Salaleh yaani umeniweka kwenye kundi la watu wa hovyo. Ngoja nilale kwanza huku nikitafakari kauli yako ya madharau.
Any way all the best, kwasasa.
Dunia itaongozwaje na Mwanamke kwanza,itakua Mwisho wetuKwa mwendo huu Trump anamla mtu kichwa mapema asubuhi.
View attachment 3144762
Akapumzike nyumbani Kamala Harris, Dunia haitaki vita!
Alikuwa wapi kusimamisha vita vinavyorindima duniani kote?
Akwendree Kamala Harris.
Yoav kamaliza kazi acha apumzike mwingine achukue kijitiiMmeshatoka mashimoni kuchungulia kama Yoav Gallant karejeshwa?
Udini kivipi ndugu mchambuzi?Udini tuu mpuuzi wewe, results ni as expected, huwezi kutegemea Kamara ashinde West Virginia au Trump ashinde New York, matokeo bado mpaka uanze kuona Pa, Michigan or Wisconsin..tulia
Tusubiri mpaka mwishoKwa mwendo huu Trump anamla mtu kichwa mapema asubuhi.
View attachment 3144767
Akapumzike nyumbani Kamala Harris, Dunia haitaki vita!
Alikuwa wapi kusimamisha vita vinavyorindima duniani kote?
Akwendree Kamala Harris.
Yoav kamaliza kazi acha apumzike mwingine achukue kijitii
Tusubiri mpaka mwisho
Trump kisha shinda, niliwambia huyu mdosi hawezi kushinda
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?Unaonekana kuwa na machungu sana na huyu mama.
Nani asiyejua ya electoral colleges labda mbumbumbu asiyemo jf humu. Hayo eleza wanao wa chekechea nyumbani.
Msingi wa hoja:
"Nyota njema huonekana asubuhi na tayari keshaanza kuchezea kichapo na alipo kimuhe muhe kinamhusu!"
Kwa hakika acha apigwe:
Ama kwa hakika kulia na kucheka yote kwa zamu!
Nisiache kukwambia acha ujuaji ndugu.
"Anonymity uionayo humu usipoielewa unaweza kujidanya kushauri wakuu wako!"
Kwamba wewe una akili nzuri kuliko Trump?Ni kawaida magaidi wanamsapoti akili mbovu Trump
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?
Kisa Trump?
Dah! πππ€£!
Ni suala la mda tuu ,Mwanamke atashika kijiti.Hawajawahi kugombea kabla huko USA na Sasa ni mara 2 mfululizo so tegemea kabla hujafa atashika usukani na hutofanya chochote kama ilivyo hapa Tanzania licha ya mapovu hakuna ulichoweza kufanya ππDunia itaongozwaje na Mwanamke kwanza,itakua Mwisho wetu
Trump anashinda mdosi lazima arudi akakate vitunguu jikoni hana jipya yeye na Biden.Na iwe hivyo
Ni 91 kwa 210Sio poa