Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Yanayojiri Instagram baada ya kutoka iyena [emoji39]

Wamechoka kufanya unafki mwezi mmoja, hahaaa,,mana wafungaji wengi wanakuaga wastaarab mwezi mmoja tu
Yaani wale Mungu amewaondoa haya usoni mwao!

Hakuna funga wale!bora washinde njaa tu kama miye hapa!
 
Habari njema hatimaye...ila kuwa macho usije kuwa kama bimkubwa (kipofu) Japo kwako sina Shaka maana umepitia na kufudhu huko kwa viwango
Me ni mwelewa mnooooo kila kitu kitakua sawa
 
Hakuna wife material hata mmoja hapo.

Ningekuwa mimi ndio domondi ningepiga chini wote na kwenda kuoa msichana ambaye kila mtu asingeamini.

Halafu it's time now domondi akuwe na abadiliki. Haingii akilini hata kidogo mtoto wa kiume ukawaruhusu mama na dada zako wakaingilia mambo yako ya chumbani, unless your mama's boy .
Kwani diamond si ni mama's boy? Au mpaka aanze kuvaa sketi
 
hii ni business.
. wanacheza na akili za watanzania tu..

na wanajua tunapenda umbea sana... ndio wanautengeneza umbea...

zari ni business lady, hamisa nae amefundishwa vya kufanya.. na analipwa pia, wema nae analipwa pia,

esma nae anaambiwa cha kufanya.. na mama dangote pia anaambiwa cha kufanya..

mnajua kwa nini kina kardashians ni matajiri...

wasafi wanaelekea huko kwa tv reality show
Yaap na huo ndio ukweli wenyewe....! Maana kama ingekua ni kweli wasingeweza kujianika namna hiyo, unless kama hamnazo
 
Tatizo la wanawake tunapenda kuonekanaaa ......huo ndo mwanzo wa kula mashauzi yako

Utofauti wako na hamisa ni kuwa bwana ako ameoa ila diamond ni msela ana ruhusa ya kut..mba amtakaye.
So sijaliona bado kosa la hamisa ila niliona kwako wewe mla vya watu......
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] hii michambo naona kama ndio mashairi ya IYENA au macho yangu [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]

Bongo fleva shikamooo
 
Hii familia huwa siwaelewi,wabembe walio wahi mjini huwa wana behave Kama wazaramo tu..kutwa wanapenda kweli kusutana.
 
Ngoja tupunguze stress za vyuma kidogo maana hali tete kila siku wikiendi hii mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]

Jana ilianza hivi mambo ya Iyena hayoo...

Leo diamond kaamua kujibu

Haitoshi hamisa Leo bubu kaamua kaamua kusema

Daah!hongera diamond and your family mnajua kucheza na akili zetu watanzania

Na hizi stress za Magu na hali ngumu acha umbea ututawale ili tujifariji kimaisha!View attachment 792040View attachment 792041View attachment 792042View attachment 792043View attachment 792044View attachment 792045View attachment 792046View attachment 792047View attachment 792048
 
Amen,usijisikie vibaya Ila ni changamoto tu nimekupa.Alikuwepo bingwa wa taarifa kama hizi humu alijiita warumi,alipotea.Nakupenda pia wala sikuchukii.Barikiwa nawe.
Umewahi soma article ya mgawanyo wa Aina 3 za watu na akili zao?
Usijifanye una Akili kuliko hao mods Unajua maana ya celebrities forum au unataka Kila saa watu wajadili siasa zenu za maji taka?? Unaidharau fb wakati hiyo platform ya jf wana account hukoo.........
 
Back
Top Bottom