BONGOLALA
JF-Expert Member
- Sep 14, 2009
- 16,508
- 11,897
Kimsingi ccm imedhamiria kuharibu mchakato wa katiba mpya kwa mimi bila kuiona mfumo wa muungano unabadilika itakua ni kupoteza wakati .serikali 1 au 3.Muundo wa serikali 2 umeshindikanaMsingi wetu ni kuwapa ukweli wa mambo bila ushabiki hii ni kwa manufaa ya watanzania waliowengi ambao ndiyo wenye katiba yao.




