Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Nakubaliana na wewe Mkuu.Huyo jamaa (Ali Omar) namjua ni bomu na hana ulemavu wa hivyo - alipata ajali mguu ukatenguka kidogo kajiingiza katika hilo kundi apate huo ubwabwa wa CCM.
Alaaa kumbe