Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Na nyie na watoto zenu wanaolawitiana na mapadri na maaskofu kanisani mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele si mnafanya kwa ridhaa yenu? vipi Umoja wa Mataifa uwaingilie?

umeongea point `tupu' na kwa hili kwenye danguro la ahera utapewa mabikra wa kiume 800 uwashughulikie!
 
nini maana ya UISLAMU...UISLAMU haimaishi amani inamaanisha submission. DINI HII VIOLENCE NI PART AND PARCEL YA IMANI YAKE..O you who believe (in Allah's Oneness and in His Messenger (Muhammad)! Verily, the Mushrikun (polytheists, pagans, idolaters, disbelievers in the Oneness of Allah, and in the Message of Muhammad) are Najasun (impure). So let them not come near Al-Masjid-al-Haram (at Makkah) after this year, and if you fear poverty, Allah will enrich you if He will, out of His Bounty. Surely, Allah is All-Knowing, All-Wise. [28] Fight against those who
(1) believe not in Allah,(2) nor in the Last Day,(3) nor forbid that which has been forbidden by Allah and His Messenger(4) and those who acknowledge not the religion of truth (i.e. Islam) among the people of the Scripture (Jews and Christians), until they pay the Jizyah with willing submission, and feel themselves subdued. [29]Quran chapter 8 says,
"(Remember) when your Lord inspired the angels, "Verily, I am with you, so keep firm those who have believed. I will cast terror into the hearts of those who have disbelieved, so strike them over the necks, and smite over all their fingers and toes."[12]
This is because they defied and disobeyed Allah and His Messenger. And whoever defies and disobeys Allah and His Messenger, then verily, Allah is Severe in punishment.[13]"
In his tafsir, Ibn Kathir, one of the most well-renown Islamic scholars, explains the verses further:
"Allah then commanded fighting the disbelievers when He said:

(...until there is no more Fitnah) meaning, Shirk. This is the opinion of Ibn `Abbas, Abu Al-`Aliyah, Mujahid, Al-Hasan, Qatadah, Ar-Rabi`, Muqatil bin Hayyan, As-Suddi and Zayd bin Aslam.

Allah's statement:
(...and the religion (all and every kind of worship) is for Allah (Alone).) means, `So that the religion of Allah becomes dominant above all other religions.' It is reported in the Two Sahihs that Abu Musa Al-Ash`ari said: "The Prophet was asked, `O Allah's Messenger! A man fights out of bravery, and another fights to show off, which of them fights in the cause of Allah' The Prophet said:
(He who fights so that Allah's Word is superior, then he fights in Allah's cause.) In addition, it is reported in the Two Sahihs:
 
Mkitaka mengi zaidi ntawaletea..NAWASHANGAA MNAPOSHANGAA VURUGU,UKATILI NA MAUAJI YANAYOFANYWA NA WAISLAMU...SHETANI KAZI YAKE NI KUCHINJA,KUHARIBU NA KUUA.
 
Sasa bakwata si chombo alichoanzisha nyerere laanatullah ili ausimike mfumo kristo??

Unashangaa nini sasa serikali yako ikiwapa mapesa.

Bakwata nacho ni chombo cha kanisa tu nani asiefaham.

Mnacho hiko na mtakufa nacho hiko si mmekianzisha wenyewe??

ze big choo, stop jumping over a moving wagon!

UMBEA HUO!
 
Nisome vizuri:

Na nyie na watoto zenu wanaolawitiana na mapadri na maaskofu kanisani mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele si mnafanya kwa ridhaa yenu? vipi Umoja wa Mataifa uwaingilie?

Wewe kama si kwa ridhaa yako vipi uwaruhusu wanao au kama huna, watoto wa wenzio waende sehemu hatari kama hiyo kwa kuharibu watoto mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele? How?

Mbona umejaa chuki hivyo? ridhaa ya nani iliyotolewa ili watoto walawitiwe? you are just plain evil!
 
Yesu pekee ndiye aliyefunga siku 40 mchana na usiku wengine wanagonga usiku mchana wanaigiza
 
Nakubaliana na wewe wakiristo Zanzibar wapo hata kabla ya Tanganyika na hawajalazimishwa kufunga waulizeni akina Charles Hilarry kinachogomba hapa ni kula hadharani jambo ambalo limekatazwa usitake kuleta fitna sisizo maana
Labda wengine mtueleze madhara ya ambae hajafunga kula hadharani kwa yule aliyefunga anaathirikavipi?
 
Mbona umejaa chuki hivyo? ridhaa ya nani iliyotolewa ili watoto walawitiwe? you are just plain evil!

Wewe kama si kwa ridhaa yako vipi uwaruhusu wanao au kama huna, watoto wa wenzio waende sehemu hatari kama hiyo kwa kuharibu watoto mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele? How?
 
umeongea point `tupu' na kwa hili kwenye danguro la ahera utapewa mabikra wa kiume 800 uwashughulikie!

Siyo yangu hayo, mimi nanukuu tu, labda dua hiyo umuombee huyu aliyeyaandika:

[h=1]Second UN panel criticizes Vatican on sex abuse[/h] [h=2][/h] [h=2]By John L. Allen Jr.[/h]

ROME — For the second time, a United Nations panel has criticized the Vatican for its response to the child sexual abuse scandals in the Catholic Church, charging it with failing to mandate that abuse charges be reported to police, moving clergy to evade discipline, and failing to see that victims obtain adequate compensation.
“Clergy . . . were transferred to other dioceses and institutions where they remained in contact with minors and others who are vulnerable,” the United Nations Committee against Torture charged in a new report, “and in some cases committed abuse in their subsequent placements.”

Soma zaidi: Second UN panel criticizes Vatican on sex abuse - Metro - The Boston Globe
 
SURAT AL JINNSura 5:51

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
 
SURAT AL JINNSura 5:51

Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Akili kubwa umeelewa ulichokipost hapo? Embu dadavua basi? Mimi sioni baya lililoandikwa hapo.
"Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu." Wenye kudhulumu unawajua ni nani? Mlaleo acha kujishusha/kujidhalilisha bana. Wewe ni akili kubwa bana.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last edited by a moderator:
ISLAM start accumulating in countries and then start terrorizing it with gangs of rapists, violence and civil disruption.

They are possessed, demon possessed. They seek to spread fear and violence, they are pawns of the devil who feeds off of the fear and suffering they create for power.

Just as their leader, Mohammad, they use "God" as an excuse to prey on innocent people. Mohammad was a robber and a thief, his followers are no different.

It is not the Most High God they serve, but Satan.

Hivyo kwa mujibu wa Biblia majini yaani mashetani ni adui zetu na ndiyo maana alipokuja Muhammad yalianza kukanusha kuwa Mungu hana Mwana ili kuwavuruga waislamu wasijue kweli. (Soma Qurani 112:1-4, Al-Kahf, 18:3) ya kumwamini Mwana wa Mungu Yesu.

Kwa bahati mbaya sana mambo yanayohusu majini katika imani ya kiislamu ni tofauti sana na vile tulivyosoma katika Biblia. Ingawa Qurani na Hadithi za Muhammad, Mtume wa waislamu vinatutaka sisi Wakristo tumwamini Allah S.W. Mungu anayeabudiwa na Waislamu Misikitini

Katika Suratul Waqia 51:56.
“Sikuwaumba majini na watu ila wapate kuniabudu”
Katika Qurani Suratul Al-Ankabut (Buibui), 29:46-47
“Wala msibishane na Watu waliopewa Kitabu kabla yenu ila kwa yale majadiliano yaliyo mazuri isipokuwa wale waliodhulumu miongoni mwao na semeni tuyaamini yaliyoteremshwa kwetu na yaliyoteremshwa kwenu na Mungu wetu na Mungu wenu ni mmoja nasi ni wenye kunyenyekea kwake.”

Waliopewa Kitabu kwa mujibu wa Qurani ni Wayahudi na Wakristo. Je, hoja kuwa Mungu wetu na Mungu wao wanayemwabudu kuwa ni mmja je ni sahihi?. Tuchunguze kuhusiana na mafundisho ya Allah S.W wa misikitini kuhusu majini ndipo tutajua ni mmoja au la!.

Muislamu yeyote ili imani yake ikamilike ni lazima aamini yanayoonekana na yasiyoonekana.
Katika Suratul Al- Baqarah (ng’ombe Jike wa Njano), 2:1-3.
“Alif lam mym. Hiki ni kitabu kisochokuwa na shaka ndaniyake ni uongozi kwa wamchao Mwenyezi Mungu ambao huyaamini yasiyoonekana (maadamu) yamesemwa na Mwenyesi Mungu na Mtume wake) husimamisha sala na hutoa katika yale tuliyowapa.
Qurani peke yake ukiichunguza utaona kuwa majini yamechukuliwa kama ni viumbe tofauti na mashetani, , wanasema hivyo kwa sababu katika uislamu majini yamepewa hadhi kubwa sana na ya kipekee. Hadhi hiyo ni kwa sababu majini waliamini Qurani.
tusomapo katika Qurani SuratulAl- Ahqaf, (Kichuguu Cha mchanga) 46:29
“ Na wakumbushe tulivyokuletea kundi la majini kuja kwako kusikiliza Qurani. Basi walipohudhulia walisema (kuambiana: ‘Nyamazeni (msikilizeni maneno ya Mwenyesi Mungu’ na ilipokwiza’ na ilipokwiza somwa walirudi kwa jamaa zao wakiwaonya.”
Na ndani ya Qurani kuna sura nzima inayoitwa surah ya majini (Mashetani) hiyo ni surah ya 72. katika Surah hiyo inasema 72:1-3, 14 “ Sema: imefunuliwa kwangu ya kuwa kundi moja la majini lilisikia Qurani likasema hakika tumesikia Qurani ya ajabu inaongoza katika uongofu. Kwa hivyo tumeiamini wala hatutamshirikisha yeyeote tena na Mola wetu na kwa hakika utukufu wa Mola wetu umetukuka kabisa. Hakujifanyia mke wala mwana ……
Nasi wamo miongoni mwetu waliosilimu Na wamo waliokengeuka. Waliosilimu hao ndiyo waliotafuta uwongofu.
Kwa hiyo aya hizi zinaonyesha kuwa Qurani ilipokuja ndipo majini waliposilimu. Kumbuka kuwa Qurani imeanza mwaka 610 B.K kipindi ambacho Biblia tayari ili kuwepo kwa karibu karne 6.

Akifafanua asili ya majini mwanazuoni mkubwa wa kiislamu aitwaye Abdallah Saleh Farsy aliye kuwa Kadhi Mkuu Zanzibar, kasha akawa Kadhi Mkuu Kenya katika kitabu alichoandika kiitwacho “Maisha Ya Nabii Muhammad”.Ule Uk 31 anasema
“ Katika safari yake ya kurejea Taif ndipo walipomjia majini wakasilimu Kama inavyoonyesha haya katika suratul Jinn. Majini ni viumbe vyebesi vinavyokaa angani havina viwiliwili kwa hiyo haviwezi kuonekana na wanadamu ila vinapojibadili kwa umbo lenye kiwiliwili. Na vina uwezo huo wa kujibadili kwa sura ya kuweza kuonekana. WAO NA MASHETANI WANA ASILI MOJA.
Kwa hiyo asili ya majini ni shetani.

Suala linalohusu malaika linawasumbua sana Waislamu hata hawana uhakika wake.
Tumesoma ndani ya Biblia kuwa kuna kundi la malaika waliokosa ambao ndiyo wanaitwa majini lakini tusomapo Qurani inatoa maelezo tofauti.
Quran Suratul- al- sajdah, (kusujudu) 32:13
“ Na tungelitaka tungempa kila mtu uwongofu wake (kwa lazima kama tulivyowapa Malaika lakini binadamu amepewa huria ya kufanya alitakalo- liliyo jema na baya).

Katika ulimwengu wa kiislamu malaika wote ni wema na wanamwabudu Mungu.
Hapa ndipo penye tatizo linapoanzia. Qurani ilipokuja baadaye inasema Malaika wote wema wakati Biblia kitabu kilichotangulia Qurani kinasema kuna malaika walioasi Na wakafukuzwa katika utukufu WA Mungu.
Katika Qurani Suratul al kahf (Pango) 18:50
“ Na kumbukeni tulipowaambia Malaika, Msujudieni Adamu. Basi wakasujudia isipokuwa Ibilisi yeye alikuwa miongoni mwa majini na akavunja amri ya Mola wake ……”
Katika aya hiyo tunaona Ibilisi akilaumiwa kwa kutomsujudia Adamu ingawa amri ya kusujudu walipewa Malaika kumbe kwa mujibu wa Qurani Ibilisi alikuwa miongoni mwao hao Malaika yaani yeye akiwa Malaika.

Kwa sababu Qurani haina habari kuhusu Malaika waliosi yaani majini ndiyo maana wanapata tabu kuhusu jambo hilo. Na ndiyo maana pamoja na kujua kuwa hao majini ni mashetani, Mwislamu amehiari kushirikiana nayo kwa kuswali nayo msikitini. Na hata Mwislamu huyo anapomaliza kusali husalimia kulia na kushoto akiwasalimia watu, malaika na majini (mashetani) waliokuja kushiriki naye katika ibada yake, soma katika
(Irshadul Muslimiin, sheikh Said Musa, Uk 38)
Katika Tafsiri ya Qurani ya Imam Jalalaini Uk 6:151 anasema kuhusu majini
“ Hao ni watoto wa Ibilisi”
Hii ndiyo sababu hata Wanawake wa Kiislamu wakiwa katika kipindi cha hedhi hawaendi Msikitini kwa sababu mle ndani kuna majini na chakula cha majini ni damu.
Tafakari kwa hiyo sifa ya hayo majini au mashetani kwa ujumla ni kuwa “ hujaribu kwa bidii sana kuwa karibu na waumini (Waislamu) wale wanaosali, kufunga na kusoma Qurani” (Asili ya majini, DK. Ahmed H. Sakr Uk 28)Ndiyo maana baadhi ya Waislamu wao binafsi wasingependa kuwa waislamu lakini majini huwashurutisha kwenda kuswali.
Kwa sababu wao Waislamu hawajui kubambanua kati ya majini ambayo ni roho chafu na wale Malaika watakatifu wa Mungu Yehova, ndiyo maana hata akiwa katika sala yake hana uhakika kwa sababu huyo jinni (shetani) amemteka na amemfanya atakavyo na yeye ni mtumwa wa huyo jinni (shetani)
Katika kitabu kiitwacho Mkweli Mwaminifu cha Sheikh Said Moosa Mohammad Al- Kindy wa Muscut Oman, juzuu 1-2 Uk 42 hadith Na 74.
“ Anamwijia mmoja wenu shetani (jinni) katika sala basi anapuliza katika ------ yake, basi (Yule mtu) inamuijia fikra ya kuwa umemtoka upepo (kafusa) naye haukumtoka, basi akiona namna hiyo asiondoke (kwenye sala) mpaka asikie sauti (ya kutoka upepo) au anuse harufu (ya huo upepo uliyomtoka, ndio aondoke).

Huyo shetani, au jinni anakuwa karibu sana na huyo Muumini wa kiislamu hamchezei tu Mwislamu katika ------ yake kama tulivyosoma hapo juu bali pia anapofanya tendo la ndoa.
Katika kitabu kiitwacho Asili Ya majini cha Dr Ahmad h. Sakir Uk 116 anasema
“ Hadithi ya Mtume inathibitisha jambo hili kuwa majini (mashetani) na watu wanaweza kuoana aliposema kwamba iwapo mtu ataingia katika uhusiano wa kindoa na mkewe anatakiwa ataje jina la Mwenyezi Mungu ajilinde kwa Mwenyezi Mungu dhidi ya shetani aliyefukuzwa mbali na rehema. Vinginevyo shetani hujivingirisha katika dhakari (sehemu ya siri za mwanaume) ya mtu huyo na atashirikiana naye katika tendo hilo. Tafakari yetu kuwa huyo jinni anayeshiriki naye tendo la ndoa pamoja kwa mkewe ametumwa na huyo huyo Mungu wao. Hiyo ni kesi ya ngedere kumpelekea nyani! Utashindwa tu!

v Huhakikisha haweki wazi utambulisho wake vinginevyo watu wanaweza kumkwepa au hata kumkimbia. Jina lake linawatisha watu wengi. Hivyo ni vyema asijitambulishe kama ni shetani, jinni.
v Huwapotosha watu kutoka kwa Mwenyezi Mungu ili waende naye jehanamu, badala ya kwenda peke yake. (Kumbuka hukumu ya Yesu kwa Ibilisi na Malaika zake Math 25:41)
v Huwakatisha watu tamaa kwa sababu kwa sababu hana la kuwapa ila matumaini ya uongo ( mf Q. 52:20)
v Huhakikisha kwamba watu wanamheshimu. Kumfuata shetani maana yake ni kuwa mtu amejisalimisha (kumbuka Waislamu wanaposalimia majini kulia na kushoto katika sala {Irshadul Muslimin Uk 38}).
v Huhakikisha kwamba hadhihirishi jina lake kama shetani lakini kama rafiki aliyejificha anayewatakiwa mema.
v Huanziza vurugu vinginevyo maisha yake huwa ya taabu. Huwa anafurahia kuona watu wakipigana wao kwa wao.
Katika kipengele hiki tunaposoma katika Qurani, suratul- Al- maidah, (Meza) 5:14

Mkuuuu unajua sana...yaan fact with evidence ..asante sana
 
Dini ni uhuru wa mtu kuabudu anachotaka bila kuvunja utaratibu wa nchi, au kuharibu uhuru wa mtu mwingine, hakika nashangaa sana hata sehemu zingine kuwa watu hulazimishwa kwa nguvu kuingia katika uwislam na kulazimishwa kwa nguvu kufuata taratibu zake, kama uwislam ni nzuri watu wangekuja wenyewe na wengefata taratibu wenyewe bila shuruti, acheni nakafiri yaendelee na ukafiri wao nanyi watukufu wailsama endeleeni na uwislam wenu.
 
Wewe kama si kwa ridhaa yako vipi uwaruhusu wanao au kama huna, watoto wa wenzio waende sehemu hatari kama hiyo kwa kuharibu watoto mpaka Umoja wa Mataifa unapiga kelele? How?

watoto wanaolawitiwa na maalim wa madrassa unaweza sema wameenda kwa ridhaa ya wazazi wao? wewe nimekushindwa..
 
watoto wanaolawitiwa na maalim wa madrassa unaweza sema wameenda kwa ridhaa ya wazazi wao? wewe nimekushindwa..

Kijana, Umoja wa Mataifa unapiga kelele kuwa kanisa katoliki linaharibu watoto duniani, na vielelezo nimekuwekea juu huko. Sasa wewe onesha ni wapi Umoja wa Mataifa umelalamikia madrassa.

Nnakuhakikishia huwezi.

Hivi unachokitetea ni nini haswa? au ni ukweli niliposema mnafanya kwa ridhaa yenu na wewe ni mshiriki wa hayo mambo na kwako unayaona ni sawa tu?
 
Hapa hapana tusi na hatamimi nashangaa MTU anaita tusi eti kusema Yesu mungu mkuu na mtetezi wetu alitahiriwa baada ya siku name????

Pia nashangaa MTU anaita tusi eti kusema Yesu alilaaniwa kwa ajili ya dhambi zetu.

Na mwisho nashangaa MTU anaita tusi eti kusema mungu yesu alipigwa mawe na baadae kutundikwa msalabani na watu ambao yeye kawaumba????

Pole sana KWA kuwa na kiwango kidogo cha uwezo wa kujiongeza nafikiri NI kiburi tu ndio kinachokuongoza,Mungu si mbabe kama unavyofikiri hata mjumbe wake hawezi kuwa na tabia hiyo.Endeleza hayo mawazo mgando utayaona matunda yake mda kidogo sana
 
Haya si Zanzibar tu!
Leo hii mtaani kwangu nimeshanga na kuchoka na maneno niliyoyasikia kwa masikio yangu kwa bahati mbaya yametoka kwenye kinywa cha Mtu ambaye saa Mbili ya asubuhi anaoneka amekwishalewa lakini cha ajabu analalamika vigenge vya Mama ntilie kuwa wazi ili hali ni mwezi mtukufu wa Ramadhani.

Anaonekana amekwishalewa ila mungu anisamehe kama hayuko hivyo.

Serikali isipochukua hatua ya ziada kuondoa hii tabia na ujinga huu ,safari yetu huko mbele si salama hata kidogo.
Inasikitisha kuona mtu mwingine akilazimisha binadamu mwezake kuishi aishivyo yeye.

Huu ni upuzi kuliko upuzi mwingi katika Jamii ya Kundi la Wanyama na kwa bahati mbaya inafanywa na Binadamu anayehesabiwa kuwa na ufahamu mkubwa kuliko wananyama wengine.

Mpaka dakika hii siamini nilichokisia na sijamwambia mtu!Waumini wa Kiisilamu ebu jifunzeni kuishi na Binadamu wenzenu kadri ya hali na utamaduni wao ,na mkijiebusha na tabia zao zinazoweza kuwa kwaza katika imani yenu lakini sikuwalazimisha wao kutenda jinsi mpendavyo ninyi.
 
Akili kubwa umeelewa ulichokipost hapo? Embu dadavua basi? Mimi sioni baya lililoandikwa hapo.
"Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu." Wenye kudhulumu unawajua ni nani? Mlaleo acha kujishusha/kujidhalilisha bana. Wewe ni akili kubwa bana.




Sent from my iPhone using JamiiForums
Majini na Mashetwani yanaamka na wala hayaoni ubaya wa hiyo sura Nyie hampendi watu wasio Waislam.. huko Iraq tushasikia mmeanzisha Kodi maalum kwa kuendelea kuishi kama Mkristo ukishindwa kulipa hama au unakatwa mapanga tu nyie ni hayo Majinn
 
Back
Top Bottom