Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Yanayoendelea Zanzibar tusubiri majibu ya Wahanga na kuzaa gharika

Nimestushwa na kuogopa tena nikalazimika kuisoma Katiba ya Zanzibar mara mbili.

Leo Waislamu wa Zanzibar wanawavamia na kuwapiga vibaya Wazanzibar wenzao ambao sio Waislamu kwakuwa tu wanakula kwa mama lishe mchana mda ambao wale waislamu wanakuwa wamefunga,

Vipigo vimeenea kila kona ya mji wa Zanzibar na uhasama unakua kila kukicha, serikali ipo kwenye mfungo mtukufu, Wakristo hawa Wazanzibar hawana msaada, nani awaokoe vijana wa kikikristu ambao hawajao wanaotegemea kwa mama lishe na migahawani kupata mlo wao? Nao wafunge???

Nini tutarajie majibu ya wahanga hawa kama sio gharika? Serikali inasubiri kuunda tume baada ya mauaji??

Nimeisoma na kuipekua katiba ya Zanzibar kuona kama kuna kifungu kinachowapa haki waislamu kudhibiti uhuru wa watu wengine,

Zaidi nilitaja kujua kama Zanzibar ni nchi ya kidini au ni nchi inayotawaliwa kwakufuata sharia.

Sehemu mhimu ya katiba ya Zanzibar ni hii hapa, jioneeni kama ni haramu kula chakula hadharani nchini Zanzibar.



SURA YA KWANZA- ZANZIBAR
Sehemu ya Kwanza

1.Zanzibar ni Nchi ambayo eneo la mipaka yake ni eneo lote la Visiwa vya Unguja na Pemba pamoja na Visiwa vidogo vilivyoizunguka na bahari yake ambayo kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar ikiitwa Jamhuri ya Watu wa Zanzibar.

2. Zanzibar ni miongoni mwa Nchi mbili zinazounda Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. 2A. Kwa ajili ya utekelezaji bora wa shughuli za Serikali, Rais aweza kuigawa Zanzibar katika Mikoa, Wilaya na maeneo mengineyo kwa kufuata utaratibu uliowekwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
3.(1) Kutakuwa na Muhuri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ambao alama yake itakuwa kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.

(2) Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar itakuwa na uwezo wa kuweka kitu chochote kitachokuwa kielelezo cha Serikali kama itavyokubaliwa na sheria iliyotungwa na Baraza la Wawakilishi.
4. Katiba hii ni Katiba ya Zanzibar na itakuwa na nguvu za kisheria nchini kote na isipokuwa kutokana na kifungu 80 ikiwa sheria yoyote inatofautiana na Katiba hii, basi Katiba hii ndiyo itayokuwa na nguvu na sheria hiyo itakuwa batili kwa kiwango kile ambacho kinahitilafiana.

5. Zanzibar itafuata mfumo wa Kidemokrasia wa Vyama Vingi vya Siasa wenye kuheshimu utawala wa sheria, haki za binaadamu, usawa, amani, haki na uadilifu.

5A.(1) Zanzibar itafuata mfumo wa mgawanyo wa madaraka kati ya mamlaka tatu, Mamlaka ya Utendaji, Mamlaka ya Kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki.

(2) Mamlaka ya Utendaji ni Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mamlaka ya kutunga Sheria na Kusimamia Utekelezaji wa Shughuli za Umma ni Baraza la Wawakilishi na Mamlaka ya Kutekeleza Utoaji Haki ni Mahkama.

(3) Hakuna mamlaka itakayoingilia Mamlaka nyengine isipokuwa kama na kwa kadri ilivyoelezwa katika Katiba hii.

Na hapo ndipo Rasimu ya Katiba ya Tume ya Warioba inapotakiwa kuzingatiwa. Ukitaka kuvua samaki sharti ndoano uizamishe majini na siyo kuielekeza hewani. Imani thabiti hushinda vishawishi. Suala hilo dogo limewashinda sembuse makubwa. Vibaka wamepungua waliobaki ni waiba kuku tujiandae kukabiliana nao mfungo ukiisha, sababu inayosababisha yote hao ni DOUBLE STANDARDS ZA UISLAM.
NDIO DOUBLE STANDARD KAMA IFUATAVYO:
1. Waumini wa kiislam wakitenda makosa kama vile kurusha mabomu katika makanisa, utashangaa masheikh wao wanasisitiza kuwa wale si waislam kwani uislam unakataa, jibu sahihi lilitakiwa kuwa "ni waislam waliotenda kosa.
2. Muislam akiwa katika mzingira ambayo hakuna 'hallal food' iili asife kafir eti anaruhusiwa kula hata nyama ya nguruwe.
2. Ninaamini Issa siyo huyu Yesu Kristo Mwana wa Maria, kwa maana kama ndiye basi waislam wangefuata mafundisho yake kuhusu Mume Mmoja na Mke Mmoja, kama ndiye basi katika ndoa nako kuna double standards kwamba mwanaume akiwaka tama aoe hata wanawake wanne.
 
niliishi zanzibar miaka mitatu enzi mbazo polisi tu wakikukamata na maji ya kunywa sembuse chakula viboko 70 vitakuhusu. Hata hivyo niligundua kitu kimoja kuwa utamaduni unanguvu sana zaidi ya sheria. Hivyo nikaamua kufuata usemi "ukikuta waroma wameelekeza vichwa kusini geuzia hukohuko kisijekatwa". Nikiwa mkristo maisha yalikua mazuri kwa sababu nilichagua kuwa na uvumilivu wa hali ya juu wa kidini. Ingawa siyo sawa kuwavamia lakini nao mara nyingine wanakula hadharani. Acheni kula uchochoroni kaleni maeneo ya makanisa ka katoliki au pale angilikana mkunazini. Epukeni kuwachokoza waliofunga kimwili!!!!
 
mwezi mtukufu watu waliokufa ndo wengi zaidi!! Syria ndani ya wiki wamekufa 1700.
 
Nakubaliana na wewe wakiristo Zanzibar wapo hata kabla ya Tanganyika na hawajalazimishwa kufunga waulizeni akina Charles Hilarry kinachogomba hapa ni kula hadharani jambo ambalo limekatazwa usitake kuleta fitna sisizo maana

OK, kwahiyo ukila inatakiwa ukajifiche uvunguzi mwa kitanda huku ukiwa umefunga milango yote na makufuli makubwa.
Hii ipo kwenye katiba au kwenye dini??
 
Zanzibar ni nchi ya kiislamu hivyo ni lazima ufuate sheria za kiislamu, hivyo kwa wale wanaokula mchana hadharani mwezi wa ramadhani. lazima wapigwe bakora. katiba yao ndio isemavyo tofauti kabisa na katiba ya bara yenye ukiristo na uislamu

Ndugu nani ka kwambia zanzibar n nchi?? Zanzibar n kama ka mkoa hvi ka SIMIYu na raisi wake n kama head prefect aliyekosa mamlaka mbele ya mkuu wa shule (Tanzania Bara)
 
OK, kwahiyo ukila inatakiwa ukajifiche uvunguzi mwa kitanda huku ukiwa umefunga milango yote na makufuli makubwa.
Hii ipo kwenye katiba au kwenye dini??

katiba ndio nini kama wewe unajiamini nenda kale hadharani kutegemea katiba kanisa litakuokoa mana linataka kuifanya z'bar kama tanganyika
 
Ndugu nani ka kwambia zanzibar n nchi?? Zanzibar n kama ka mkoa hvi ka SIMIYu na raisi wake n kama head prefect aliyekosa mamlaka mbele ya mkuu wa shule (Tanzania Bara)
wewe ni kipofu wa kuelewa, wabunge wa Zanzibar wanaingia katika bunge la Tanganyika lakini wabunge wa Tanganyika hawaingii katika bunge la Zanzibar, hivyo wabunge wa Zanzibar wanachukua mshiko mara mbili.nani mjaja. kweli kuwa ccm lazima ujitoe ufahamu
 
Na hapo ndipo Rasimu ya Katiba ya Tume ya Warioba inapotakiwa kuzingatiwa. Ukitaka kuvua samaki sharti ndoano uizamishe majini na siyo kuielekeza hewani. Imani thabiti hushinda vishawishi. Suala hilo dogo limewashinda sembuse makubwa. Vibaka wamepungua waliobaki ni waiba kuku tujiandae kukabiliana nao mfungo ukiisha, sababu inayosababisha yote hao ni DOUBLE STANDARDS ZA UISLAM.
NDIO DOUBLE STANDARD KAMA IFUATAVYO:
1. Waumini wa kiislam wakitenda makosa kama vile kurusha mabomu katika makanisa, utashangaa masheikh wao wanasisitiza kuwa wale si waislam kwani uislam unakataa, jibu sahihi lilitakiwa kuwa "ni waislam waliotenda kosa.
2. Muislam akiwa katika mzingira ambayo hakuna 'hallal food' iili asife kafir eti anaruhusiwa kula hata nyama ya nguruwe.
2. Ninaamini Issa siyo huyu Yesu Kristo Mwana wa Maria, kwa maana kama ndiye basi waislam wangefuata mafundisho yake kuhusu Mume Mmoja na Mke Mmoja, kama ndiye basi katika ndoa nako kuna double standards kwamba mwanaume akiwaka tama aoe hata wanawake wanne
.

Makubwa haya.

Naona umezungumza jambo geni kidogo hapo nilipo RED.

Labda tudadavulie Yesu aliwahi kuoa? au mama yake yesu aliwahi kuolewa?

Naomba majibu ya hayo kabla hatujenda mbaaali zaidi kuhitaji ufafanuzi wako katika hizi ndoa.
 
Makubwa haya.

Naona umezungumza jambo geni kidogo hapo nilipo RED.

Labda tudadavulie Yesu aliwahi kuoa? au mama yake yesu aliwahi kuolewa?

Naomba majibu ya hayo kabla hatujenda mbaaali zaidi kuhitaji ufafanuzi wako katika hizi ndoa.
Mwamedi alikuwa ana kazi ya kuwala wake za watu wakienda vitani siku moja akafumaniwa akaliwa kiboga... bakaji nalo likaliwa ndipo ule msemo wa Basha hubaashiwa ulipoanzia... Ushenz.i umeanzishwa na Waarabu... na ndio maana wasenz.i hadi Dini yao inaruhusu... ISISL
 
Mwamedi alikuwa ana kazi ya kuwala wake za watu wakienda vitani siku moja akafumaniwa akaliwa kiboga... bakaji nalo likaliwa ndipo ule msemo wa Basha hubaashiwa ulipoanzia... Ushenz.i umeanzishwa na Waarabu... na ndio maana wasenz.i hadi Dini yao inaruhusu... ISISL

Kwani baina ya waarabu na dini yao na wazungu na dini yao nani aliyeruhusu na kuhalalisha ndoa za jinsia moja?
Chunguza kabla kuropoka maana unasema maneno kinyumenyume.

Pole sana

 
Kwema Wakuu!

Funga ni yako na dini yako na Mungu ni wako. Funga yako sio funga ya taifa au ya dunia. Ni yako wewe binafsi na Watu wanaoamini katika kile unachokiamini. Huyo Mungu unayemuamini usidhani kila mtu anamuamini kama wewe.

Waislamu ni moja ya Watu wasio na uvumilivu katika kuishi na jamii zingine hasa wakiwa wengi. Ni wabinafsi Sana. Wanapenda attention na kujiona wanahaki kuliko wengine. Jambo ambalo ni tafsiri halisi ya ubinafsi.

Waislamu huwa waungwana pale wanapokuwa wachache. Ukiona muislamu ni muungwana mara nyingi jua ni dhaifu, yaani wapo wachache.

Wakari nipo Advance, Waislam hawakuwa wengi walikuwa kama robo tuu ya Advance wote. Shule haikuwa ya dini lakini wao wanaleta mambo ya Dini. Wao kila kitu wanaona kama wanaonewa.

Ishara nyingine ya kuwa uislamu ni ubinafsi ni pale ambapo hawataki Quran yao ikosolewe. Wao wanadhani wanavyoamini Quran iko PERFECT basi kila mtu anaamini hivyo. Kitendo cha kutotaka kukosolewa ni ishara kuu ya ubinafsi. Hata Mungu muumbaji mwenyewe kama hataki kukosolewa naye ataingia katika kundi la wabinafsi.

Ni kama mwanaume aliyeoa ambaye hali nyama basi atataka nyumba yake wasile nyama. Huo si wendawazimu na ubinafsi uliopitiliza.

Kwa nini Watu wasile hadharani?
Huo mwezi wa Ramadhani ni mtukufu kwa Waislamu na sio kwa Watu wote. Yaani watu wasile kisa kuna Watu fulani wapo kwenye mfungo? Ni vioja na Viroja.

Huwezi ita dini ya HAKI wakati kuna ubinafsi unaoendelea katika dini hiyo. Haki ni pamoja na kuheshimu imani na mitazamo ya Watu wengine.

Fikiria mwezi wa Ramadhani alafu kwenye nchi ambazo Waislamu ni wachache waambiwe hakuna Watu kufunga, hiyo inakuja akilini? Yaani kisa ninyi msiowaislamu ambao ni wengi hamfungi basi mnataka waliowaislam wasifunge kama ninyi. Huo ni wendawazimu.

Dini ni yenu na familia zenu. Sio dini na imani ya Watu wote.

Ati sio uungwana mtu kula mbele ya mtu aliyefunga. Hizo akili niza wapi? Sidhani hata Quran imeandika vitu vya hovyo namna hiyo.

Elimu ya Haki na kujitambua ni muhimu. Kama mtu anaweza kumpiga mtu kisa anakula siku ya mfungo wa ramadhan atashindwa vipi kumuua kisa Dini?

Hao vijana waliofanya huo uhalifu washughulikiwe mapema, waache kuchafua amani ya nchi na kuleta malumbano na vita vya kidini. Pia wasiwachafue Waislamu wema ambao kila siku wanahitaji kuonyesha uislamu ni haki na Amani.

Ijumaa Kareem.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
 
Sasa why umeandika huku unajicontradict MWENYEWE?eti waislam ni waungwana wakiwa wachache,who told you that?

Kwamba huku bara waislam hawawasumbui makafiri kisa ni wachache au?,fanya utafit kwanza hizo nchi zenye waislam wengi mambo Huwa yanakuwa vip kipindi Cha Ramadhan,bila shaka Zanzibar siyo nchi ya kiislam,lakin hata kama ni Nchi ingekuwa ni nchi ya kiislam huwezi Kuta kafiri anapigwa eti kisa anakula HADHARANI,kwanza atapata wapi Hiko chakula ili Hali almost nchi yote hupikwa after KUFUNGULIA?labda waende hotel,Kwa hakika hao waliofanya hivyo ulipaswa uulize kwanza je mafundisho ya Qur an na Mtume yanasema hivyo wao walivyofanya?au chuki zako tuh basi unakimbilia kutupa matusi Kwa uislam na waislam?
 
Sasa why umeandika huku unajicontradict MWENYEWE?eti waislam ni waungwana wakiwa wachache,who told you that?

Kwamba huku bara waislam hawawasumbui makafiri kisa ni wachache au?,fanya utafit kwanza hizo nchi zenye waislam wengi mambo Huwa yanakuwa vip kipindi Cha Ramadhan,bila shaka Zanzibar siyo nchi ya kiislam,lakin hata kama ni Nchi ingekuwa ni nchi ya kiislam huwezi Kuta kafiri anapigwa eti kisa anakula HADHARANI,kwanza atapata wapi Hiko chakula ili Hali almost nchi yote hupikwa after KUFUNGULIA?labda waende hotel,Kwa hakika hao waliofanya hivyo ulipaswa uulize kwanza je mafundisho ya Qur an na Mtume yanasema hivyo wao walivyofanya?au chuki zako tuh basi unakimbilia kutupa matusi Kwa uislam na waislam?

Hizo nchi za kiislamu Watu wanawajua Waislamu walivyo ndio maana hawali hadharani siku za Ramadhani kwa sababu wanajua nini kitafuata.

Hapo Zanzibar sio nchi ya kiislamu ndio maana Watu wanaona wale kwa uhuru lakini kinachotokea kila mwaka ni ushahidi.

Wewe uliwahi kusikia mtu kapigwq kisa hajafunga Kwarezma?

Taarifa ya huko Nigeria vipi hukuisikia?
 
Nchi zilizoendelea kila siku wana midahalo je uislam ni dini ya amani? Hakuna dini nyingine huwa inaulizwa hili swali jepesi kabisa isipokua Islam.

Mpaka inaulizwa hilo swali huoni Logic yake?
Huwezi uliza swali la rangi nyeupe ni nyeupe wakati kila kitu kiko wazi.
Utauliza rangi ya maziwa ni nyeupe?

Au huwezi weka mjadala kuwa simba ni mnyama ilhali ukweli upo wazi.

Utaweka mjadala kuwa je Popo ni mnyama au sio mnyama

Hiyo ni Logic
 
images (54).jpeg

Mjanja M1
 
Back
Top Bottom