Yanayojiri katika Uchaguzi Mkuu Marekani 2024: Nani kuibuka kidedea?

Nani atashinda uchaguzi USA November 5, 2024?

  • Republicans (Donald Trump)

  • Democrats (Kamala Harris)


Results are only viewable after voting.
Salaleh yaani umeniweka kwenye kundi la watu wa hovyo. Ngoja nilale kwanza huku nikitafakari kauli yako ya madharau.

Any way all the best, kwasasa.

Hapana ndugu nilikuita ulione hilo nikiamini nilikuasa watu humu si vyema kuwadharau au kujifanya mjuaji unilaterally.

Kwamba nilitambua umenisoma ndiyo maana nikaona Kwa vile alikuhusisha, kistaarabu niweke msisitizo wa kukuonyesha niliyokuwa nayasema.

Hapo nimempa sindano ya kwanza ningali na store zima at his disposal ikimpendeza.
 
Kwa mwendo huu Trump anamla mtu kichwa mapema asubuhi.

View attachment 3144762

Akapumzike nyumbani Kamala Harris, Dunia haitaki vita!

Alikuwa wapi kusimamisha vita vinavyorindima duniani kote?

Akwendree Kamala Harris.
Dunia itaongozwaje na Mwanamke kwanza,itakua Mwisho wetu
 
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?
Kisa Trump?
Dah! πŸ˜πŸ˜„πŸ€£!
 
Yanini mashambulizi yote hayo kwa mwenzako?
Kisa Trump?
Dah! πŸ˜πŸ˜„πŸ€£!

Rejea ilikotoka haya yalikuwa ni majibu tu ndugu Kwa mujibu wa Newton's law third law of motion.

Kama anavyokuja ndivyo dozi atakayopata.

Au nasema uongo ndugu yangu.
 
Dunia itaongozwaje na Mwanamke kwanza,itakua Mwisho wetu
Ni suala la mda tuu ,Mwanamke atashika kijiti.Hawajawahi kugombea kabla huko USA na Sasa ni mara 2 mfululizo so tegemea kabla hujafa atashika usukani na hutofanya chochote kama ilivyo hapa Tanzania licha ya mapovu hakuna ulichoweza kufanya πŸ˜‚πŸ˜‚

Uingereza wamewahi shika Hadi Pakistan Kwa Waislamu.Suala la wanawake kupata Nguvu haliepukiki,mara nyingi Huwa nasema your dick size does not add your IQ πŸ‘‡πŸ‘‡

View: https://www.instagram.com/p/DB4LPzsIGNM/?igsh=YXltcXQxdmFnNWk=
Huyo unaemuona hapa uchaguzi ujao atagombea nafasi ya Waziri Mkuu wa Uingereza kama Kiongozi Mkuu wa Conservative.
 
Sio poa
 

Attachments

  • Screenshot_20241106_062909_Opera Mini.jpg
    284.9 KB · Views: 2
Harris aende kumhudumia mumewe nyumbani na kulea watoto

Uongozi wa Dunia amuachie Mwamba Trump apambane
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…