Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

HEKOOO JUSSA KWA KUTOJIBU MATUC ,IVI KWELI HAO CCM WA ZNZ HUMO BUNGENI HAWAJUI UMUIMU WA KUWA NA NCHI YAO YENYE MAMLAKA KAMILI?cpati jibu
 
Jussa ameshindwa kujibu mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt kwa umri wake duuu lazima afyate.

Yule mama sinataka jamaa apige pige apo
Jusaa alikataaa ndio maana ikawa hivyo
 
Jussa ameshindwa kujibu
mapigo yule mama asha alimmaliza kumwambia hajaufyatua hana mke wa watt
kwa umri wake duuu lazima afyate.

Aibu yako wewe unaekaa hapa jamvini ukitega msikio wako kusikiliza mipasho badala ya Hoja! Sikushangai maana hakuna mwanaccm anaye shirikisha ubongo kufikiri wote wamekalia Majungu,Mipasho na Kila aina fitna chuki na unafki. Mlaaniwe nyote familia ya Lb7.

BACK TANGANYIKA
 
Hii ni taatifa fupi ya Nd Wasira baada ya taarifa ya uwepo wa hati ya Muungano.
Asema Tundu Lisu wanajenga hoja kufelisha hati kwa kukataa sahihi ya Karume. Kasema watanzania ni lazima wajue mawakala wa shetani na wawakatae. Hivyo kwa maana hiyo bunge la katiba lina mawakala wa aina mbili na sijui siku ya siku mawakala Mungu na wa shetani kama wataelewana na kutoka na hoja moja...
Nawakilisha
 
Maziku: Kwenye rasimu zimeongelewa haki za wafanyakazi lakini haki za wakulima, wavuvi, wafugaji hazijagusiwa! Patachimbika

Hivi hiyo Maziku anafahamu ni sura ngani zinazojadiliwa? Kwanini asisubiri hizo sura zinazohusu haki za wakulima na wafugaji ndiyo aongee? Kwanini M/kiti anaruhusu wajumbe kuropoka vitu ambavyo viko nje ya maada? SUA 1 na 6 zinaongelea muundo wa muungano, wajumbe wote wanatakiwa michango yao kulenga hapo, hata kama wana AKILI ZAO NI ZA KIKULIMA (no offense intended).
 
Maziku:Tanzania ina ng'ombe zaidi ya Mil 21! Ni aibu Migodi iliyo Tanzania inaendelea kutumia nyama za kutoka nje ya nchi

Mmmh......hao wakianza kutumika baada ya mwaka mmoja si wataisha kabisa? Nyama za kutoka nje bado zinahitajika.
 
Sikutegemea kuwa pamoja na usomi wake mpaka kuteuliwa kuwa mjumbe hajui kuwa kuna mambo ya muungano na ambayo sio ya muungano. ardhi sio la muungano.sasa anaposema ardhi na matumizi yake yaingizwe kwenye rasimu ya muungano je ameshajua kama znz watayakubali? au wavuvi wa znz wamemwambia wanataka serikali moja?sikutegemea kwa kweli, baada ya muundo wa serikali kujulikana hayo ndio yanatakiwa kufuata. yeye kama mkulima kuna sehemu zake za kuchangia maana wakulima maisha yao sio shambani tu.
 
Ukistajabu ya musa utayaona ya firauni, kwa mara ya kwanza nimeshudia wabunge wa chama tawala wakiwemo na mawaziri wakiwa wanashangilia ubaguzi wa rangi, nimeshudia kwa macho yangu mawaziri na wabunge wakishangilia mambo haramu kama haya, nimeuzunisha sana lkn tukiendelea kushabikia mambo kama haya mbele naona giza ukizoea kula nyama ya mtu uutaacha kula tena utaendelea kula kila wakati mwl
 
Msamehe ni kada mwaminifu wa chama cha CCM na uelewa wake ni mdogo kuchanganya na yake...... pamoja na jamaa mmoja anajiita mwenyekiti wa baraza la vywama vywa siasa DOVUTWA simuelewagi kabisa huyu jamaaa....
 
Kauli hiyo imetolewa na Mheshimiwa Wassira kabla ya Bunge kuahirishwa alipopewa nafasi na ya kutoa ufafanuzi huu ya hati ya Muungano, aliyoahidi kuwa itafika baada ya siku mbili. Na sasa hati hiyo iko bungeni.

Tunao wajibu wa kuwaheshimu waasisi wetu.
 
Kwa hiyo ina maana yeye Mpanju alimgusa Mungu machoni ndiyo maana akampiga UPOFU wa macho?! Eti Serikali 3 ni kaburi la Muungano! Huyu Mpanju amekuwa mpiga ramli siku hizi? Nafikiri Mungu hakumpiga UPOFU wa mcho tu, bali pia alimpiga UPOFU WA AKILI!

naunga mkono hoja 100%
 
Mimi wakija magamba nazima katv kangu wakija wenye akili timamu nawasha

Hahaha mkuu kama mimi nina mwambia wife angalia saaa kweli akibadili ninakuta kengele ya pili
Yani hawa wauwa tembo wanakera kweli wote wanarudia maneno yakishenzi
 
Nilichojiuliza yeye pale nikama mjumbe au waziri... sijaelewa na mantiki ya kuongea yeye nini baada ya mwenyekit wa bunge ndio angepaswa kutoa taarifa basi.
 
Unaweza kumfuata mtu uliyedhani anakuongoza vyema, ghafla ukaona anakueleza shimoni utasubiri akutumbukize? Thubutu! Mimi sitaweza kujiangalia natumbukizwa. Ambaye haoni kwamba mtukana waasisi anakosea hata huyo hafai.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Ukistajabu ya musa utayaona ya firauni, kwa mara ya kwanza nimeshudia wabunge wa chama tawala wakiwemo na mawaziri wakiwa wanashangilia ubaguzi wa rangi, nimeshudia kwa macho yangu mawaziri na wabunge wakishangilia mambo haramu kama haya, nimeuzunisha sana lkn tukiendelea kushabikia mambo kama haya mbele naona giza ukizoea kula nyama ya mtu uutaacha kula tena utaendelea kula kila wakati mwl
Mada inahang utafikiri embe linalotaka kudondoka
Ulichokiona wewe SI WOTE TUMEKIONA.
Hakuna mfano wala tukio ulilolinukuu.
Kwa uhalisia tu pengine unaongelea yaliyojiri Bungeni leo, lakini habari hii si dhahiri!!!
 
Back
Top Bottom