Mipasho kaka ndiyo zetu sisiem hatuna hoja inabidi tufanye hivyo
Wakuu JF Amani iwe nanyi.
Bunge Maalum la katiba linaendelea kutufumbua macho as days goes on.
Leo tumekuja kujua kuwa Ndugu zetu wa Zanzibar pamoja na jeuri yao yote kumbe hawajiwezi na wamekiri kabisa kuwa wao Zanzibar kama Zanzibar hawawezi kufanya kitu bila Tanganyika.
Wamekiri kuwa hawajiwezi kabisa katika masuala mbali mbali, Umeme, Elimu, Madawa, Shule etc etc wengine mtakuja hapa kujazilizia.
Wameenda mbali zaidi na kusema kuwa wao hata wakipewa kiti UN Hawataweza kumgharimia huyo balozi wao huko ughaibuni.
Wa Zanzibar hao wanakiri kabisa kuwa ndani ya Miaka ya 50 ya Muungano wamefika hapa walipo kwa Fadhila za Tanganyika.
Haya yameelezwa na wabunge wa CCM kutoka Baraza la wawakilishi Zanzibar.
Waone Barubaru Pasco, Bobwe , dudus 50thebe n.k
Hapa hata wakiombwa wageuke watageuka tu..kudadadeki njaa ya akili mbaya sana.......
.....Udhaifu wa Akili Kichwani... (UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!
UKAWA n wanafik wakubwa wale,wamechukua POSHO leo saa Tano na nusu na wamechukua pesa mpaka tr 31/4..kama walikuwa na lengo la kutoka y wasingetoka jana na kwannn wasiache zile pesa warud kwetu tuwaamin kama wapo kwa ajil ya waTz???ukawa n wahuni wote niseme hvo na wanatarajia sympath yetu wananchi wanashindwa elewa kuwa chaguz ndogo zote zilizopita CCM imewaburuza mbaya wapinzani.maskin upinzan hauna dira
Sent from my iPhone using JamiiForums.����
Sidhani kama ni busara mnachokifanya,kweli mmetuangusha sana, binafsi nimekua very disappointed yaani mmegeuza hapo kua kama big brother......kama hamtaki kushiriki rudisheni hiyo pesa ni kodi zetu na kwa taarifa yenu mwaka 2015 CCM inashika dola tena na mtasubiri sana hakuna serikali 3, hizo taama zenu za madaraka achaneni nazo mkafanye shughuli zingine za maendeleo kwani lazima mshike dola ? RUDISHENI POSHO
Lipumba na uzee wote anaonesha uchanga wa mawazo ndiyo maana cuf inakufa kifo cha mende bora arudi tabora akalime tumbaku tu.
Nasikia wataonesha...
Hivi hawa watu wanaojita UKAWA wanafikilia kweli vichwani mwao,wananchi mpaka saizi hatujawaelewa bado ni kitu gani hasa kilicho wafanya msuse bunge kwa sababu Mh Lipumba hoja alizotoa mimi naona kama ni za kitoto eti anasema wamechoka kubaguliwa , kunyanyaswa na kutukanwa wanasahau kujiuliza mbona na wao walivyo kuwa wanawatukana wenzao walivumilia mfano mzuri ni MH TUNDULISU alikuwa anatoa maneno mabaya dhidi ya upande wa wapili mbona hatukuona wanasusa bunge hata wao yalikuwa yanawauma lakini walivumilia .UKAWA kaeni mjitafakari na mjichunguze wenyewe kwanza na mjisahihishe najua mtarudi mbungeni hizo ni mbwembwe tu,UKAWA jiulizeni mmetumia kiasi gani cha kodi ya wananchi kwa siku mlizo kaa eti leo mtoka bungeni kizembezembe wananchi hatujawaelewa mpaka saizi rudini bungeni mkashindane kwa hoja ndio maana jamii inawona kama mna lenu jambo .Nawasilisha
Wewe umebebeshwa gunia la mawe kichwani huwezi kuona mbali, ndio sababu ya tuhuma zako hizo!Leo kimetokea kituko baada ya wale wanafiki wenye lengo baya na Tanzania kutoka nje baada ya kuonyeshwa mkataba wa muungano.
Wanafiki hao walipigwa na butwaa baada ya kuona mkataba huo live bila chenga. Ndipo walipoona wamefilisika kwa hoja na kukimbia.
Nini kimetokea kwani huko bungeni?
Lipumba na uzee wote anaonesha uchanga wa mawazo ndiyo maana cuf inakufa kifo cha mende bora arudi tabora akalime tumbaku tu.
Mkuu tatizo lenu ukawa mnawaza madaraka mda wote baada ya kuona hoja ya serikali tatu haina mashiko sasa mnahangaika kama watu waliokwenye mafuriko.Nathubutu kujiuliza hili swali kwasababu nawaona wachangiaji wote waliobaki humu kwenye bunge la katiba wakisimama kuchangia hawazungumzii kitu cha maana au kujenga hoja za maana zinazohusu kufungu namba 6, badala yake wanaongea mipasho na kuwaponda UKAWA.
Kila mchangiaji haweki hoja madhubuti iliyo na mashiko kutetea serilaki mbili anazozitaka na kupambanua udhaifu wa serikali 3 wanazozitaka UKAWA.
The big deal kwao imekuwa kuongelea tundu lisu amemtukana nyerere, mara Haji Duni anaitwa babu wakati hana mjukuu, mara Mbatia hajui takwimu.
Sasa hizi posho wanazochukua wanazitendea haki gani??
Mimi naona hili bunge halitasaidia lolote zaidi ya upotevu wa pesa tu.
Swali; je ni kweli ukiwa m-CCM unajiwekea mipaka ya kufikiri na kupambanua hoja ambazo wananchi wanatarajia??