Tovuti Rasmi ya Bunge Maalum la Katiba. |Naombeni Link ya kusikiliza hili bunge Online jamani. Please
Tusi lipi kwa mfano ?
Nimekuwa nikifuatilia bunge toka mwanzo na nikifuatilia hoja na michango mbali mbali kutoka vyama mbalimbali ya wachangiaji kutoka pande zote ,,na nilicho gundua ni kwamba wachangiaji wengi wa ccm hawana hoja zaidi ya mipasho na kejeli maneno ya kimbea kimbea ,ushakunanku bila hoja,unakuta mtu kasimama mwanzo hadi mwisho ni mipasho tuu, na anapigiwa makofi na vigerere lakini ni mopasho tuuubila hoja za msingi kutetea hoja zao.. Lakini CHADEMA wamekuwa wakijitahidi kujibu hoja kisomi na kitaalami kwa vigezo na envidance na maandishi mbali mbali ambazo zimekuwa mikuki kwa ccm sababu kila anacho kisema hatoi kichwani kawajibu mambo yote kutoka kwenye katiba ya zanzibar ambayo haimtambui raisi wa tanganyika.
Usilete hoja zako za kijinga mkuu hiyo lugha kaitumie mnakaa kule na wahuni wenzako siku moja hata wewe unaweza kuwa na ulemavu wa macho sijui utasema nini.Yule kipofu anataka kujinyea tena hapa.
Huyu mtu siku zote huwa anatumia sympathy na macho yako yake kueleza uchafu wake.
Hakika huyu mbunge ananikumbusha mbali sana. Anasema kuwa wapinzani wa mapinduzi ni hawa hawa wanaopinga muungano hasa kupitia vizazi vyao. Anasema kuwa Wazanzibari wanaotoka Unguja, wana muingiliano na watu wa bara huku wa Pemba hawana muingiliano wa kidamu zaidi ya ule wa kibiadhara.
Mkuu, hapana na tena nakataa kwamba hapana. Hii si lugha ya hapa JF labda kule kwingine. Hakika umekuja kupandikiza kirusi cha ubaguzi na unyanyapaa. Hakika Mods watu kama hawa msiwape nafasi ya kuonesha hisia zao za kipumbavu humu. Hakika imeniuma sana kwa huu unyanyapaa ulioonesha na huyu mdau. Hakika ameidhalilisha sana JF. Ukumbuke kuwa hakuna mtu ameomba kuwa mlemavu.
jamiiforum ni ya wanajqmiiforums ukiwepo wewe na mimi
Hee wewe unaangalia bunge gani? Hivi matusi ya Lisu ndio hoja na usomi, kama hujui huo ni upumbafu na kifo kisiasa.