beleza delgado
Senior Member
- Apr 8, 2014
- 109
- 17
HEKOOO JUSSA KWA KUTOJIBU MATUC ,IVI KWELI HAO CCM WA ZNZ HUMO BUNGENI HAWAJUI UMUIMU WA KUWA NA NCHI YAO YENYE MAMLAKA KAMILI?cpati jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Msaada: Ni akina nani kama alivyosema Lissu walisubiri Mwl. Nyerere afariki ndio wakarudi CCM?
Mpinzani wa mdee Kawe, Inasemekana ni Kiburudisho cha waheshimiwa.
Jussa ameshindwa kujibu mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt kwa umri wake duuu lazima afyate.
Jussa ameshindwa kujibu
mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt
kwa umri wake duuu lazima afyate.
Maziku: Kwenye rasimu zimeongelewa haki za wafanyakazi lakini haki za wakulima, wavuvi, wafugaji hazijagusiwa! Patachimbika
Maziku:Tanzania ina ng'ombe zaidi ya Mil 21! Ni aibu Migodi iliyo Tanzania inaendelea kutumia nyama za kutoka nje ya nchi
siamini hiki ninachosoma hapa!!!
Kwa hiyo ina maana yeye Mpanju alimgusa Mungu machoni ndiyo maana akampiga UPOFU wa macho?! Eti Serikali 3 ni kaburi la Muungano! Huyu Mpanju amekuwa mpiga ramli siku hizi? Nafikiri Mungu hakumpiga UPOFU wa mcho tu, bali pia alimpiga UPOFU WA AKILI!
Mimi wakija magamba nazima katv kangu wakija wenye akili timamu nawasha
Msaada: Ni akina nani kama alivyosema Lissu walisubiri Mwl. Nyerere afariki ndio wakarudi ccm?
Mada inahang utafikiri embe linalotaka kudondokaUkistajabu ya musa utayaona ya firauni, kwa mara ya kwanza nimeshudia wabunge wa chama tawala wakiwemo na mawaziri wakiwa wanashangilia ubaguzi wa rangi, nimeshudia kwa macho yangu mawaziri na wabunge wakishangilia mambo haramu kama haya, nimeuzunisha sana lkn tukiendelea kushabikia mambo kama haya mbele naona giza ukizoea kula nyama ya mtu uutaacha kula tena utaendelea kula kila wakati mwl