firstcollina
JF-Expert Member
- Aug 8, 2009
- 349
- 23
Kizuri ni kwamba jana kuna mjumbe alimba bunge liwe linaanza kwa dua kama lile la Jamuhuri. Nafikiri alikuwa na pointi nzuri sana baada ya kuhisi pepo mchafu anawasumbua baadhi ya wajumbe.
Nimatumaini yangu leo mambo yatakuwa barabaraa.
Nimatumaini yangu leo mambo yatakuwa barabaraa.
