Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Tarehe 12 Machi 2014 - Uchaguzi wa Mwenyekiti wa Bunge Maalum

Kwa wanaofatilia sasa hivi mchakato wa upigaji kura kwenye channel ya tbc watakubaliani nami kwamba mh. sita ameshinda dhidi ya mgombea mwenzake ambae ameonekana ana hoja dhaifu ikiwamo ya kujisifia kwamba ye ndo mwafrika wa kwanza kuwa na yard ya kuuza magari, kitu ambacho wataalam wa mambo ya siasa wanasema ushindani huo hauna uwiano ni sawa kupambanisha mlima kilimanjaro na kichuguu
 
Kura imepigwa ya siri mkuu Katavi pole sana na mihangaiko.
 
Last edited by a moderator:
jamani jamani Kificho yuko makini sana,hata ukimuuliza swali la kizushi atakujibu
 
Dah, wadau. Kumbwe Mwenyekiti Kificho hajui kutamka neno Falsafa. Anatamka Salfasa. Ila simshangai sana kwani kuna wengi tuna matatizo ya matamshi
 
Mkuu Nyange hamna kura ya wazi popote pale ata China ambao wana baraza kuu la kikomunisti kura yao ni ya siri.
sasa waliokuwa wanataka kura ya wazi utaratibu huo wameutoa wapi?
 
Last edited by a moderator:
Namwona kificho anajisomea chapisho flani ila sijui linahusu nini
 
thatha, hii thread unaiharibu...hivi hujaona ajabu mnaochangia ni ninyi hao hao? Sifa kuu ya Mwenyekiti wa kikao muhimu kama hiki ni kutoshabikia upande wowote mapema kama alivyofanya Sitta. Kwa kauli yake hiyo kaonesha hicho kiti kinamzidi kimo na angekuwa na hata chembe cha busara angefuta hiyo kauli na kuwaomba wajumbe msamaha. Lakini ndiyo hivyo tena huo ndio msimamo, kama tunavyoambiwa, wa chama tawala na hivyo tusitegemee mjadala unaotanguliza maslahi ya Watanzania bali ya wana CCM. Of course Sitta ana nafasi nzuri tu ya kuchaguliwa na hiyo ni kwa sababu wajumbe wengi wako mle ndani kuwakilisha matumbo yao na ya waliowateua. Sitta ni moja kati yao watu hao na kwa hakika huu ni muendelezo tu wa kundi la kisanii ndani ya chombo chetu hiki ambacho kwa bahati mbaya maamuzi yake yataacha madhara makubwa kwa taifa letu huko mbeleni, yangu macho.

Wabunge ndiyo watakaoamua kama kauli ya SITTA ni mbaya au la, wewe huozi kuona umuhimu wa Kauli ya SITTA na hapo ndipo tunakosea kuwahukumu watu. Kuna kosa gani SITTA kuonesha msimamo wake? Kura zimepigwa nitashangaa kuona wewe unapingana na kauli ya SITTA wakati anazoa kura zote zikiwemo za wapinzani.
 
Kwa kauli hii ya mh. Sitta kwamba WATAWASHUGHULIKIA wale wote wenye nia ya wazi ili wavunje muungano (wafuasi wa serikali 3) ni ya kulaani vikali popote tulipo, unguja, pemba, bara.
Naona huyu mzee kaanza kwa kujitia dole au doa sehemu ngumu kama hii.
Mùunganano wetu unajadiliwa kwa nini tulazimishwe?

Nani kakuambia S3 kuvunja muungano
 
Kassimu Majaliwa namwona yupo jirani na mzee flani hapa anafanana na Wasira ila si Wasira
 
MAAJABU!


Mbona wamepiga kura ya siri mimi nilijuwa watapiga ya wazi maana walisema ndio demokrasia
 
Uzuri wa Watanzania ni kwamba wakipenda wamependa.

Hivyo hata ingetokea Sitta amewatukana hao wajumbe wote wa bunge maalumu, bado tu wangempa kura.
 
Namwona kificho anajisomea chapisho flani ila sijui linahusu nini
Mkuu, nipo kwa juu yake na namchungulia namuona anasoma vi.note fulani. Pengine ndo vimemo vya wabunge
 
Back
Top Bottom