Je mheshiwa SITTA unafikiri unaweza kutuongoza vema katika bunge hili na Mwisho tupaje Katiba ya viwango? jibu la mzee SITT: Nadhani muuliza swali amethibitisha kuwa mimi ni mmumini wa kuendesha bunge kwa viwango, na mim ndivyo nitakavyofanya, amejibu SITTA.