Nimekupata ni km kuwa overall incharge! sio ndio?
Swadakta mkuu, umenipata vizuri, asante sasa tuendele kusikiliza michango ya wajumbe ukumbini, hivi huyu mama ambaye kawa wa kwanza kuchangia kanuni ya 36 anaitwa nani? nilipitiwa kidogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimekupata ni km kuwa overall incharge! sio ndio?
Swadakta mkuu, umenipata vizuri, asante sasa tuendele kusikiliza michango ya wajumbe ukumbini, hivi huyu mama ambaye kawa wa kwanza kuchangia kanuni ya 36 anaitwa nani? nilipitiwa kidogo
Pauline gekul ndio yupo hewani ama? nijuzeni wadau! cc Skype
Sendeka kampa bonge ka promo tundu........duuuuuu
Hawa akina
Sendeka, ummy na kundilao wamegeuza hili bunge maalÙm kuwa cc ya ccm.
Uchangiaji wao unafanya mambo yawe yakiccm.. m
Hawa akina
Sendeka, ummy na kundilao wamegeuza hili bunge maalÙm kuwa cc ya ccm.
Uchangiaji wao unafanya mambo yawe yakiccm.. m
Uko sahihi ila nadhani ni sahihi zaidi kama angekua Waziri Mkuu ili Taifa liongeze kasi ya ukuaji wa kiuchumi ukizingatia Waziri Mkuu ndiye msimamizi na mtendaji mkuu wa shughuli za serikali. Umepata picha ya ninachikimaanisha mkuu?
Tatizo liko hapo. Misimamo ya vyama haisaidii wakati mwingine. Kwa mfano kama ikitokea wale wakang'ang'ania kupiga kura ya wazi na wale wanaotaka wasitaka kura wa wazi wakaamua kususia kupiga kura itakuwaje? Si hii iakuwa ni hasara kwa nchi?Hawa akina
Sendeka, ummy na kundilao wamegeuza hili bunge maalÙm kuwa cc ya ccm.
Uchangiaji wao unafanya mambo yawe yakiccm.. m