Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Yanayojiri Bungeni Dodoma: Jumatano, Trh 16 Aprili 2014 - Majadiliano ya bunge zima sura ya 1 & 6

Tanzania kuna mambo,kila mjuimbe kutoka kundi la walio wengi,kazi yao ni kuiponda tume, yaimewatokea puani walivyo achiwa watengeze katiba ya ccm,wanaojitahidi kuibeba ccm wanazidi kupoteza mvuto mbele ya jamii, baada ndg membe kuzomewa Leo bungeni,
 
Taifa hili linahitaji kuombewa. Matusi, ubaguzi, kejeli, uzushi na jeuri ya makada ya wajumbe walio wengi (hasa kutoka CCM) imesababisha UKAWA kutoka nje ya kikao cha bunge maalumu leo hii wakati wa kipindi cha jioni. Wajumbe walio wengi wanaongea as if katiba itakayopendekezwa tayari yanayo mikononi. Hii sio sahihi hata kidogo. Watu walitakiwa kujadili kwa hoja na kuheshima, mwisho wa siku kama ni serikali tatu au mbili wangekubaliana kwa njia ya kidemokrasia kwa kupiga kura kama sheria na kanuni zinavyoagiza. It is very unfortunate kwa kweli mchakato ya katiba mpya umeingia doa kabisa. Ushauri wangu kwa Mhe. Raisi Jakaya Kikwete ni kuwasihi UKAWA warejea kwenye mchakato kama kawaida lakini vilevile lazima awaonye wajumbe walio wengi kujikita zaidi kwenye hoja kuliko mipasho, matuzi, kashifa na ubaguzi wanaoendelea kujitokeza pale ndani ya bunge maalumu. In short hili bunge imekuwa ni aibu ya mwaka na wala halisitahili kuitwa bunge la kutunga katiba ya watanzania.

Atawakanya vipi waache matusi na maneno ya kanga ilhali yeye ndo aliyaanzisha?
 
Huyu katiba Mpya anatabia nasifa za kama Hamy-D

Ngonja niendelee kuchunguzai
 
Taifa hili linahitaji kuombewa. Matusi, ubaguzi, kejeli, uzushi na jeuri ya makada ya wajumbe walio wengi (hasa kutoka CCM) imesababisha UKAWA kutoka nje ya kikao cha bunge maalumu leo hii wakati wa kipindi cha jioni. Wajumbe walio wengi wanaongea as if katiba itakayopendekezwa tayari yanayo mikononi. Hii sio sahihi hata kidogo. Watu walitakiwa kujadili kwa hoja na kuheshima, mwisho wa siku kama ni serikali tatu au mbili wangekubaliana kwa njia ya kidemokrasia kwa kupiga kura kama sheria na kanuni zinavyoagiza. It is very unfortunate kwa kweli mchakato ya katiba mpya umeingia doa kabisa. Ushauri wangu kwa Mhe. Raisi Jakaya Kikwete ni kuwasihi UKAWA warejea kwenye mchakato kama kawaida lakini vilevile lazima awaonye wajumbe walio wengi kujikita zaidi kwenye hoja kuliko mipasho, matuzi, kashifa na ubaguzi wanaoendelea kujitokeza pale ndani ya bunge maalumu. In short hili bunge imekuwa ni aibu ya mwaka na wala halisitahili kuitwa bunge la kutunga katiba ya watanzania.

mkuu umenena,sasa wamebakia wenyewe ona tofauti....wanaongea kwa kurudia hoja hawana jipya
 
Naukumbuka bado waraka wa kakobe aliomwandikia jk.
Naona dalili la kutofanikiwa suala la katiba kwan wameanza kuongea lugha tofaut
 
Proffesor Lipumba na wajumbe wote wa UKAWA nawapongeza sana kwa kitendo cha kizalendo cha kususia bunge leo. Sisi tuko pamoja nanyi. Wito wangu mratibu maandamano na migomo nchi nzima kwa muda usio julikana. Hii ndiyo njia pelee iliyobaki ya kumkomboa mtanzania. Sanduku la kura haliwezi, wenyewe mmejionea kalenga na chalinze.

Watz wako tayari kwa mapinduzi ya nguvu kuiondoa ccm wanahitaji organization tu. Please msipoteze muda. Huu ndio wakati wa mapinduzi, mchuzi wa punda unatakiwa unywewe ukingali wa moto.

MUNGU IBARIKI TANGANYIKA

Watanzania hawahawa wagome? Kweli unaamini watanzania hawa watafanya mapinduzi kwa njia hiyo unayoitaka? Nina hamu ya kuona maajabu haya.
 
ni wapuuzi na wezi wa posho zetu,kama nyerere angewakimbia wakoloni tungepata uhuru?
so kwa nini wao wakimbie na wakijua ccm hawajui kujenga hoja?
Ni hakika UKAWA wamejiaibisha na kupoteza imani kwa wananchi....na wasijidanganye wananchi watawaelewa ------- mwanasiasa si ndugu yako hata siku moja!
R.I.P UKAWA

a twit from Lumumba! Basi acheni CCM wabaki wawatungie katiba bora. UKAWA wameishatoka bungeni, mnawasakama wa nini? Sasa nadhani hata waandishi wa habari wataruhusiwa kuingia kwenye kamati maana waliokuwa wanaogopwa wamejitoa bungeni.
 


Ndani ya video tumsikilize Lissu, Wassira, Membe na Waziri wa Wanzibar, Kilichonivutia ni wimbo wa LUKUVI MUUAJI ulioimbwa na UKAWA
 
Last edited by a moderator:
hawa watu woote wana akili ya aina moja ama wengine wanalazimishwa na kufuata upepo?

mi naamini hoja ndio inaweza kumtoa ama kmbakiza mtu ndani, sasa hawa wametolewa na hoja ama wanatumia konyagi?
 
Hivi kweli mlitegemea chochote kwenye katiba hii wakati tangu mwanzo kama mtakumbuka vizuri kujadili suala la muungano lilikatazwa kabisa, baadae wakasema ujadiliwe muundo lakini sio kuhoji kuwapo au kutokuwapo muungano?

Ukija kuongezea na hotuba ya JK wakati wa ufunguzi wa hili bunge la katiba, unategemea nini kingefuatia?
 

wapuuz hao!
wanatufanya wananchi ni wajinga sana?
wanakimbia nini na wanakwenda wapi?
watakuwa wageni wa nani?
Je Nyerere na wenzake wangekimbia wakoloni tungepata uhuru sisi?
hawana maana hao UKAWA kama kundi la wAHUNI TU.
R.I.P UKAWA
 
Last edited by a moderator:
hawa watu woote wana akili ya aina moja ama wengine wanalazimishwa na kufuata upepo?

mi naamini hoja ndio inaweza kumtoa ama kmbakiza mtu ndani, sasa hawa wametolewa na hoja ama wanatumia konyagi?
Umefuatilia na kusikiliza wanachokidai au unaandika kwa kufuata upepo bila kufuatilia na kusikiliza kinachodaiwa.
 
Mwisho itabaki katiba iliyopo na maisha yataendelea hizo kodi zilizoliwa tuandike maumivu tu.
 
Hao ni wendawazimu...... hoja hawana wamekalia kususa tu.....ptuuuuuuuuu wameishiwa hoja
 
Hawana jipya hao alafu mpango wa kuondoka bungeni inaoneka walikuwa wameisha usuka kitambo!
 
wapuuz hao!
wanatufanya wananchi ni wajinga sana?
wanakimbia nini na wanakwenda wapi?
watakuwa wageni wa nani?
Je Nyerere na wenzake wangekimbia wakoloni tungepata uhuru sisi?
hawana maana hao UKAWA kama kundi la wAHUNI TU.
R.I.P UKAWA

povu la nn?c mmeachwa mtunge katiba ya ccm?
 
Back
Top Bottom