Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Nilishajua UKAWA chini ya mbowe haitafika popote. Ona wanavyoumbuka sasa.
 
===>Kwa atakaekuwa na Audio ya Lukuvi aliyozungumza kanisani aiweke hapa,
===>Namuonea huruma sana huyu Mzee Lukuvi,alikuwa anajifanya yeye ni mnazi sana wa Magamba,sasa subiri uone jinsi atakavyotolewa kafara na wenzake,laana za watanzania wengi zimemuangukia,naaamini atasahaulika kisiasa muda si mrefu.
Mkuu hebu nisaidie UKAWA nje ya bunge imeishia wapi ambayo katibu wa ukawa huo ni dr slaa,hii ni wazi kuwa hata hawa wataishia sakafuni tu.
 
Nashangaa nimefungulia Tv jioni hii nikakutana na ngonjera tu za waimba tarabu.
Vipi kuna nini kimetokea bunge kugeuka ukumbi wa taarabu?
.
Mkuu hiyo bendi inaitwa Intarahamwe CCM Jazz Band kiongozi wa bendi ni Mwigulu
 
vichwa vya ukawa na wote wanaounga mkono rasimu ya serilkali 3 wameondoka.. kwa hiyo bunge zima limegeuka kuwazungumzia ukawa badala ya kujadili ibara ya 1 na ya 6.. Bunge limegeuka kabisa sasa ni mipasho.. wenzetu wenzetu.. wametoka... wenzetu hv yaani ni aibu kabisa kabisa...

Sisi sisiem hatuna hoja vichwa vyetu vya panzi ndiyo maana unaona tunaongea mipasho tu, hawa wamama tumewaweka humu mjengoni kwa sababu watusaidie mipasho
 
.......kamwe "shetani" hata shinda Duniani !!!!

Lucifer_the_Devourer_face_by_skullbeast.jpg
Huyu ni mbowe,lissu na lipumba ni one
 
kwa staili aliyoanza nayo sitta, hakuna shaka kwamba lazima angeshindwa tuu, mwanzo tulimshauri aliongoze bunge kujikita ktk mjadala ambao ni rasimu ya katiba, sitta aliruhusu wabunge kuvunja sheria no 83 ya mabadiriko ya katiba iliyokua imeanzisha tume ya mabadiriko ya katiba na majukumu yake, vile vile sheria hiyo ilianzisha bunge maalum la katiba na majukumu yake, kitendo cha kuikataa rasimu sitta hakujua kwamba msingi wa uenyekiti wake ni rasimu ya tume, anapenda kuendelea kuwa mwenyekiti wakati msingi uliomweka anauvunja, tuna kila sababu ya kutomwamini sitta kamwe, kwa lengo la urais angefanikiwa angesimama ktk misingi ya tume kuongoza bunge, hongereni ukawa kwa kuonyesha wazi kwamba hakuna katiba,,,,,,,,,
sawa kabisa kikwete ndio alianza kuharibu ktk hotuba ya uzinduzi, historia itamhukumu kuwadharau wazee wa tume kwa kuwatupia vilago kwa hasira za mapendekezo ya ccm.
 
swali la kujiuliza.. kama sisiemu walijua kabisa hawataki majibu tofauti na yao toka kwa tume ya warioba, ilikuwaje wakaruhusu wakina warioba watumie pesa (Zaidi ya bilioni 180) na muda wetu bure??? Kwa kweli sielewi kabisa ilikuwaje unafanya jambo unalojua kabisa hulitaki.

Hivi serikali mbili zikiungana zinakuwa mbili??? Tanganyika imekufa, zanzibar inaishi inasikitisha sana,....
 
Nilishajua UKAWA chini ya mbowe haitafika popote. Ona wanavyoumbuka sasa.
Mkuu hati ya muungano imewachanganya sana hawa ukawa,hawana hoja nyingine tena imebidi watoboe mapema kabisa.
 
bunge limekuwa taaraabu kabisa kabisa.. Lafudhi ni za kitaarabu kabisa.. Wanakataa rasimu sasa ilikuwaje wakawapa kazi wakina warioba??

Kuna mdada anasema eti wapinzani na warioba walaaaniwe duuuhhhh. Hatari sana.. Bunge limeharibika kabisaaaaa
 
Nashangaa nimefungulia Tv jioni hii nikakutana na ngonjera tu za waimba tarabu.
Vipi kuna nini kimetokea bunge kugeuka ukumbi wa taarabu?
.

Maccm wapo wanafanya yao kama kawaida yao..
 
Mkuu Skype ndo nini kuketi kimya ama wajifanza hujaelewa ombi langu la Audio na pia tuongeze na ya Lukuvi
 
Last edited by a moderator:
Kwa hakika sioni msingi wowote kwa mtu anayejitambua kuwa Upande CCM zaidi ya kusaka tonge,, au la ni mjinga na kwa sababu ameshindwa kuukataa ujinga hawezi kuikataa CCM,
anataka serikali tatu na anaetaka serikali mbili nani anatafuta tonge? Shabikia ujenzi wa viwanda ndugu na sio mi idadi ya serikali isiyokuwa na tija kwa watanzania
 
Hii style yao ya kususa haito wasaidia bora wangetumia njia nyingine kuliko hii kila leo.
Hivi posho watachukua?
Kesho watarudi?

Mimi nawaomba warudi makwao
 
bunge limekuwa taaraabu kabisa kabisa.. Lafudhi ni za kitaarabu kabisa.. Wanakataa rasimu sasa ilikuwaje wakawapa kazi wakina warioba??

Kuna mdada anasema eti wapinzani na warioba walaaaniwe duuuhhhh. Hatari sana.. Bunge limeharibika kabisaaaaa

Yaani humo ndo watakata hadi mauno mamamaee ccm..
 
Back
Top Bottom