Yanayoendelea sasa hivi nchini ni hatari kwa uhai wa chama kilichopo madarakani na baadhi ya viongozi waliopo Serikalini

Kwahyo Samia ambaye alikua makamu, ni msafi kabisa. Ila tu Rais?

Yeye kama makamu wa Rais anakuaje msafi kwa yote hayo? Hivi ni chuki tu kwa Magu au kuna cha zaidi?
Msitake kumsafisha Mtu wenu kwa hizi propaganda nyepesi! Nani hajui kwamba alikua Mungu wenu na yesu wa Lugola? Nani hajui kwamba alikua hapangiwi? Kama unaona hapa tuna chuki sana, nenda jamuhuri ya malaika, ukaendeleze upendo, huko!
 
Nyie wapinzani mkishirikiana na samia mnamchafua shujaa wa afrika mzee magufuliz ila poa tu
 
Inaonekana hujui hata mipaka ya makamu wa rais kiutawala na kiutendaji
 
Comment as an unbiased great thinker.
 
Tunaweza kumsamehe manake yule bwana aliekuwa naye alikuwa haambiliki, mama amevumilia mengi.
 
Kwani nyinyi mnashindwaje kumsafisha Mkuu? Mbona enzi zake akiwa hai mlisimama kidete kuhakikisha sote tunaimba korasi Moja, mkampa mpaka hadhi ya uungu(Astaghfilulah)? Mnakwama wapi Mataga?
Tutaenda kumlilia magufuli kwenye kaburi lake kwa haya mnayoyafanya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…