mjepo
JF-Expert Member
- Aug 8, 2013
- 4,913
- 919
We ukawa hujasusa wenzako wametoka vipi wewe bado upo?Jambo usilolijua ni sawa na usiku wa giza.
Pengo ndo anawakilisha wakristo wote Tz? Nani kakudanganya?au unafikiri wakristo ni romani Catholic tu?
N if so y lukuvi apite makanisani kuhamasisha wakristo wakubali serikali mbili?
Halafu. Mnajifanya hamtaki ubaguzi huku nyuma.mnapita Makanisani