Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Wabunge wa upinzani wameamua kutoka nje baada ya kuona mijadala ya bunge inajadiliwa kinyume na matakwa ya wananchi.
 
I've never seen profesa wangu katika mood kama ya leo, kamwe.

,,,,,hatuwezi kuwa sehemu ya INTARAHAMWE!
 
Kama haitoshi kulikuwa na upumbavu tu na hakuna kutunga Katiba ,maana hilo bunge lilikwisha poteza muelekeo na hela ya wananchi ikichezewa nafikiri baada ya kuwasilisha hati ya Muungano ambayo pia ni feki.
 
Chadema ,cuf na Nccr mageuzi wamekimbia uwanja ngoma nzito kwelikweli imewashinda.
 
Watanzania tunajifunza nini? Kwa yale yaliyo tokea bungeni kwa wabunge wanao unda umoja wa UKAWA kutoka bungeni?
 
Hivi Nyie watu kwanini akiri zenu mmehamishia visiginoni mbona mmekosa hoja kiasi hiki.
Hivi unaweza kutuwekea hapa hizo unazoziita point za kutetea serikali mbili. Na utaelewaje wakati akiri zako umekabidhi Lumumba.
Jitambue ndugu utakalili mpaka lini na utawarithisha nini wanao.

BACK TANGANYIKA
Wabunge wengi wa CCM wamechangia kwa hoja.
 
Shida nini hadi imekuwa hivyo...!?

Tatizo kubwa lililobainishwa na Prof. Lipumba ni kwamba, Ubaguzi/matusi/ukabila vimezidi kutawala ndani ya bunge bila kukemewa na viongozi na hivyo wakiendelea kuwepo ni kwamba itakuwa wanabariki jambo hilo.
 
Wametoka baada ya lipumba kutoa hotuba kali

Fafanua vizuri, hiyo hotuba kali aliongelea nini? Je ni Wapinzani tu walitoka nje? Wale wa kundi la 210 hakuna aliyetoka nje?
 
Kwa sababu inaundwa katiba ya ccm ni bora tu wapinzani watoke.
 
attachment.php
attachment.php

Baadhi ya wabunge wakitoka nje ya Bunge
 

Attachments

  • bunge1.jpg
    bunge1.jpg
    42.3 KB · Views: 492
  • bunge2.jpg
    bunge2.jpg
    40.7 KB · Views: 481
Wahuni wamechiwa uhuni lao.shame upon them, hiyo ndio nafasi ya msomi, hongera profesa lipumba hongera umoja wa wanakatiba tz. Mungu awatangulie daima lazima katiba ya wananchi ipatikane lakini sio ndani ya ccm.
 
Hati ya Muungano HAIKUFICHWA hiyo HATI HAIKUWEPO kabisa kwani muda wote ule kulikuwa kunafanyika matengenezo ya hati hiyo na baada ya kujiridhisha kuwa yule kinara wa kuforge saini ameweza kwa kiasi furani ndipo walipojitokeza na kuudanganya UMMA kuwa ile ndio HATI HALISI YA MUUNGANO.
 
Back
Top Bottom