Fujo ipi mkuu mbona katoa mchango mzuri sana au wivu tu mkuu.Huyu ummi mwalimu anafujo utafikili ameambiwa asipo pambana itakula kwake
kumbe na hili fisadi wiliam ngeleja limo humu bungeni??? aaaaaaghr basi ngoja niliache lichangie[/QUOTE
Pole umeumbuka
Mkuu, vipi tena? Naona unaacha mjadala unaanza kumshambulia mtu. Utamaduni ule tuliokubaliana ni bema tukaudumisha. Tukirudi kule kwenye jukwaa letu la Siasa ndo tutajiachia. Hapa tuweke mbele maslahi ya Taifa na ndo maana JF wakatenda haki ya kuweka jukwaa linalojitegemeakumbe na hili fisadi wiliam ngeleja limo humu bungeni??? aaaaaaghr basi ngoja niliache lichangie
[/QUOTE
Pole umeumbuka
Sasa ni zamu ya Julius Mtatiro
Mkuu, vipi tena? Naona unaacha mjadala unaanza kumshambulia mtu. Utamaduni ule tuliokubaliana ni bema tukaudumisha. Tukirudi kule kwenye jukwaa letu la Siasa ndo tutajiachia. Hapa tuweke mbele maslahi ya Taifa na ndo maana JF wakatenda haki ya kuweka jukwaa linalojitegemea
Mkuu, vipi tena? Naona unaacha mjadala unaanza kumshambulia mtu. Utamaduni ule tuliokubaliana ni bema tukaudumisha. Tukirudi kule kwenye jukwaa letu la Siasa ndo tutajiachia. Hapa tuweke mbele maslahi ya Taifa na ndo maana JF wakatenda haki ya kuweka jukwaa linalojitegemea
pah pah pah pah pah makofi toka kwa wadau wote wa katiba mpya!
Asante mkuu kwa kunikumbusha, ni ubinadam tu ulinipitia kutokana na mambo yaliyolitafuna taifa letu, basi tuendelee, sasa namwonakijana wa shati la draft anaongea sijui jina lake
Bunge lipo tulivu sana leo, naona halinya hewa bungeni sio mbaya sana!