Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

We must sue all those who have brought menace of halting formulation of Tanzania New Constitution Process. ...They must pay heavily for this.
taratibu za kibunge ni kwamba ijadiliwe,ipigiwe kura na uamuzi wa wengi ndo unafuatwa hakunaga njia nyingine huwezi kulazimisha.
 
Maoni yangu, inaonekana Waziri Warioba Alifanya kinyume na sera ya chama tawala, hivyo ni mhaini kwa chama akamatwe, apewe nidhamu Kisha tume mpya iundwe ikakusanye maoni wanayoyataka kisha wayajadili na kutengenezea katiba, gharama zote wabebeshwe wananchi. Kama rasimu haikufaa wasingekubali kuijadili kwa sehemu ya kwanza. Kama rasimu ni ya uongo wajumbe wafikishwe mbele ya sheria na sheria ichukuwe mkondo mwingine.
 
Du mipasho iliyobaki bungeni eti UKAWA wameongoka na pochi ya mheshimiwa
 
kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,
sawa kabisa kikwete ndio alianza kuharibu ktk hotuba ya uzinduzi, historia itamhukumu kuwadharau wazee wa tume kwa kuwatupia vilago kwa hasira za mapendekezo ya ccm.
 
babtutu
===>Ukweli haupingiki,katiba mpya imeshikwa CUF,hawa CCM huku bara wanajidanganya sana,hawawezi kupata 2/3 Zanzibar,
===>Kuendelea kukaa bungeni na kubishana na mtu kama Mwigulu na Lukuvi ni kupoteza muda tu,bora warudi mtaani wakasimamie maendeleo ya wananchi basi.
 
Last edited by a moderator:
hawa UKAWA WANA TAFUTA UMAARUFU LAZIMA WAITISHE MAANDAMANO NCHI NZIMA NA WATATOA TAMKO.

MIMI NAOMBA WASIRUDI BUNGENI WAENDE WAKALALE
Hivi nini inaendelea pale Bungeni hata warudi. Mambo yako wazi kwamba CCM ni wegi na wna rasimu yao ya katiba waitakayo na iapita sasa Bunge ni ka nini, hakuna akili huru. Hongera sana ndugu zetu kwa kulilewa hilo na kuiacha CCM mamboake.
 
wee naye hovyoo nikwambie na kina nani? Nikishakutajia nchi nayoishi halafu? Acha kuquote watu na kimbelembele chako, nilichoandika na ulichouliza hivi wewe unajiona uko sawa?


achanana na huyo binti wa chama cha ukoo wa panya.. Atakuumiza kichwa bure tu, kuna watu wanalipwa humu kwa kupost , kwa siku wanalipwa 7000/thread na huyo ni mmoja wao... So atakuumiza kichwa bure.
 
Daaa!!!
Mkuu mifano yako ni balaa.
Lakini hata hivyo, ukisema "mlemavu wa masikio" utakuwa umetoa malelezo. Huyo mlemavu wa masikio anaitwaje?
Anaitwa "kiziwi", ndio jina la ulemavu wake.

Mkuu huo mfano ni balaa nimecheka hadi mbavu zinauma!jf utaipenda tu

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Ukisikiliza baadhi ya wachangiaji unapata shida sana juu ya uelewa wa hawa wabunge.
Samaritan
===>Hujiulizi kwa nini Shibuda anapendwa na Magamba?
===>Ukitaka kufaidi na kupatana na Magamba hicho ni kigezo cha kwanza,
===>Halafu uwe na matatizo kidogo ya akili na upeo,kama unaona hii inatakiwa iwe tatu basi wewe useme hii ni mbili kwa nguvu zozote zile.
 
Last edited by a moderator:
Shukraan,
Niliomba Audio ya Prof Lipumba ya jioni hii ilosababisha UKAWA kutoka nje.

Sawa mkuu ila mtaalam wa hizi audio ni jamaa mheshimiwa mmoja humu jf ngoja niungane nawe kumwomba atuletee hii kitu, haloo mkuu President Elect tusaidie hii kitu ya leo ya prof Lipumba
 
Last edited by a moderator:
Wamewaachia mjitengenezee katiba yenu na familia zenu,makabaila nyie.
Indungu
===>Wanajenga mazingira ya kututawala milele,waache tu,wanasahau yanayotokea Libya,Tunisia na Misri,wanafikiri Tanzania ni kijiji,unasubiriwa moto tu uanzishwe mafuta wanayaandaa wenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Wengi wetu tungependa kuwaelewa kwa majina wajumbe wa 201 walioshirikiana na ukawa kutoka nje ya BMK.
 
Samaritan
===>Hujiulizi kwa nini Shibuda anapendwa na Magamba?
===>Ukitaka kufaidi na kupatana na Magamba hicho ni kigezo cha kwanza,
===>Halafu uwe na matatizo kidogo ya akili na upeo,kama unaona hii inatakiwa iwe tatu basi wewe useme hii ni mbili kwa nguvu zozote zile.

Mbaya zaidi safari hii wanacheza na billions za walipa kodi mkuu.
Kwa vyovyote itakavyokua, CCM wanakibarua kigumu sana kwa upande wa Zanzibar kwa matokeo yeyote yale kuhusu hii katiba.
 
Sawa mkuu ila mtaalam wa hizi audio ni jamaa mheshimiwa mmoja humu jf ngoja niungane nawe kumwomba atuletee hii kitu, haloo mkuu President Elect tusaidie hii kitu ya leo ya prof Lipumba
Skype
===>Kumbe huyu President Elect ndio mtaalamu wa Audio sio?Mwambie atuletee hapa tumalize ubishi,maana yeye (Lukuvi) kamwaga mboga UKAWA wanamwaga UGALI
===>Na lingesemwa na CHADEMA au CUF lingekuwa gumzo mpaka basi.
 
Back
Top Bottom