Yanayoendelea Wilayani Hai ni mkakati maalum

Ndio maana tumesema Ole ajitokeze kuongelea hizi tuhuma ili kama anachafuliwa hatua za kisheria zichukuliwe kwa mchafuaji

Kama sivyo awajibikie tuhuma zake

Tanzania ni yetu sote maendeleo hayana vyama
Ww itakuwa sabaya ni basha wakoView attachment 1748248
Your browser is not able to display this video.
Your browser is not able to display this video.
 
Why not address her directly?

You tell another nigga to tell another nigga then that nigga to tell mama,right?

Una shida pahala
🙏🙏🙏 Shukurani mkuu ngoja nifanye kumu DM insta
 
Usijali kuhusu familia yangu maana baba yako anaitunza vizuri sana
Sio sabaya tena?,naona bado hamuamini kilichotokea,zama za mwendazake zimepita huu sio ule utawala wa kusifu na kuabudu
 
Wewe unatoka Machame kweli au Mtandao unakufanya uijefanye Machame.

HAPA SISI WAMACHAME DADA, MAMA,SGANGAZI ZETU kwanza hata tukiwagawana wawili wawili bado watabaki, na wenzetu Waislamu walitufundisha kuishi na mke zaidi ya mmoja. Na naamini Sisi Hai na Mwanga ndio Majimbo ya Kilimanjaro yenye Waislamu wengi majimboni.

Kwa hilo suala lako la wanawake kwa nguvu anza na Kaka Mbowe. Huku kwetu Machame tunapambana na shida nyingi za maisha chakula kizuri, nyumba kulala nzuri, kusomesha shule nzuri na maendeleo mengine muhimu kwa binadamu,

LAKINI HUKU MACHANE UKIJIWEZA WANAWAKE SIO SHIDA MPAKA UWABAKE, NI KUONGEA TUU. ACHA KUDANGANYA DADA ZANGU HAWANA SHIDA KAMA UNAJIWEZA.WAPO KAMA WENGI LAKINI UKIJIWEZA KWA YOTE. wakubwa watanielewa.
 
Aisee
Ana kweli amelaaniwa amtegemeae mwanadamunna moyoni mwake amemwacha Mungu!
 
Mama samia ni mtu wa haki naamini atatenda haki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…