Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama hukufatilia mtanange wa urusi ni weweTunaposema marekani ni taifa kubwa mnapenda kujizima data. Uchaguzi wa kihuni umefanyika majuzi Russian, ni watu wachache Sana walikuwa wanaufatilia. Ilijulikana Putin anaigiza tu.
Lakini taifa kubwa, teule uchaguzi unakuwa na mvuto. Kiasi kwamba hakuna mtu anaweza kutabili moja kwa moja mshindi atakuwa na ni
Uchaguzi ni wa kidemocrasia, wawazi, wenye Ushindani, wenye mvuto, wenye watu wanaotumia akili. Huu sasa ndo uchaguzi
Kuna LA Kujifunza. Hata Putin kachukuwa upande wake.
View attachment 3054756
Kamala anaweza kuukwaa usamia kwa taarifa yako sasa.Aman iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini marekan
Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America
Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha
Asanten
Beira boy
Nanyupu
😅😅😅😅Utajuajee mkuuNdugu yako?
😅Uwezi jua mkuu labda baba Moja mama mbali mbali yy na mleta madaTrump ni ndugu yako
Pamoja sana kijana, nitashinda kwa kishindoAman iwe nanyi wapendwa katika BWANA
Yakiwa yamebaki masaa machache sana ili uchaguz ufanyike nchini Marekani
Mimi pia naona kwamba yamebakia masaa machache sana pia ili ndugu yangu Donald trump aweze kutangazwa mshindi wa urais wa America
Mimi namtakia ushindi mwema
Mimi namtakia Urais mwema
Mimi namtakia awamu njema
Mimi namtakia maisha
Asanten
Beira boy
Nanyupu