taratibu za kibunge ni kwamba ijadiliwe,ipigiwe kura na uamuzi wa wengi ndo unafuatwa hakunaga njia nyingine huwezi kulazimisha.We must sue all those who have brought menace of halting formulation of Tanzania New Constitution Process. ...They must pay heavily for this.
sawa kabisa kikwete ndio alianza kuharibu ktk hotuba ya uzinduzi, historia itamhukumu kuwadharau wazee wa tume kwa kuwatupia vilago kwa hasira za mapendekezo ya ccm.kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,
babtutuCheche Mtungi unauwa kaka
hawa UKAWA WANA TAFUTA UMAARUFU LAZIMA WAITISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA NA WATATOA TAMKO.
MIMI NAOMBA WASIRUDI BUNGENI WAENDE WAKALALE
Hivi nini inaendelea pale Bungeni hata warudi. Mambo yako wazi kwamba CCM ni wegi na wna rasimu yao ya katiba waitakayo na iapita sasa Bunge ni ka nini, hakuna akili huru. Hongera sana ndugu zetu kwa kulilewa hilo na kuiacha CCM mamboake.hawa UKAWA WANA TAFUTA UMAARUFU LAZIMA WAITISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA NA WATATOA TAMKO.
MIMI NAOMBA WASIRUDI BUNGENI WAENDE WAKALALE
wee naye hovyoo nikwambie na kina nani? Nikishakutajia nchi nayoishi halafu? Acha kuquote watu na kimbelembele chako, nilichoandika na ulichouliza hivi wewe unajiona uko sawa?
Daaa!!!
Mkuu mifano yako ni balaa.
Lakini hata hivyo, ukisema "mlemavu wa masikio" utakuwa umetoa malelezo. Huyo mlemavu wa masikio anaitwaje?
Anaitwa "kiziwi", ndio jina la ulemavu wake.
SamaritanUkisikiliza baadhi ya wachangiaji unapata shida sana juu ya uelewa wa hawa wabunge.
Shukraan,
Niliomba Audio ya Prof Lipumba ya jioni hii ilosababisha UKAWA kutoka nje.
tayari wameanza kuibina wenyewe bungeni kuna mbunge kapoteza pochi yake
Nimawazo ya punguwani...hawa UKAWA WANA TAFUTA UMAARUFU LAZIMA WAITISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA NA WATATOA TAMKO.
MIMI NAOMBA WASIRUDI BUNGENI WAENDE WAKALALE
Tayari CCM wameanza kuibiana Pochi huko Dodoma
IndunguWamewaachia mjitengenezee katiba yenu na familia zenu,makabaila nyie.
Samaritan
===>Hujiulizi kwa nini Shibuda anapendwa na Magamba?
===>Ukitaka kufaidi na kupatana na Magamba hicho ni kigezo cha kwanza,
===>Halafu uwe na matatizo kidogo ya akili na upeo,kama unaona hii inatakiwa iwe tatu basi wewe useme hii ni mbili kwa nguvu zozote zile.
SkypeSawa mkuu ila mtaalam wa hizi audio ni jamaa mheshimiwa mmoja humu jf ngoja niungane nawe kumwomba atuletee hii kitu, haloo mkuu President Elect tusaidie hii kitu ya leo ya prof Lipumba