Je mheshiwa SITTA unafikiri unaweza kutuongoza vema katika bunge hili na Mwisho tupaje Katiba ya viwango? jibu la mzee SITT: Nadhani muuliza swali amethibitisha kuwa mimi ni mmumini wa kuendesha bunge kwa viwango, na mim ndivyo nitakavyofanya, amejibu SITTA.
Kweli ushabiki utaipoteza hii nchi, maswali wanayoulizwa hawa wagombea hayana miguu wala kichwa, ila naona swali la mwisho kdg lina maantiki kdg ingawa ni dongo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.