Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Mipasho kaka ndiyo zetu sisiem hatuna hoja inabidi tufanye hivyo

Kama uko ccm jaribu kuwa unawapa shule wana ccm ukianzia na yule kichwa cha nazi mpaka ukoo wote wa panya waelimike waache mawazo mgando, wajitahidi kutoa huduma za jamii kwa kiwango stahili. Kwa ninavyokufahamu mkuu utaweza kuwabadilisha ndani ya muda mfupi lakini endapo tu wewe ni mwana ccm pure.
 
Lipumba na uzee wote anaonesha uchanga wa mawazo ndiyo maana cuf inakufa kifo cha mende bora arudi tabora akalime tumbaku tu.
 
Wakuu JF Amani iwe nanyi.


Bunge Maalum la katiba linaendelea kutufumbua macho as days goes on.
Leo tumekuja kujua kuwa Ndugu zetu wa Zanzibar pamoja na jeuri yao yote kumbe hawajiwezi na wamekiri kabisa kuwa wao Zanzibar kama Zanzibar hawawezi kufanya kitu bila Tanganyika.
Wamekiri kuwa hawajiwezi kabisa katika masuala mbali mbali, Umeme, Elimu, Madawa, Shule etc etc wengine mtakuja hapa kujazilizia.
Wameenda mbali zaidi na kusema kuwa wao hata wakipewa kiti UN Hawataweza kumgharimia huyo balozi wao huko ughaibuni.
Wa Zanzibar hao wanakiri kabisa kuwa ndani ya Miaka ya 50 ya Muungano wamefika hapa walipo kwa Fadhila za Tanganyika.
Haya yameelezwa na wabunge wa CCM kutoka Baraza la wawakilishi Zanzibar.


Waone Barubaru Pasco, Bobwe , dudus 50thebe n.k

hao CCM Zanzibar ni wa vivu wa kufikiri na wameshindwa kupanga mikakati ya maendeleo kwa miaka 50 huku Zanzibar kwa hilo bila shaka wametuamsha Wanzanzibar kuwa CCM hawawezi kutuletea maendeleo Zanzibar kwa kutumia fursa ze2 za kiuchumi tulizo nazo kwa ushauri wangu wajitaarishe 2015 kuwa chama cha Upinzani kwa kuwa wamekiri wameshindwa kuleta maendeleo Zanzibar na hawa wezi kuihudumikia Zanzibar
kwa heri ukoloni , karibu Uhuru
Mungu Ibariki Afrika.
Mungu Ibariki Jamhuri ya watu wa Zanzibar.
 
Last edited by a moderator:
Najaribu kufikiria uhalali wa bunge hili ikiwa kama kuna baadhi ya wajumbe wameamua kujitoa...

Sijui kanuni zinaelezea vipi suala hili?
 
....

.....Udhaifu wa Akili Kichwani...
(UWAKI) ni Hatari kwa Afya ya Taifa letu !!!


attachment.php
Hapa hata wakiombwa wageuke watageuka tu..kudadadeki njaa ya akili mbaya sana...
 
UKAWA n wanafik wakubwa wale,wamechukua POSHO leo saa Tano na nusu na wamechukua pesa mpaka tr 31/4..kama walikuwa na lengo la kutoka y wasingetoka jana na kwannn wasiache zile pesa warud kwetu tuwaamin kama wapo kwa ajil ya waTz???ukawa n wahuni wote niseme hvo na wanatarajia sympath yetu wananchi wanashindwa elewa kuwa chaguz ndogo zote zilizopita CCM imewaburuza mbaya wapinzani.maskin upinzan hauna dira


Sent from my iPhone using JamiiForums.����

Waziache kwa faida ya nani? Ukiziacha zinapelekwa kujengea vituo vya mafuta.
 
Wenye akili wametoka tulikuwa kijiweni wengi tukiangalia baada ya wenye akili kutoka watu walisambaratika km vile mpira umekishwa.waliobaki wajue kabisa wengi wetu hatuwafatilii tena hata wakitukanana matusi ya nguoni ni sawa na mjinga ukamwacha akibweka tuuuu ukaenda na yako......
 
Nawapongeza sana, wawachie interahamwe na vibaraka wake wajitungie katiba yao!
 
Sidhani kama ni busara mnachokifanya,kweli mmetuangusha sana, binafsi nimekua very disappointed yaani mmegeuza hapo kua kama big brother......kama hamtaki kushiriki rudisheni hiyo pesa ni kodi zetu na kwa taarifa yenu mwaka 2015 CCM inashika dola tena na mtasubiri sana hakuna serikali 3, hizo taama zenu za madaraka achaneni nazo mkafanye shughuli zingine za maendeleo kwani lazima mshike dola ? RUDISHENI POSHO

Hivi CCM hawana tamaa ya madaraka?
 
Mimi ingawaje huwa napinga mengi ktk ccm kwa issue ya muungano nadhani bado tuendelee na S2. Kikubwa kinachonikera ktk ccm ni ugoigoi wa kupambana na ufisadi. Kwa sasa chama kinashindwa kijitenga na ufisadi. Sioni kama yupo kiongozi shupavu anayepambana na ufisadi. Na mafisadi wote wanajua kuwa wanapovaa nguo za kijani na njano wapo salama ktk ngome imara.
 
Sitta ----- sana na lisauti lake kama kabanwa na mlango
 
Hivi hawa watu wanaojita UKAWA wanafikilia kweli vichwani mwao,wananchi mpaka saizi hatujawaelewa bado ni kitu gani hasa kilicho wafanya msuse bunge kwa sababu Mh Lipumba hoja alizotoa mimi naona kama ni za kitoto eti anasema wamechoka kubaguliwa , kunyanyaswa na kutukanwa wanasahau kujiuliza mbona na wao walivyo kuwa wanawatukana wenzao walivumilia mfano mzuri ni MH TUNDULISU alikuwa anatoa maneno mabaya dhidi ya upande wa wapili mbona hatukuona wanasusa bunge hata wao yalikuwa yanawauma lakini walivumilia .UKAWA kaeni mjitafakari na mjichunguze wenyewe kwanza na mjisahihishe najua mtarudi mbungeni hizo ni mbwembwe tu,UKAWA jiulizeni mmetumia kiasi gani cha kodi ya wananchi kwa siku mlizo kaa eti leo mtoka bungeni kizembezembe wananchi hatujawaelewa mpaka saizi rudini bungeni mkashindane kwa hoja ndio maana jamii inawona kama mna lenu jambo .Nawasilisha

kabla ya kuandika tafakari kwanza, UKAWA tuliwatuma kwenda kujadili rasimu yenye maoni ya watanzania na si maoni ya ssm.:israel::israel:
 
Leo kimetokea kituko baada ya wale wanafiki wenye lengo baya na Tanzania kutoka nje baada ya kuonyeshwa mkataba wa muungano.

Wanafiki hao walipigwa na butwaa baada ya kuona mkataba huo live bila chenga. Ndipo walipoona wamefilisika kwa hoja na kukimbia.
Wewe umebebeshwa gunia la mawe kichwani huwezi kuona mbali, ndio sababu ya tuhuma zako hizo!
Unawaza kudanganywa ili ukadanganye. Ndio maisha yenu hayo!
 
Jamaa naoana Propaganda Zinaenzwa na ccm, heti Muungano hutavunjika, sultani ataurdi, Dahh Eti jeshi kupindua nchi, daahh Zama Hizi ni aibu sana mtu mzima kuwaza hivyo
 
Nini kimetokea kwani huko bungeni?

Yaliyotokea ni makubwa...ishara ya uimara wa KUNDI LA UMMA kuelekea ukombozi wa Taifa lao la Tanganyika na Zanzibar kuwa HURU.

UKAWA - 'Umoja wa Katiba ya Wananchi' - wamejitoa ktk Vikao vya Bunge la Katiba linalodhulumiwa na ma-ccm ambayo kutokana na ubaguzi wao kwa wananchi wasio wana-ccm and hasa wa-Pemba, Mh Prof Lipumbe ametoa hotuba kali sana, na liwafananisha Ma-CCM na kundi la INTERAHAMWE ambalo ni kundi harari mno lililosababisha na kuchochea ubaguzi Rwanda hadi kuleta mauaji ya kimbari wa zaidi ya wanyarwanda milioni 1...

Pamoja tutafanikiwa! Hata Kenya walinyanyaswa sana na Chama Tawala chini ya KANU ya MOI hadi Wapinzani wakaungana, na mwisho wa KANU ukatangazwa rasmi...KANU ipo wapi leoo?...ndio tunaelekea hukoo!

CCM = INTERAHAMWE tu.
 
Nathubutu kujiuliza hili swali kwasababu nawaona wachangiaji wote waliobaki humu kwenye bunge la katiba wakisimama kuchangia hawazungumzii kitu cha maana au kujenga hoja za maana zinazohusu kufungu namba 6, badala yake wanaongea mipasho na kuwaponda UKAWA.
Kila mchangiaji haweki hoja madhubuti iliyo na mashiko kutetea serilaki mbili anazozitaka na kupambanua udhaifu wa serikali 3 wanazozitaka UKAWA.
The big deal kwao imekuwa kuongelea tundu lisu amemtukana nyerere, mara Haji Duni anaitwa babu wakati hana mjukuu, mara Mbatia hajui takwimu.
Sasa hizi posho wanazochukua wanazitendea haki gani??
Mimi naona hili bunge halitasaidia lolote zaidi ya upotevu wa pesa tu.
Swali; je ni kweli ukiwa m-CCM unajiwekea mipaka ya kufikiri na kupambanua hoja ambazo wananchi wanatarajia??
Mkuu tatizo lenu ukawa mnawaza madaraka mda wote baada ya kuona hoja ya serikali tatu haina mashiko sasa mnahangaika kama watu waliokwenye mafuriko.

Kwa sasa watanzania siyo watu wakupotoshwa na wanasiasa wahuni kama hawa wenye maslahi binafsi na familia zao.

Tangu uwe uakawa umejifunza nini zaidi ya kujua matusi na kejeli?
 
Back
Top Bottom