Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Hakuna anaeumia. Tunachouliza ni kwann atajwe na kusakamwa kwa mabaya tu na sio kwa yale mazuri mengi uliyoyafanya!!
 
Napiga tuuuu.…….
 
Ohoooo !!!
Mungu huwa hadhihakiwi,
Mungu huwa hapendi unafiki,
Mungu anona
Mungu anasikia,
Mungu Ana WIVU,usiabudu Mungu mwingine ila yeye tu.kuna watu walishaanza kuabudu kijimungu mtu.

Mtanzania mmoja anaitwa Kikwete alisema acha KUJIMWAMBAFAI.
Pamoja na kwamba JK Ni walewale na alikua dhaifu dhidi ya wanamtandao, hasa wale mapapa alioshindwa kuwatumbua Rostam,Lowasa na Change,lakini hakua KATILI kama Marehemu Mungu wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…