kibaya ambacho CCM inaweza kufanya kwa sasa ambacho haikuwahi kufanya huko nyuma.

Kuua - wameua wakati wote

Kuteka - wamefanya hivyo wakati wa Kikwete na kuzidi wakati wa Magufuli

Kufunga - walifanya hivyo kipindi cha Mkapa, Kikwete, na zaidi wakati wa Magufuli

Kufilisi - walifanya hivyo wakati wa Mkapa, Kikwete, na zaidi wakati wa Magufuli
 
Sijaona elements za nchi za nje ila nilichokiona Kwa uzoefu wangu mdogo wa siasa zetu ni kuwa kwakua huu ni utawala mpya jamaa wanapima tu kina cha maji
 
Tupo kwenye mstari gani
 
Hivyo kwa maoni yangu napendekeza Chadema wajikite katika kujiandaa kuchukua majimbo ambayo yatawasaidia kuongeza idadi ya wabunge kule bungeni ambao wanaweza kuweka hoja yenye nguvu.
Chedema Wajiandae Kuchukua Majimbo Kwa Katiba Gani Au Umesahau Kilichotokea kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa Na Uchaguzi Mkuu Uliopita?

ACHA KUJITOA UFAHAMU.
 
Mimi ni mpenda mabadiliko na ni mwanaharakati.

Nilikuwa pamoja na akina BAK hapa enzi zetu.

Ningekuwa na uwezo wa kuanzisha chama ningefanya hivyo.

Ila siasa za Tanzania zilipofikia kwa sasa ni hatari sana.
Hamna hatari yoyote isipokuwa ccm iko siku zake za mwisho mwisho ndio maana inarusha mateke ili kukata roho.
 
Mstari wa kujitegemea kiuchumi.
Unaweza nisaidia initiative za kitakwimu ambazo for 60 years zimefanyika na zinaonyesha tunakwenda kujitegemea kiuchumi angalau 30 years to come??

Pili, ni secta gani ambayo ndio kipao mbele chetu kuelekea huko kwenye economic independence na mpaka sasa percentage zake zimefika ngapi kufikia hiyo status!
 
Waufufua kwa vurugu mchakato uloletwa na CCM na ukazimwa na CCM?

Mnajifanya hamnazo? Kwamba kuna wa nje? Thubutu!

Wananchi hatutaki kuendelea kubambikiziwa kesi, hatutaki dhuluma, hatutaki kubebeshwa mizigo ya kodi ya wengine, tunataka mihimili ya utawala iliyo na uhuru kamili, tunataka usawa, tunataka uwajibikaji, tunataka mawazo yetu kusikilizwa nk.

Mwambie aliyekutuma matakwa hayo mzizi wa fitna ni katiba mpya!

Mtamlaumu sana dobi kaniki ni rangi yake.
 
Sina akili lakini siko kama ZWAZWA wewe kuja humu kuandika UZUSHI ili kutafuta teuzi nakuuliza maswali unayakimbia. Upumbavu wako mwisho lumumba siyo humu.
Naomba unielewe, mimi sijaandika uzushi nimeandika maoni ya ninachoikiona kwa kuangalia mwenendo wa Chadema.

Nimesikiliza na kupima kinachozungumzwa na Mbowe, Tundu Lissu, Mdude na John Mnyika.

Kisha niimetoa maoni.

Hivyo maoni ni tofauti na mtizamo yanaweza kuwa na chanya na hasi ndani yake.

Ila huwezi kuita maoni ya mtu upuuzi na kumshambulia binafsi kwa malengo unayoyafahamu weye.

Pia, mimi sina haja ya uteuzi kutoka kokote, nafasi yangu nje ya JF ni ya kudumu na ni nzuri kuliko hata huyo Mbowe na wengine chini ya mama yetu hivyo sina shida.
 
Pia nimewahi kusema kuwa Chadema imekosa wanamkakati au "strategists" ambao wataisaidia kuogelea kwenye bahari ambayo imejaa maji mengi ya CCM na vifaa vyake vyote bunge, mahakama, polisi, jeshi na mamlaka zingine.
Mahakama ni kifaa cha CCM....

Am kweli tunahitaji katiba mpya sasa.
 
Ccm maslahi , kindakindaki, limbukeni mna matatizo Sana, Yani CHADEMA kuanzisha vuguvugu la katiba mpya mmechanganyikiwa, why,

Nyie ndo mnaua chama chenu KWA umbea na mapambio yasiyokua na sababu,

Sikia Chadema tunampenda SSH rais, na tumemunga mkono tangu ameingia madarakani Mpaka mkawa mwaona gere nyie

Sasa sie CHADEMA ukitenda haki tutakunga mkono ila sio vinginevyo

CCM mmekua chama Cha kualibu vipaji, mfano SSH rais alingia madarakani na kuanza fanya Mambo KWA ustadi mkubwa , Sasa mmezingira mawazo yake anayaweka pembeni na kuwasikiliza Wana ccm wanataka nini na mbaya zaidi hawasikilizi wanaccm huru, wabomoaji wa nchi hii ni ccm Wala sio mtu Alie juu,

Hata mie nikiingia ccm leo lazima akili Yangu itabadilika , CCM MUNGU ANAWAONA NAWAMBIENI ACHENI HARIBU VIPAJI VYA WATU,mfano tu

Prof kabudi, wasasa na wa kipindi kile wakikutana lazima watoane dam,
Polepole, BASHIRU, only , Mzee Warioba amebaki Kama WARIOBA, Sasa njoo KWA Malchela, Msekwa, n.k mpaka unashangaa
 
Mdude Nyagali na Joshua Nassari ni watu wawili tofauti.

Yes, lakini sio tofauti hiyo unayoisema ww. Kwa hapo ccm ilipofikia inachukua yoyote toka upinzani ili mradi awe maarufu ili kuvutia umma kwao. Ukishakuwa nje ya wakati unafanya lolote kubaki madarakani. Tazama kilichofanyika uchaguzi uliopita, halafu ingia kwenye tovuti ya tume uchaguzi kama kuna matokeo ya uchaguzi ule. Hiyo ndio maana ya chama kupitwa na wakati.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…