Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Na pia wachaga na waislamu pia wamebaguliwa na lukuvi
ni wakati muhimu sana kwa nchi yetu kuangalia kuwa hakuna fujo zitakazotokea. mambo mabaya huanza hivihivi kidogokidogo. Mungu atuapushe watz na matatizo ya ajabu ya fujo.
 
Intarahamwe na kiongozi wao waendelee na bunge lao la katiba..
Kwa maumivu mwana unadhani kutunga katiba ni kutukana peke yake?,lazima uwe na hoja na hao jamaa zako hawana hoja matusi yameisha watafanya nini bungeni bora wametoboa wangetia aibu tu.
 
Namimi nimeungana na lipumba!! Nimezima tv yng, naendelea na hamsini zangu
 
Wameishiwa hoja watasema nini tena wakati matusi wametukana yameisha,kejeli wamefanya zimeisha,sasa watasema nini tena wameona bora watambae.

Una akili fupi kama kinyesi chako.
 
Maccm yamebaki yameshika tama tuu. Makamu mwenyekiti kavurugwa na hali iliyotokea. Wamebaki wanajijambia tuu humo ndani. Yakome kulazimisha mambo na kufifisha mawazo ya wananchi.
 
Bunge limepoaaaaa.....ha ha ha vichwa ni.vichwa tu ukiondoa kichwa hakuna uhai tena.
 
Kilichosalia kazi ni jina jipya la ccm - intarahamwe, mithili ya kikosi cha ubaguzi na mauaji ya kikabila cha Rwanda

Asante kwa ufafanuzi mkuu.

Naona intarahamwe wanaendelea na mjadala wa kutunga katiba ya kintarahamwe.
 
Kama umemsikiliza vyema, ni CCM ndio imebomoa bunge. Kama imefikia hatua hadi waziri mkuu anawakilishwa kanisani kuanzisha mijadala ya kidini na kivita, hauoni kwamba Lipumba ameliokoa taifa na kumpa Rais fursa ya kurekebisha kasoro - kumfuta kazi Lukuvi na kuvunja BLK rasmi tuanze upya?



Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums


To be honest, ccm wameelemewa!!
 
CUF ni waarabu koko mawakala wa Sultan. wache waende zao,wameshtukiwa dili yao ya kuuza nchi.
 
Back
Top Bottom