Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Asamehewe bure
Huyo inabidi akomeshwe kaachia watu ulemavu kisa uchaguzi, na aliowachukulia hela kiubabe, imagine alikuwa akifika sehemu anachukua wanawake kinguvu awalale tu, hivi akipata madaraka makubwa si ndo janga la kitaifa
 
Dah Sabaya kazi anayo
Sio lazima Sabaya, tumepata Ma DC wengi hata kabla ya Hai kuwa wilaya. Lakini wana Hai tunataka utulivu na usalama, vilivyo baki tunajiweza navyo .

Usalama, Usalama hapa mikono nimeinua juu kwa Sabaya.

Mbegu zilizo pandwa na kina Lema, kwa vijana waliokuwa wakiwatumia ilikuja kuwa shida.
 
No way out,huyo fa.la sabaya hapo lazima atoke tuh,utawala wa kujichetua na kuinua mabega umeenda na mwendazake,bashite kajitoa mwenyewe na bado ana kesi zetu nyingi za kujibu,ally happy akae kando,Chalamila akae kando,zama za wapuuz zimeisha
 
Kwahiyo Sabaya hatakiwi bora hata lema
 
No way out,huyo fa.la sabaya hapo lazima atoke tuh,utawala wa kujichetua na kuinua mabega umeenda na mwendazake,bashite kajitoa mwenyewe na bado ana kesi zetu nyingi za kujibu,ally happy akae kando,Chalamila akae kando,zama za wapuuz zimeisha
Tusubiri maamuzi ya mama
 
Huyo inabidi akomeshwe kaachia watu ulemavu kisa uchaguzi, na aliowachukulia hela kiubabe, imagine alikuwa akifika sehemu anachukua wanawake kinguvu awalale tu, hivi akipata madaraka makubwa si ndo janga la kitaifa
Haya maneno sipaswi kuyasema sababu nazungumzia dada zangu na mama zangu. MACHAME ZIPO SHIDA ZINGINE ZA MAISHA LAKINI SIO WANAWAKE WAKUWALALA. LABDA UKO MNAKOTOKA.
 
Kazi ipo kwa nani?

Kwangu au kwenu?

Kazi ni kwenu,who cares about that shit?

This crazy nigga analalamikiwa na wananchi ,milioni 60,killing people,extort money from rich people,zulumati,etc...

Tupa huko
Inatakiwa mama Samia aliangalie hili
 
Haya maneno sipaswi kuyasema sababu nazungumzia dada zangu na mama zangu. MACHAME ZIPO SHIDA ZINGINE ZA MAISHA LAKINI SIO WANAWAKE WAKUWALALA. LABDA UKO MNAKOTOKA.
Wewe unazungumzia Jambo usilolijua huyo kibaka wako akiwa night club na kuchukua wapenzi wa wengine kinguvu unazungumziaje na hyo ya kwenda mahali na hao group la wahuni wenzake na kugoma kulipa anafikiria hao watu vitu vya biashara wanaokota. Kijana hafai hata kidogo huyo
 
Na wewe imetumwa na nani? Sasa mambo yana ushahidi hadi wa video clips unayapingane. Mwosha huoshwa mwache aoshwe si alijifanya mbabe sana? Sasa mwamvuli wake uneondoka mwache apigwe jua na anyeshewe mvua ya mawe.KAZI IENDELEE
 
Huyo inabidi akomeshwe kaachia watu ulemavu kisa uchaguzi, na aliowachukulia hela kiubabe, imagine alikuwa akifika sehemu anachukua wanawake kinguvu awalale tu, hivi akipata madaraka makubwa si ndo janga la kitaifa
Mbona una lalama sana? Ulikuwa na bwana mwizi wa kutumia silaha?

Hao watumia silaha ama wamekimbia au tumewastiri, na Kenya ambako walikimbilia tulikuwa tunaletewa maiti za kuzika kila ijumaa.

Hai NI TULIVU VIJANA WADOGO WAKU TESE NA MALI YAKO NAONA WOTE WAMEJONGOMEZWA. KUKO BARIDI .

SABAYA Oyeeeeeeeeeeeeeeeee!! Hai ipo TULIVU na salama.
 
Ndio maana tumesema Ole ajitokeze kuongelea hizi tuhuma ili kama anachafuliwa hatua za kisheria zichukuliwe kwa mchafuaji

Kama sivyo awajibikie tuhuma zake

Tanzania ni yetu sote maendeleo hayana vyama
Aliekuoa ana tabu sana
 
Huyo inabidi akomeshwe kaachia watu ulemavu kisa uchaguzi, na aliowachukulia hela kiubabe, imagine alikuwa akifika sehemu anachukua wanawake kinguvu awalale tu, hivi akipata madaraka makubwa si ndo janga la kitaifa
Weer.. simaanishi sabaya. Mwenyewe nna hasira naye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…